Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Status
Not open for further replies.
Kila akipiga mahesabu nafsi yake inamwambia hapana, Lowasa ni fisadi na atabakia hivyo, matatizo makubwa yanayoikumba nchi yetu yamesababishwa na fisadi Lowasa&Co.
Super Mnyika anasepa hivyo...
Hongereni kwa kumpokea super mnyika..
Pia naomba uendelee na hiki kibwagizo cha super mnyika!!
 
Huyu anataka kuiga porojo za lizabon..kama unataka kumnyang'anya cheo cha kiongozi mkuu wa lumumba buku 7 fc..ongeza juhudi maana sio kazi rahisi kumfunika lizabon kwa porojo na uzushi kwenye mitandao..
 
Jamaa mzushi sana, nani anataka kuitwa ng'ombe kasoro mkia
 
Tarehe 24 haijafika?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…