Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali hii ya Ccm niyaajabu sana mimi nimeshangaa kuona bajeti hii halafu barabara hiyo haimo.Kwa jiji la Mwanza nibora waache miradi yote ya ujenzi wajenge kwanza hiyo barabara.
Mbunge kaiona ndiyo maana kaisemea inawezekana akashika shilingi huko mbeleSerikali hii ya Ccm niyaajabu sana mimi nimeshangaa kuona bajeti hii halafu barabara hiyo haimo.Kwa jiji la Mwanza nibora waache miradi yote ya ujenzi wajenge kwanza hiyo barabara.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Kwani huyo ana nasaba na Ufalme wa Msoga?Serikali hii ya Ccm niyaajabu sana mimi nimeshangaa kuona bajeti hii halafu barabara hiyo haimo.Kwa jiji la Mwanza nibora waache miradi yote ya ujenzi wajenge kwanza hiyo barabara.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Piga sarakasi ,wajinga wakubwa nyie si mlishamgilia daraja ,haya safirini kwenye daraja basiWewe mvaa Madera acha mawazo ya kingese kwenye mada za wanaume,fala wewe!
Kaongee na wavaa Madera wenzako mgombee ukaribu na mwenyekiti wenu.
uyo jamaa uwa ni taahira wa kudumu.Kumbe umetukanwa kihalali nilidhani umeonewa
Huyo achananae nihamnazo.Kumbe umetukanwa kihalali nilidhani umeonewa
Tuliokuwa tunakaa Mwanza tunajua ya Kwamba Miaka ya 2018 na 2019 Wenyeviti wa Mitaa inayopakana na Barabara ya Kenyatta waliitwa seminar zaidi ya mara mbili na Serikali wakielekezwa kuwaandaa wananchi wao hasa walio pembezoni na Barabara hiyo kujiandaa na ujenzi na ubomoaji utakaombatana na ujenzi huo. Nafikiri Mh. Mabula alikuwa anakumbushia "kiaina".Kwa nini hakuomba Kwa Mwendazake? 😁😁
Asubirie kwanza Hadi 2024/25 ndio itawekwa kwenye Mpango.