Mbunge Luhaga Mpina ndoto yako ya kuwa mbunge maarufu Tanzania imetimia

Chawa hawaeleweki kabisa, mara Mama apishe mwanaume kwanza 2015 mara mama atashinda urais... Tushike lipi?
Hawa vilaza waliotamalaki humu JF ya sasa, ni shidah!. Uelewa wao ni matatizo!.
  1. Kwanza tumeunga mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! hii maana yake kwa geopolitics za nchi yetu, mgombea wa CCM ndiye rais wa JMT!. Kama 2025 CCM itamsimamisha mgombea Mwanamke, huyo ndiye rais wetu!. Sasa mgombea mwanamume, jitu la miraba 4 kushindwa na Mwanamke ni aibu!.
  2. Sauti ikasikika Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke haya mambo ya sauti sio yetu ni ya mwenyewe!.
  3. Hata JPM kuna watu walimshauri asogombee 2020 na badala yake ampishe mtu fulani!, hakusikia!, matokeo yake mtu alitwaliwa kupisha njia aliyeaswa kupishwa akaingizwa Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
P
 
Anashinda kwa kura za wapi?. Do you know kuna Kanda fulani ndio Kanda determinant ya kura za urais?. Watampa Abubakar huyo?. I doubt!.
P
Kanda ipi paskali? Kuna Uzi nauandaa (Mrefu sana) nitaonyesha Kwa takwimu jinsi Gani Kanda ya ziwa haiamui Rais maana kura ni chini ya 35% however inaonyesha pia Kanda ya ziwa haipigi kura kama block maana Kuna mikoa kma Mara, Kagera, Mwanza (isomeke Ukerewe) imekua ikipigia upinzani zaidi whether mgombea Urais alitokea Kanda hiyo or not so usiwafungamanishe kabisa.

Hii propaganda kuwa Kanda ya ziwa ni CCM au ndio inawauma Rais tuiache ni misleading kabisa. Ni kama Kenya wanadai Kikuyu ndio wanaamua Rais ilihali ni 25% pekee ya wapiga kura wote!!
 
Uzi ukikamilika please tag me.
P
 
At least wanawapigania wananchi. Mbowe amelamba asali kidogo, tayari hajali... Halafu mnataka tuwaachie nchi! Mara million CCM.
 

Fungua macho dada !! Hiyo ni project 2025 ! Inakua kama huwajui CCM ? CDM watajichanganya tuu !!
 
Sioni kama kelele za wanaharakati mitandaoni zitakuwa na same impact sawa na zile zinazopigwa bungeni.

Kelele za Mpina zinafaa sana kwa wakati huu kwasababu zinampata Mwigulu on the spot, na analazimika kuzitolea majibu instantly, ndio maana sasa ana panic, lakini Mwigulu asingeweza kupanikishwa na wanaharakati wa mitandaoni.
 
At least wanawapigania wananchi. Mbowe amelamba asali kidogo, tayari hajali... Halafu mnataka tuwaachie nchi! Mara million CCM.
Nani kapigania nchi? Huyo Mpina bajeti iliyopita alipiga kura ya NDIO!! Eti Leo hii shujaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…