Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Leo hii ukiulizwa mbunge maarufu Tanzania kwa kujenga hoja zenye mantiki hutakosa kumtaja mbunge Mpina.
Amezichanga karata vizuri akatumia nafasi yake vizuri katika kipindi hichi wala hakuchagua kuketi upande wa walamba asali.
Ameamua kusimama pamoja na wananchi wa Tanzania. Amezibeba kero; na mioyo ya watanzania. Ndio maana hakosi vitu vya kuongea hakosi point za kuongea akiwa bungeni.
Hongera kwa kuzisoma nyakati. Enzi zile tulikua na wakina Tundu Lissu leo hii tuna wakina Luhaga Mpina.
Mawasiliano: menejawamakampuni@gmail.com
Amezichanga karata vizuri akatumia nafasi yake vizuri katika kipindi hichi wala hakuchagua kuketi upande wa walamba asali.
Ameamua kusimama pamoja na wananchi wa Tanzania. Amezibeba kero; na mioyo ya watanzania. Ndio maana hakosi vitu vya kuongea hakosi point za kuongea akiwa bungeni.
Hongera kwa kuzisoma nyakati. Enzi zile tulikua na wakina Tundu Lissu leo hii tuna wakina Luhaga Mpina.
Mawasiliano: menejawamakampuni@gmail.com