Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Status
Not open for further replies.
Maccm mnapataga faida gani kuuharibu upinzani?? Kueni jamani. Nchi bila upinzani haiongozekiiiiiiii. Ah! Yaani mna maudhi mpaka baasi tena.
Aseme atakalo. Aondoke kesho asubuhi. Tume ya uchaguzi ipime, muda ukifika turudi chunguni apikwe mwingine. Shida yenu ni kuona hakuna upinzani tena Tz au nini?? Mbona bunge mlibaki peke yenu, mliongeza nini au mlipunguza nini??
Tulikuwa na kina Tuntemeke Sanga kwenye bunge la chama kimoja, wapinzani kweli kweli. Wakashika shilingi, bajeti ikatikisika. Wako wapi, Leo si bado tupo?
Msiogope, hakuna njia kuwa upinzani utakufa. No, ukiondoka huu utaanza mwingine, hata ccm kwa ccm.
 
Aondoe fukuto ndani ya moyo wake. Kama ni kweli, atakuwa wa kwanza kuonyesha madhara ya kubadili gia angani.
 
Well said
 
Siiamini sana hii taarifa japo ina harufu ya ukweli ndani yake.
Nnachotafakari tu why hakujitenga mara tu baada ya kutambua uozo umeingia? Kwanini awapotezee muda wapigakura wake na kuliingiza hasara taifa kwa mchakato mwingine wa uchaguzi mdogo?
Bado ntaendelea kumuona mnafiki ni mara mia akaachana na uamzi huo na kujikita kuwatumikia wanajimbo make ndo jukumu kuu walilomtuma akawakilishe.
 
Soma hiki kibonzo.
Msitu wenye nyasi za wastani unaitwa NYIKA.
Na kama mtu niwakabila fulani utasema:
Mchaga
Mmachame
Mnyiramba.
Je anaetoka kwenye kabila la WANYIKA angeitwaje?
Je umeshamjua mbunge mwenyewe?
 
Watanganyika waajabu sana. Hivi kuna kitu gani cha ajabu mtu akiachia nafasi alionayo? Hivi ninani mkubwa kuliko nguvu ya Watanganyika? Wangapi wakubwa zaidy ya hizi dagaa wamepita na hakuna anguko lolote? nchi bado inasonga

Kwa kweli, kama ni JJ aende tu, na angekuwa na busara angekaa kimya na kuachana na siasa tena mwaka 2020..walah sio mbali! Kubwa katika hili ni kuwa, alichaguliwa na kuna watu wanaimani naye, sio kweli kwamba watateseka sana.

NYERERE alitufaa sana, ameondoka, Sokoine tulishangilia sana, ameondoka. wakaja wanganga wakaganga wametoka, kwa sasa hata upinzani, mecho yote kwa Mzee Pombe. JJ ni nani?

Kama ni Umbea wa Kwenye Sosho Media Ubaki Kuwa Umbea ...Lkn Kama JJ ana Akili Hizi Akae Mbali..

Huu Ndio Mchango Wangu
 
Kumbuka uchaguzi wa ndani ya chama ktk jimbo aliloshinda uliahilishwa mala mbili baada ya kutokutokea, mala ya tatu ndiyo akaja kinyonge hata kampeni asisingizia anaumwa
 
Mmmmmhh!!! Tutasikia kama si kuona mengi mwaka huu!!!!
 
Kuwe na criteria za kuanzisha uzi sio mtu yupo chooni anaanzisha uzi mnapoteza credibility ya jf
 
Mbona ameshaongea aliomba kwa ridhaa yake na anaachia kwa ridhaaa yake kipi kipya?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…