Naunga mkono hoja, na kwa geopolitics za nchi yetu, mmoja kati ya wawili hawa, VP na PM wa 2025 lazima atoke Kanda ya Ziwa!, huu sio ubaguzi na wala sio mimi, hii ni geopolitics ya siasa za nchi yetu. Hivyo Kanda ya Ziwa katika umoja wetu, tunampendekeza Luhanga Mpina kuendelea kugombea ubunge kupitia CCM, ili awe Waziri Mkuu wa 2025 na CCM wakifanya kosa la kumuengua, atasimama na upinzani na anashinda, sasa mtu kama huyu akiirejea Bungeni kupitia upinzani, ukizingatia Mbowe anarejeshewa Hai yake, Lissu lili lile jimbo lake, Zitto anarejea kupitia Kigoma, sipati picha ya hilo Bunge la 2025 - 2030!.
P