masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Unazo miniti za kikao?Magufuli aliikataa lakini mkandarasi akaongea na kikwete ikabidi magufuli alikubali tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazo miniti za kikao?Magufuli aliikataa lakini mkandarasi akaongea na kikwete ikabidi magufuli alikubali tu.
Barabara ilijengwa na kampuni ya china CHICCO nadhani,ambao walijenga kipande Cha manyoni-dom,jakaya alimrithi huyo mkandarasi,nakumbuka Waziri mramba alilalama bungeni kuwa mkandarasi mjeuri, mkandarasi alidai Hana pa kupata changarawe/kokoto za kujengea barabaraHiyo barabara aliikataa magufuli lakini mkandarasi akaongea na fisadi namba Moja(rais wa wakati ule).ikabidi alikubali tu Kwa shingo upande.
Amehesabu lini?Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Maimuna Ahmad Pathan amehoji juu ya mamlaka kutochukua hatua juu ya ujenzi wa Barabara ya Kibiti-Lindi akidai imejengwa katika kiwango cha chini na ilionesha kuharibika hata kabla ya Mkandarasi hajaikabidhi.
Pia soma - Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!
Na kupanuliwa, ni nyembamba.Barabara ya kuanzia Dar kwenda mtwara inahitaji marekebisho/matengenezo
Kiufupi Barabara huko kusini maeneo mengi yanahitaji matengenezo tu
Kwa sasa hivi unapotoka dar es salaam kwenda karibia mikoa yote barabara zimejaa viraka balaa..mpaka city centre ni viraka, mashimo na madimbwi.Hii ni aibu kubwa...Barabara ya kuanzia Dar kwenda mtwara inahitaji marekebisho/matengenezo
Kiufupi Barabara huko kusini maeneo mengi yanahitaji matengenezo tu