Ujinga mwingine bana, mtu ambaye akili yake ni ya kiwango cha kutembea na rula mfukoni ili kupima urefu wa samaki Wa kitoweo Kwa mama ntilie, leo anapata wapi akili ya kuhoji ilipo trilioni 280? Bajeti tu ya nchi kwa mwaka hazidi trilioni 31 ikiwa supported na donors kwa 60%.
Kama nchi Ina hizo trilioni 280 kama reserve kunakuwaga na haja gani ya kutembeza bakuli Kwa wazungu kila mwaka?
Na matumizi pamoja na mahitaji yameongezeka pia, The higher..... A higher...... Taifa bado linauhitaji wa mambo mengi mno!Namuunga mkono Mh Luhaga
Mnatutangazia kila siku watalii wameongezeka
Wawekezaji vile vile na uchumi umepaa sasa Dola kwanini haionekani?
Kuhusu watalii nikapata jibu kwamba mtalii anaweza akashukia KIA akaenda Serengeti akarekodiwa kama mtalii akitoka akaja Zanzibar anarekodiwa pia kwahiyo badala ya namba kuwa mtalii 1 wanakuwa 2 nilicheka sana
Tilioni ndiyo nini!?Serikali ilete majibu ya pesa Tilioni 280 zimeibwa na nani?
View: https://youtu.be/DLsYYj3JCZw?si=vEdt8FfDguPcKk1t
My Take
Tukiwa na wabunge wadadisi kama Mpina Nchi itanyooka tuu.
KiswahiliTilioni ndiyo nini!?
Aliyekwambia Mimi Huwa nashangilia Kila kitu nani? Hunijui na in fact kwenye jambo zuri nashangilia ila kwenye upuuzi nakosoaWewe kila uchao unashangilia setikali na watendaji wake, na hili tuendelee kushangilia pia.
FaizaFoxy hapa unataka kutwambia kwamba ICSID ndio imepelekea dolla kuadimika. Lakini si tulikubaliana ni athari za vita vya Ukraine, na Uviko.Hayajuwi madeni aliyoyaacha mjomba'ke kwa mikataba yake utumbo?
Apitie tovuti ya icsid.
Yule mchumi uchwara na tai yake ya bendera ya tz yukk wapi ,au atasemaa tuongeze export na kutumia vya ndaniSerikali ilete majibu ya pesa Tilioni 280 zimeibwa na nani?
View: https://youtu.be/DLsYYj3JCZw?si=vEdt8FfDguPcKk1t
My Take
Tukiwa na wabunge wadadisi kama Mpina Nchi itanyooka tuu.
Huo ufisadi yachunguzwe MACHADEMA, yale majamaa ni majizi mnoo!!Serikali ilete majibu ya pesa Tilioni 280 zimeibwa na nani?
View: https://youtu.be/DLsYYj3JCZw?si=vEdt8FfDguPcKk1t
My Take
Tukiwa na wabunge wadadisi kama Mpina Nchi itanyooka tuu.
Mama naye anajitengenezea mikataba yake ya kimangungoHayajuwi madeni aliyoyaacha mjomba'ke kwa mikataba yake utumbo?
Apitie tovuti ya icsid.
TrilioniKiswahili