Mbunge Mageni: Watu wengi wanaamini hakuna ajira Serikalini bila kuwa na ‘connection'

Mbunge Mageni: Watu wengi wanaamini hakuna ajira Serikalini bila kuwa na ‘connection'

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Akizungumza wakati wa mjadala Bungeni kuhusu Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa Bungeni Mwaka wa Fedha 2022/23, leo Oktoba 31, 2024, Mbunge wa Sumve, Kasalali Mageni amesema imekuwa kawaida kuona Ripoti hiyo kuwa na mambo yaleyale ya wizi na uzembe hali inayoonesha kuna shida kuanzia kwenye mfumo wa Uajiri wa Watumishi wa Umma.

Amesema hali ilivyo sasa ni kuwa wengi wanaamini kuwa na “connection” huwezi kupata ajira Serikalini na Watu hao wanapopata ajira hata utendaji wao hazingatii misingi ya ajira zao.

 
Kwani uongo kuna watu wamegraduate 2016 mpk leo hawana ajira aisee inaumiza sana kwa vijana wetu hawa.
 
Ni kweli.

Sio uongo.

Bila connection utaangaika sana kutafuta kazi.

Hakuna kiongozi wa serikali asiyetambua hilo.
 
Back
Top Bottom