Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Status
Not open for further replies.
Maccm mnapataga faida gani kuuharibu upinzani?? Kueni jamani. Nchi bila upinzani haiongozekiiiiiiii. Ah! Yaani mna maudhi mpaka baasi tena.
Aseme atakalo. Aondoke kesho asubuhi. Tume ya uchaguzi ipime, muda ukifika turudi chunguni apikwe mwingine. Shida yenu ni kuona hakuna upinzani tena Tz au nini?? Mbona bunge mlibaki peke yenu, mliongeza nini au mlipunguza nini??
Tulikuwa na kina Tuntemeke Sanga kwenye bunge la chama kimoja, wapinzani kweli kweli. Wakashika shilingi, bajeti ikatikisika. Wako wapi, Leo si bado tupo?
Msiogope, hakuna njia kuwa upinzani utakufa. No, ukiondoka huu utaanza mwingine, hata ccm kwa ccm.
Mkuu, usishangae ulevi wa pilau za Eid una mambo mengi. Huyo kesha shiba analianzisha la ajabuajabu ili watu waseme!
 
Kila akipiga mahesabu nafsi yake inamwambia hapana, Lowasa ni fisadi na atabakia hivyo, matatizo makubwa yanayoikumba nchi yetu yamesababishwa na fisadi Lowasa&Co.
Super Mnyika anasepa hivyo...
 
Mbona tarehe 24 mbali sana. Amwage tu manyanga sasa sio kutuweka suspense,..wengine wana matatizo ya moyo kusubirini shida.
Kwani hotuba ya kubwaga manyanga hajamaliza kuiandaa? Angebwaga leo tuunganishe na sikukuu ya sabasaba kabisa.
 
Kwani hotuba ya kubwaga manyanga hajamaliza kuiandaa? Angebwaga leo tuunganishe na sikukuu ya sabasaba kabisa.
Hahahaha mbona mna wasi wasi!
 
Katika ubora wenu,makonda angeanzia lumumba,wamejaa huko
 
Kila akipiga mahesabu nafsi yake inamwambia hapana, Lowasa ni fisadi na atabakia hivyo, matatizo makubwa yanayoikumba nchi yetu yamesababishwa na fisadi Lowasa&Co.
Super Mnyika anasepa hivyo...
sasa wewe umezidi uzushi na huongo JF Mods wakumulike kidogo na umbea wako wa lumumba.mama mzima badala ya kwenda kupika unakaa mitandaoni na Elimu yako ya kuungaunga.


swissme
 
Naamini bado wengine watapata uteuzi humu ndani maana kuna makosa ambayo yatafanya nafasi ziwe wazi.

1. *Dk Leonard Masule* huyu aliteuliwa kuwa *DC Ilemela* ila kwenye uteuzi huu wa Wakurugenzi inaonesha amepangiwa *Dodoma*

2. *Justin Joseph Monko* huyu aliteuliwa kuwa *DAS MUSOMA* ila kwenye uteuzi huu wa Wakurugenzi inaonesha amepangiwa *Liwale*

3. *Haji Yusuph Godigodi* huyu aliteuliwa kuwa *DAS KIGOMA* ila kwenye uteuzi huu wa Wakurugenzi inaonesha amepangiwa *Kyerwa*

4. *Joel Mwakibibi* huyu aliteuliwa kuwa *DAS BIHARAMULO* ila kwenye uteuzi huu wa Wakurugenzi inaonesha amepangiwa *Kigoma*

5. *Msongwe* huyu aliteuliwa kuwa *DAS MISENYI* ila kwenye uteuzi huu wa Wakurugenzi inaonesha amepangiwa *Kasulu*
 
napendekeza kichwa cha habari kiwe "KUNA MBUNGE ANAJIANDAA KUPOTEA KWENYE SIASA ZA TZ" ila akaombe ushaur kwa prof.wa uchumi na babuwamueleza hali halisi asije akaanza kujuta
 
Ataongelea madhara ya udikteta uchwara hapo nchi lazima itikisike aisee.
 
Mwishowa people ndio mwaka huu usicheze na nguvu ya Ccm wamejiandaa kiasi cha kutisha.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom