JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Pia soma - Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchwa watupu, wanatafuna haswaMbunge wa Viti Maalum (CCM), Maimuna Ahmad Pathan amehoji juu ya mamlaka kutochukua hatua juu ya ujenzi wa Barabara ya Kibiti-Lindi akidai imejengwa katika kiwango cha chini na ilionesha kuharibika hata kabla ya Mkandarasi hajaikabidhi.
Pia soma - Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!
Barabara mbovu sana hiyoMbunge wa Viti Maalum (CCM), Maimuna Ahmad Pathan amehoji juu ya mamlaka kutochukua hatua juu ya ujenzi wa Barabara ya Kibiti-Lindi akidai imejengwa katika kiwango cha chini na ilionesha kuharibika hata kabla ya Mkandarasi hajaikabidhi.
Pia soma - Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!
Wakandarasi kina naniBarabara ya kuanzia Dar kwenda mtwara yote imeharibika tu.
Kiufupi Barabara huko kusini ni kituko tu
Lakini unafahamu kuwa hiyo barabara inayolalamikiwa hapa ilisimamiwa na huyo boss wa awamu iliyopita pindi akiwa Waziri?Sasa kama barabara zinajengwa kwa hela ambayo mama ajaitafuta kwa jasho kila akienda VICOBA nje ya nchi anakuja na malundo. Ukiangalia awamu 1 iliyopita atukukopa hela nje lakini miradi iliyofanyika ilikua katika ubora wa hali ya juu
Tukisema ccm ni laana muwe mnaelewaMbunge wa Viti Maalum (CCM), Maimuna Ahmad Pathan amehoji juu ya mamlaka kutochukua hatua juu ya ujenzi wa Barabara ya Kibiti-Lindi akidai imejengwa katika kiwango cha chini na ilionesha kuharibika hata kabla ya Mkandarasi hajaikabidhi.
Pia soma - Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!
Kipindi akiwa waziri uyo boss aliwai ambiwa siongei na mbwa naongea na mwenyewe mbwaLakini unafahamu kuwa hiyo barabara inayolalamikiwa hapa ilisimamiwa na huyo boss wa awamu iliyopita pindi akiwa Waziri?
Mnakumbuka nani alikuwa Waziri wa Ujenzi? Hata ya Dodoma-Iringa nayo ni hivyo hivyoMbunge wa Viti Maalum (CCM), Maimuna Ahmad Pathan amehoji juu ya mamlaka kutochukua hatua juu ya ujenzi wa Barabara ya Kibiti-Lindi akidai imejengwa katika kiwango cha chini na ilionesha kuharibika hata kabla ya Mkandarasi hajaikabidhi.
Pia soma - Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!
Hata hivyo Kuanzia mwaka ujao wa Fedha yaani July Serikali ya mama inaenda kuifumua na kujenga upya hiyo barabaraMbunge wa Viti Maalum (CCM), Maimuna Ahmad Pathan amehoji juu ya mamlaka kutochukua hatua juu ya ujenzi wa Barabara ya Kibiti-Lindi akidai imejengwa katika kiwango cha chini na ilionesha kuharibika hata kabla ya Mkandarasi hajaikabidhi.
Pia soma - Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!
Hiyo kauli inahusianaje na hiyo barabara?Kipindi akiwa waziri uyo boss aliwai ambiwa siongei na mbwa naongea na mwenyewe mbwa
Itakuwa kwenye mgao wa kuiba mali za umma alikosaMbunge wa Viti Maalum (CCM), Maimuna Ahmad Pathan amehoji juu ya mamlaka kutochukua hatua juu ya ujenzi wa Barabara ya Kibiti-Lindi akidai imejengwa katika kiwango cha chini na ilionesha kuharibika hata kabla ya Mkandarasi hajaikabidhi.
Pia soma - Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!
Magufuli aliikataa lakini mkandarasi akaongea na kikwete ikabidi magufuli alikubali tu.Hiyo kauli inahusianaje na hiyo barabara?
Ni majangili ya nchiKwenye huu uzi CCM wanarushiana lawama wao kwa wao.
Majizi haya.