Mbunge Luhaga Mpina alikuwa sahihi kuhusu maelekezo ya Waziri Mkuu

Mbunge Luhaga Mpina alikuwa sahihi kuhusu maelekezo ya Waziri Mkuu

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa amejiridhisha na Mchango wa Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina kuhusu maelekezo ya Waziri Mkuu Mhe.kutofanyiwa kazi na watendaji wa jeshi la Hifadhi.

Dkt. Tulia amesema hayo June 28,2023 Bunge, Dkt. Tulia amesema kuwa wakati Mpina akichangia na maneno aliyokuwa ameyasema alikuwa sahihi kwa sababu maelekezo yale ya Waziri Mkuu yalikuwa hayajaanza kufanyiwa kazi.

Dkt. Tulia amesema kuwa Mpina alileta vielelezo vyake ofisini kama alivyotakiwa na baada ya kupitia waligundua kuwa alikuwa sahihi hivyo hilo jambo linamalizwa kwa namna hiyo.

c3e23aec3b2444b31b86b58fa664c7f7.jpg
maxresdefaultqazxsd.jpg
 
Nasisi Dodoma tunasubiri tamko la wananchi kuporwa maeneo yenye hati miliki kutoa asilimia 30 wakati Raisi keshatoa ruzuku ya mabilioni

Nawaza CAG ataona wapi hiyo asilimia yetu tulioipa Jiji la Dodoma katika mrado huo
 
Mpina azidi kusonga mbele, asitishwe na kelele za wajinga, wote wanaomdharau sasa nao baada ya muda fulani watakuja kusema alikuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom