Mbunge Mageni: Ajira za 'Connection' zinasababisha mifumo ya Wizi Serikalini, ataka Wakurugenzi, Katibu Tawala wapimwe kwa sifa sio kujaza nafasi

Mbunge Mageni: Ajira za 'Connection' zinasababisha mifumo ya Wizi Serikalini, ataka Wakurugenzi, Katibu Tawala wapimwe kwa sifa sio kujaza nafasi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Sumve (CCM), Kasalali Mageni, ameelezea wasiwasi wake kuhusu mchakato wa ajira serikalini unaotegemea ‘connection’, akidai kuwa mfumo huu unazalisha watumishi wasiokuwa na sifa zinazostahiki, hivyo kusababisha hasara kwa serikali.

"Wengi wanaamini ajira bila connection haipatikani, ndio maana sisi Mbunge ni mashahidi, kila Mbunge kwenye Jimbo lake ana meseji lukuki za kuombwa kusaidia watu wapate ajira"

"Kwahiyo Watu wanaoajiriwa kwa kuamini connection ndio imewapa ajira wanapoingia ofisini wanaenda kufanya kwa connection hizo hizo, kwahiyo mwisho wa siku tunapata hasara ya pesa zetu. "


Ameongeza kuwa ipo haja ya kuangalia mifumo inayotumika kuwapata Wakuu wa Mashirika ya Umma, Wakurugezi kwenye Halmashauri na namna wavyopatikana Makatibu Tawala.

"Ifike mahali tujiulize, tunahitaji Mkurugenzi wa Halmashauri kwa kazi gani?, anahitajika mtu mwenye sifa zipi akawe mkurugenzi wa Halmashauri? Au tunaweka mtu tu akajaze nafasi, tujifunze kutoka kwa mabenki, nafasi ya kazi inatangazwa ndani ya wafanyakazi wenye sifa"
Soma: Mbunge Shabiby: Wapigaji wameongezeka serikalini, sitasifia kila kitu
 
Mbunge wa Sumve (CCM), Kasalali Mageni, ameelezea wasiwasi wake kuhusu mchakato wa ajira serikalini unaotegemea ‘connection’, akidai kuwa mfumo huu unazalisha watumishi wasiokuwa na sifa zinazostahiki, hivyo kusababisha hasara kwa serikali.

"Wengi wanaamini ajira bila connection haipatikani, ndio maana sisi Mbunge ni mashahidi, kila Mbunge kwenye Jimbo lake ana meseji lukuki za kuombwa kusaidia watu wapate ajira"

"Kwahiyo Watu wanaoajiriwa kwa kuamini connection ndio imewapa ajira wanapoingia ofisini wanaenda kufanya kwa connection hizo hizo, kwahiyo mwisho wa siku tunapata hasara ya pesa zetu. "


Ameongeza kuwa ipo haja ya kuangalia mifumo inayotumika kuwapata Wakuu wa Mashirika ya Umma, Wakurugezi kwenye Halmashauri na namna wavyopatikana Makatibu Tawala.

"Ifike mahali tujiulize, tunahitaji Mkurugenzi wa Halmashauri kwa kazi gani?, anahitajika mtu mwenye sifa zipi akawe mkurugenzi wa Halmashauri? Au tunaweka mtu tu akajaze nafasi, tujifunze kutoka kwa mabenki, nafasi ya kazi inatangazwa ndani ya wafanyakazi wenye sifa"
Soma: Mbunge Shabiby: Wapigaji wameongezeka serikalini, sitasifia kila kitu
Yeye mwenyewe na chama chake wanapataje madaraka, si hayo hayo?
 
Mbunge wa Sumve (CCM), Kasalali Mageni, ameelezea wasiwasi wake kuhusu mchakato wa ajira serikalini unaotegemea ‘connection’, akidai kuwa mfumo huu unazalisha watumishi wasiokuwa na sifa zinazostahiki, hivyo kusababisha hasara kwa serikali.

"Wengi wanaamini ajira bila connection haipatikani, ndio maana sisi Mbunge ni mashahidi, kila Mbunge kwenye Jimbo lake ana meseji lukuki za kuombwa kusaidia watu wapate ajira"

"Kwahiyo Watu wanaoajiriwa kwa kuamini connection ndio imewapa ajira wanapoingia ofisini wanaenda kufanya kwa connection hizo hizo, kwahiyo mwisho wa siku tunapata hasara ya pesa zetu. "


Ameongeza kuwa ipo haja ya kuangalia mifumo inayotumika kuwapata Wakuu wa Mashirika ya Umma, Wakurugezi kwenye Halmashauri na namna wavyopatikana Makatibu Tawala.

"Ifike mahali tujiulize, tunahitaji Mkurugenzi wa Halmashauri kwa kazi gani?, anahitajika mtu mwenye sifa zipi akawe mkurugenzi wa Halmashauri? Au tunaweka mtu tu akajaze nafasi, tujifunze kutoka kwa mabenki, nafasi ya kazi inatangazwa ndani ya wafanyakazi wenye sifa"
Soma: Mbunge Shabiby: Wapigaji wameongezeka serikalini, sitasifia kila kitu
Aseme tuu ukweli,wakurugenzi walikuwaga wanateuliwa na Katibu Mkuu wa Tamisemi/Utumishi kutona miongoni mwa Watumishi waandamizi na wenye rekodi nzuri.

Utaratibu wa kujaza Wanasiasa aliuleta Magufuli na kuvuruga Utumishi wa Umma.
 
Aseme tuu ukweli,wakurugenzi walikuwaga wanateuliwa na Katibu Mkuu wa Tamisemi/Utumishi kutona miongoni mwa Watumishi waandamizi na wenye rekodi nzuri.

Utaratibu wa kujaza Wanasiasa aliuleta Magufuli na kuvuruga Utumishi wa Umma.
Mtu anayemtukuza Magufuli namdharau sana
 
Mbunge wa Sumve (CCM), Kasalali Mageni, ameelezea wasiwasi wake kuhusu mchakato wa ajira serikalini unaotegemea ‘connection’, akidai kuwa mfumo huu unazalisha watumishi wasiokuwa na sifa zinazostahiki, hivyo kusababisha hasara kwa serikali.

"Wengi wanaamini ajira bila connection haipatikani, ndio maana sisi Mbunge ni mashahidi, kila Mbunge kwenye Jimbo lake ana meseji lukuki za kuombwa kusaidia watu wapate ajira"

"Kwahiyo Watu wanaoajiriwa kwa kuamini connection ndio imewapa ajira wanapoingia ofisini wanaenda kufanya kwa connection hizo hizo, kwahiyo mwisho wa siku tunapata hasara ya pesa zetu. "


Ameongeza kuwa ipo haja ya kuangalia mifumo inayotumika kuwapata Wakuu wa Mashirika ya Umma, Wakurugezi kwenye Halmashauri na namna wavyopatikana Makatibu Tawala.

"Ifike mahali tujiulize, tunahitaji Mkurugenzi wa Halmashauri kwa kazi gani?, anahitajika mtu mwenye sifa zipi akawe mkurugenzi wa Halmashauri? Au tunaweka mtu tu akajaze nafasi, tujifunze kutoka kwa mabenki, nafasi ya kazi inatangazwa ndani ya wafanyakazi wenye sifa"
Soma: Mbunge Shabiby: Wapigaji wameongezeka serikalini, sitasifia kila kitu
Tutaelewana tu but its not too late
 
Mbunge anayeongea, kura zake zitahesabiwa na kutangazwa na wakurugenzi hao hao.
 
Nadhani Magufuri angekuwepo bado yuko hai huo upuuzi ungepungua!
 
Nakimbuka tuliganyiwq
Mbunge wa Sumve (CCM), Kasalali Mageni, ameelezea wasiwasi wake kuhusu mchakato wa ajira serikalini unaotegemea ‘connection’, akidai kuwa mfumo huu unazalisha watumishi wasiokuwa na sifa zinazostahiki, hivyo kusababisha hasara kwa serikali.

"Wengi wanaamini ajira bila connection haipatikani, ndio maana sisi Mbunge ni mashahidi, kila Mbunge kwenye Jimbo lake ana meseji lukuki za kuombwa kusaidia watu wapate ajira"

"Kwahiyo Watu wanaoajiriwa kwa kuamini connection ndio imewapa ajira wanapoingia ofisini wanaenda kufanya kwa connection hizo hizo, kwahiyo mwisho wa siku tunapata hasara ya pesa zetu. "


Ameongeza kuwa ipo haja ya kuangalia mifumo inayotumika kuwapata Wakuu wa Mashirika ya Umma, Wakurugezi kwenye Halmashauri na namna wavyopatikana Makatibu Tawala.

"Ifike mahali tujiulize, tunahitaji Mkurugenzi wa Halmashauri kwa kazi gani?, anahitajika mtu mwenye sifa zipi akawe mkurugenzi wa Halmashauri? Au tunaweka mtu tu akajaze nafasi, tujifunze kutoka kwa mabenki, nafasi ya kazi inatangazwa ndani ya wafanyakazi wenye sifa"
Soma: Mbunge Shabiby: Wapigaji wameongezeka serikalini, sitasifia kila kitu
Nakumbuka tulifanyiwa interview ya ukurugenzi wa taasis ya TEITI mwaka jana mwezi wa 4. Kitu cha kushangaza mh rais anekuja kumteua mtu juzi..sasa nimejiuliza ilikuwa na maana gani kutufanyisha interview kumbe watakuja kuteua
 
Back
Top Bottom