Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Status
Not open for further replies.
Kwa hiyo...............na ..............wanajulikana na wenzao hawana mikia.Swali....Je.!hao wenzao wanayo elimu ya kutokuwanyanyapaa kwa ulemavu huo...????
 
Mkutano wa dharura uliofanyika jana TAREHE 23 ukihusisha kamati kuu ya chama, moja ya ajenda ilikuwa kujaribu kumshawishi 'bwana mdogo' afikirie mara mbili uamuzi wake.
Pamoja na mengineyo lakini bado 'bwana mdogo' ana ghubu/dukuduku moyoni na ameomba apewe muda kisha atatoa taarifa kamili juu ya mustakabali wa chama.

Kwahiyo mleta mada Ruttashobolwa hujakosea ktk udadisi wako maana MKUTANO WA JANA WA DHARURA MOJA YA AJENDA ILIKUWA NI KUJARIBU KUZUIA HILO,,,LIMEFANIKIWA KWA SIKU HIYO LAKINI BADO HALIJAPA MUAFAKA WA KUDUMU..!!
Hiyo ni ramli tu mkuu , hakuna kitu kama hicho ...mmefeli kwa kila kitu
 
Mkutano wa dharura uliofanyika jana TAREHE 23 ukihusisha kamati kuu ya chama, moja ya ajenda ilikuwa kujaribu kumshawishi 'bwana mdogo' afikirie mara mbili uamuzi wake.
Pamoja na mengineyo lakini bado 'bwana mdogo' ana ghubu/dukuduku moyoni na ameomba apewe muda kisha atatoa taarifa kamili juu ya mustakabali wa chama.

Kwahiyo mleta mada Ruttashobolwa hujakosea ktk udadisi wako maana MKUTANO WA JANA WA DHARURA MOJA YA AJENDA ILIKUWA NI KUJARIBU KUZUIA HILO,,,LIMEFANIKIWA KWA SIKU HIYO LAKINI BADO HALIJAPA MUAFAKA WA KUDUMU..!!
Duh! Mapenzi mengine ni balaa. Mtu wa kuhama chama anapewa hata jukumu la kupeleka kesi against uongozi uliopo madarakani ambako ndiko atahamia, leo "anashawishiwa" kubadili nia ya kuondoka??? Hii singeli naona ishabuma, leteni nyingine.
 
Wasalaam wana jamvi!

Niendelee kuwatakia sikukuu njema ya amani na furaha miongoni mwenu!

Wana jamvi kama mtakumbuka siasa za tanzania zilitikiswa mwaka jana kama mara tatu hivi
Mara ya kwanza ilikuwa ni mtuhumiwa wa ufisadi kuhami upande mwingine..wengi hawakutegemea kama atapokelewa.

Mara ya pili ilikuwa kwa nguli wa siasa na Mzalendo Dr Slaa kumwaga manyanga chanzo ikiwa ni kupinga ujio wa mtuhumiwa wa ufisadi kwenye chama chao na hakuwa tayari kushiriki dhambi ya kumsafisha!

Tatu ilikuwa ni pale Prof Msomi na nguli wa uchumi alipo kataa kushiriki dhambi ya kumsafisha mtuhumiwa wa ufisadi na kuamua kumwaga manyanga!

Sasa kabla ya tarehe 24 nchi itatekwa tena na taharuki ya aina yake baada ya mbunge kijana na machachari kuvunja ukimya na kuamua kumwaga manyanga!
Taarifa zinasema mbunge huyo amekuwa kimya kwa kipindi kirefu sana na amekuwa akizushiwa anaumwa ili ionekane hiyo ni sababu kuu!

Hata hivyo amekuwa akipata wakati mgumu sana hasa pale anapo lazimishwa kutoa matamko ili ionekane yupo pamoja nao na amekuwa akikataa na kusema sitaki kuongea na kusema fulani aongee..

Jambo hili limekuwa likiwatesa sana watu wake ndani ya umoja wao na chama chao kwani ukimya wake umekuwa ukizua maswali mengi na wamejaribu kila mbinu za kumlazimisha aongee lakini wameshindwa!

Jambo la kumlazimisha aongee limekuwa likimkera sana na amekuwa akiwa sisitiza kuwa yeye amechagua kunyamaza wasi mlazimishe!

Kibaya zaidi kuna mpango wa kumlazimisha kuongea kwenye mkutano fulani tarehe 24 ambao bado haujawa confirmed! Lakini baada ya kupata habari kuwa amepangwa kuongea na kusema hataki na wasimlazimishe kwani umoja una watu wengi wa kuongea!

Sasa habari zilizopo ana mpango wa kuongea na ataongea kinacho muumiza kabla ya tarehe 24 na atamwaga manyanga na kuachana na ubunge kabisa na kwenda kusoma nje ya nchi....

Baada ya viongozi wake kupata habari hizo wanahaha kumzuia asiongee huku wakitaka kujua anataka kuongea nini na wanampango wa kuhakikisha aengei chochote na wameshambembeleza sana lakini amesimama kuwa kwenye msimamo wako kuwa ataongea kabla ya tarehe 24!

Zina fanyika kila juhudi za kunusuru tukio hilo kwani wanasema litasambaratisha umoja huo kabisa.

Lakini amesisitiza kuwa hayuko tayari kushiriki siasa za kinafiki kamwe...!

Je watafanikiwa kumzuia?
Ni nani huyo?
Ataendelea kukaa kimya?
Ni kwañini hawataki aongee?

Wana jamvi muda huongea tusubiri!

Karibuni wana jamvi!
Endelea kutumika kama toilet paper,FYI wenzako wamebase kwenye mfumo,itikadi,falsafa,mrengo na siyo mtu kama huko kwenye stomach seekers and thinkers.
Mfumo na mengineyo ndiyo kinaleta imani kwa wananchi ambao ni wakuigwa na wengine na siyo Comedy na kiini macho kama kule Dom.
Kitu pekee kinachoweza kuturudisha nyuma na kutafuta mbadala wa kutafuta ukombozi wa nchi iliyokubuhu kwa umasikini,ujinga,maradhi,ufisadi
kwa sisi makanda ni kufa kwa chama na siyo kufa kwa mtu au kuondoka kwa mtu this will be nonsense ideas.
Wakati mwinginie mnapolipwa kupost utumbo na ukishiba siyo lazima utoe hewa chafu otherwise umelishwa hata kibudu pasipo kujua kisa Tumbo.
Ondoka naye huyo umsemaye mkasome naye and go to the hell.....huku siyo show ya mtu mmoja/not one man show as it is there.
 
Teh teh! chadema wakiuona uzi huu watatamani ardhi ipasuke,

Mara nyingi Fisi akimuona binadamu anatembea usiku hufikiri mikono yake yaweza kudondoka wakati wowote hivyo huamua kumfatilia ili akidondosha tu afaidi kuila cha ajabu binadamu hufika kwake salama na mikono haidondoki.
 
TUSUBIRI AKIONGEA HATUJUI ATAONGEA NINI
Ruttagongwa umeaibikaaaa! Yaani mbunge machachari awe Mpendazoe? Kishapu kwenyewe tulishamwona msaliti sasa huko kwenu amerudi anaitwa ngombe aliyekatwa mkia! Atajuta kuijua ccm! Mhaya mjinga umejidhalilisha sana!
 
Leo ni July 25 nahisi utabiri wako mkuu umeshindwa so tuletee utabiri mwengine.
 
Eti kabla ya tarehe 24 July, Leo ni 25 mbona hakuna chochote? Ifikie wakati watu wanaotoa tetesi za kutunga kama hizi waadhibiwe.
 
Nashindwa kuelewa kwanini admins wa JamiiForums wanalea members wanàotoa nyuzi za kujitafutia kick kama hizi. Please moderator futa uzi huu na kumpiga ban ya kutosha huyu mpotoshaji Ruttashobolwa kwa kuanzisha nyuzi za uchochezi. Kwa nini mnalea wachochezi.
 
Wasalaam wana jamvi!

Niendelee kuwatakia sikukuu njema ya amani na furaha miongoni mwenu!

Wana jamvi kama mtakumbuka siasa za tanzania zilitikiswa mwaka jana kama mara tatu hivi
Mara ya kwanza ilikuwa ni mtuhumiwa wa ufisadi kuhami upande mwingine..wengi hawakutegemea kama atapokelewa.

Mara ya pili ilikuwa kwa nguli wa siasa na Mzalendo Dr Slaa kumwaga manyanga chanzo ikiwa ni kupinga ujio wa mtuhumiwa wa ufisadi kwenye chama chao na hakuwa tayari kushiriki dhambi ya kumsafisha!

Tatu ilikuwa ni pale Prof Msomi na nguli wa uchumi alipo kataa kushiriki dhambi ya kumsafisha mtuhumiwa wa ufisadi na kuamua kumwaga manyanga!

Sasa kabla ya tarehe 24 nchi itatekwa tena na taharuki ya aina yake baada ya mbunge kijana na machachari kuvunja ukimya na kuamua kumwaga manyanga!
Taarifa zinasema mbunge huyo amekuwa kimya kwa kipindi kirefu sana na amekuwa akizushiwa anaumwa ili ionekane hiyo ni sababu kuu!

Hata hivyo amekuwa akipata wakati mgumu sana hasa pale anapo lazimishwa kutoa matamko ili ionekane yupo pamoja nao na amekuwa akikataa na kusema sitaki kuongea na kusema fulani aongee..

Jambo hili limekuwa likiwatesa sana watu wake ndani ya umoja wao na chama chao kwani ukimya wake umekuwa ukizua maswali mengi na wamejaribu kila mbinu za kumlazimisha aongee lakini wameshindwa!

Jambo la kumlazimisha aongee limekuwa likimkera sana na amekuwa akiwa sisitiza kuwa yeye amechagua kunyamaza wasi mlazimishe!

Kibaya zaidi kuna mpango wa kumlazimisha kuongea kwenye mkutano fulani tarehe 24 ambao bado haujawa confirmed! Lakini baada ya kupata habari kuwa amepangwa kuongea na kusema hataki na wasimlazimishe kwani umoja una watu wengi wa kuongea!

Sasa habari zilizopo ana mpango wa kuongea na ataongea kinacho muumiza kabla ya tarehe 24 na atamwaga manyanga na kuachana na ubunge kabisa na kwenda kusoma nje ya nchi....

Baada ya viongozi wake kupata habari hizo wanahaha kumzuia asiongee huku wakitaka kujua anataka kuongea nini na wanampango wa kuhakikisha aengei chochote na wameshambembeleza sana lakini amesimama kuwa kwenye msimamo wako kuwa ataongea kabla ya tarehe 24!

Zina fanyika kila juhudi za kunusuru tukio hilo kwani wanasema litasambaratisha umoja huo kabisa.

Lakini amesisitiza kuwa hayuko tayari kushiriki siasa za kinafiki kamwe...!

Je watafanikiwa kumzuia?
Ni nani huyo?
Ataendelea kukaa kimya?
Ni kwañini hawataki aongee?

Wana jamvi muda huongea tusubiri!

Karibuni wana jamvi!
Umeaibika sana kwa kutunga hekaya zisizo na mashiko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom