Mbunge Mariam Ditopile: Wakili Mwabukusi akemewe, ataleta machafuko katika nchi yetu

Mbunge Mariam Ditopile: Wakili Mwabukusi akemewe, ataleta machafuko katika nchi yetu

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema Watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo, na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka, ubaguzi na kichochozi, pamoja na kutweza utu viongozi mbalimbali ikiwezo Rais Samia, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, pamoja na wananchi.

Mariam ameongeza kuwa baadhi ya kauli za Wakili Mwabukusi zinaaibisha taaluma yake kwani zinavunja sheria za nchi yetu. Akisema, wakili anajua fika akishafungua shauri Mahakamani hatakiwi kutoa maoni ili Mahakama itoe maamuzi kwa uhuru na haki, lakini pia kavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao kwa kutukana na kutumia lugha za kibaguzi.

Mariam Ditopile amesema kauli za Wakili Mwabukusi asipokemewa anaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.



Pia soma


Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Mawakili wa Wananchi waomba Shughuli zote za DP World kwenye bandari za Tanzania zisitishwe hadi kesi itakapomalizika

Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka na kichochoze na kwamba zisipokemewa zinaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

View attachment 2684793
Kwanza huyo dada alikvyokuwa anaongea yeye mwenyewe anajistukia ,hana locus stand ya kujibishana na wakili
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka na kichochoze na kwamba zisipokemewa zinaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

Hoja za wakili zimenyooka. Pole mbunge
Ni vizuri usiongee jumla jumla tunaomba utuainishie kauli za kutweza
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka na kichochoze na kwamba zisipokemewa zinaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

Amesomea nini huyu Dada
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka na kichochoze na kwamba zisipokemewa zinaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.



Ameipa sana sana heshima taasisi ya sheria.
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka na kichochoze na kwamba zisipokemewa zinaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

Ni ujinga kufikiri mawazo ya kujikomba ndiyo yanajenga nchi.
Makosa lazima yarekebishwe na watu wenye akili, si wa kujikomba.
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka na kichochoze na kwamba zisipokemewa zinaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.



Ha ha ha, inatengenezwa njia ya kupambana na kesi
 

Mariamu Ditopile Mzuzuri​



Member Type : Special Seats

Constituent : Special Seats

Political Party : CCM

Phone : +255717560700

P.O Box : P. O. Box 79, Dodoma

Email Address : m.mzuzuri@bunge.go.tz

Date of Birth : 1988-09-01


Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
College of Business EducationDegree in Business Administration20112014Bachelor Degree
College of Business EducationDiploma in Business Administration20092011Diploma
Shaban Robert Secondary SchoolCSEE20022005Secondary School
Nganza Girls Secondary SchoolACSEE20062008Secondary School
Al-Muntazir Academy Primary SchoolCPEE19952001Primary School

Employment History :​


Company/InstitutionPositionFromTo
Alpha Choice LtdMarketing Officer20082009

Political Experience :​


Political PartyPositionFromTo
Administration and Local Governments CommitteeMember20152018
Parliament of TanzaniaMember of the Tanzania20152020
Energy and Minerals CommitteeVice Chairperson20182020
Energy and Minerals CommitteeMember20202023
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20202025
Chama cha MapinduziMember of National Youth Wing Council20172020
 

Mariamu Ditopile Mzuzuri​



Member Type : Special Seats

Constituent : Special Seats

Political Party : CCM

Phone : +255717560700

P.O Box : P. O. Box 79, Dodoma

Email Address : m.mzuzuri@bunge.go.tz

Date of Birth : 1988-09-01


Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
College of Business EducationDegree in Business Administration20112014Bachelor Degree
College of Business EducationDiploma in Business Administration20092011Diploma
Shaban Robert Secondary SchoolCSEE20022005Secondary School
Nganza Girls Secondary SchoolACSEE20062008Secondary School
Al-Muntazir Academy Primary SchoolCPEE19952001Primary School

Employment History :​


Company/InstitutionPositionFromTo
Alpha Choice LtdMarketing Officer20082009

Political Experience :​


Political PartyPositionFromTo
Administration and Local Governments CommitteeMember20152018
Parliament of TanzaniaMember of the Tanzania20152020
Energy and Minerals CommitteeVice Chairperson20182020
Energy and Minerals CommitteeMember20202023
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20202025
Chama cha MapinduziMember of National Youth Wing Council20172020
Sasa Hz business administration zinabishana na hoja za wakili!?
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema Watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo, na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka, ubaguzi na kichochozi, pamoja na kutweza utu viongozi mbalimbali ikiwezo Rais Samia, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, pamoja na wananchi.

Mariam ameongeza kuwa baadhi ya kauli za Wakili Mwabukusi zinaaibisha taaluma yake kwani zinavunja sheria za nchi yetu. Akisema, wakili anajua fika akishafungua shauri Mahakamani hatakiwi kutoa maoni ili Mahakama itoe maamuzi kwa uhuru na haki, lakini pia kavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao kwa kutukana na kutumia lugha za kibaguzi.

Mariam Ditopile amesema kauli za Wakili Mwabukusi asipokemewa anaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

View attachment 2684793

Pia soma

Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Mawakili wa Wananchi waomba Shughuli zote za DP World kwenye bandari za Tanzania zisitishwe hadi kesi itakapomalizika

Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu
The main difference between braves and fools is that 'braves' always speak when they have something to say but 'fools' speak because they have to say something.
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema Watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo, na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka, ubaguzi na kichochozi, pamoja na kutweza utu viongozi mbalimbali ikiwezo Rais Samia, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, pamoja na wananchi.

Mariam ameongeza kuwa baadhi ya kauli za Wakili Mwabukusi zinaaibisha taaluma yake kwani zinavunja sheria za nchi yetu. Akisema, wakili anajua fika akishafungua shauri Mahakamani hatakiwi kutoa maoni ili Mahakama itoe maamuzi kwa uhuru na haki, lakini pia kavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao kwa kutukana na kutumia lugha za kibaguzi.

Mariam Ditopile amesema kauli za Wakili Mwabukusi asipokemewa anaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

View attachment 2684793

Pia soma


Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Mawakili wa Wananchi waomba Shughuli zote za DP World kwenye bandari za Tanzania zisitishwe hadi kesi itakapomalizika

Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu
Baba yako alikaa bungeni miaka 30 alikuwa mjinga kama ujinga unaouelezea hapa.
 
Back
Top Bottom