Mbunge Luhaga Mpina Alia na Uhaba wa Dola

Mbunge Luhaga Mpina Alia na Uhaba wa Dola

Ujinga mwingine bana, mtu ambaye akili yake ni ya kiwango cha kutembea na rula mfukoni ili kupima urefu wa samaki Wa kitoweo Kwa mama ntilie, leo anapata wapi akili ya kuhoji ilipo trilioni 280? Bajeti tu ya nchi kwa mwaka hazidi trilioni 31 ikiwa supported na donors kwa 60%.
Kama nchi Ina hizo trilioni 280 kama reserve kunakuwaga na haja gani ya kutembeza bakuli Kwa wazungu kila mwaka?
1640604801665_1.jpg
 
Namuunga mkono Mh Luhaga

Mnatutangazia kila siku watalii wameongezeka

Wawekezaji vile vile na uchumi umepaa sasa Dola kwanini haionekani?

Kuhusu watalii nikapata jibu kwamba mtalii anaweza akashukia KIA akaenda Serengeti akarekodiwa kama mtalii akitoka akaja Zanzibar anarekodiwa pia kwahiyo badala ya namba kuwa mtalii 1 wanakuwa 2 nilicheka sana
Na matumizi pamoja na mahitaji yameongezeka pia, The higher..... A higher...... Taifa bado linauhitaji wa mambo mengi mno!
 
Wewe kila uchao unashangilia setikali na watendaji wake, na hili tuendelee kushangilia pia.
Aliyekwambia Mimi Huwa nashangilia Kila kitu nani? Hunijui na in fact kwenye jambo zuri nashangilia ila kwenye upuuzi nakosoa
 
Huko Gabon kuna mtu kakamatwa na mamilioni akitaka kutoroka nayo Katibu mkuu nafikiri
Sasa naona kuna watu wamezificha wasakwe tu
 
Back
Top Bottom