Mbunge Mariam Ditopile: Wakili Mwabukusi akemewe, ataleta machafuko katika nchi yetu

Mbunge Mariam Ditopile: Wakili Mwabukusi akemewe, ataleta machafuko katika nchi yetu

Waziri mkuu uongo upo damuni mwake...

Anatuambia tuiamini Serikali ? So imani kwenye data za uongo?

Me imani yangu Waziri mkuu muongo..

Wakili huyu ni Shujaa wewe binti wa kariakoo wa Dito tulia zako huna impact kwa jamii.. Dini yako kwanza haikuruhusu kuwa kiongozi adui wa Allah...
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema Watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo, na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka, ubaguzi na kichochozi, pamoja na kutweza utu viongozi mbalimbali ikiwezo Rais Samia, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, pamoja na wananchi.

Mariam ameongeza kuwa baadhi ya kauli za Wakili Mwabukusi zinaaibisha taaluma yake kwani zinavunja sheria za nchi yetu. Akisema, wakili anajua fika akishafungua shauri Mahakamani hatakiwi kutoa maoni ili Mahakama itoe maamuzi kwa uhuru na haki, lakini pia kavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao kwa kutukana na kutumia lugha za kibaguzi.

Mariam Ditopile amesema kauli za Wakili Mwabukusi asipokemewa anaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

View attachment 2684793

Pia soma

Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Mawakili wa Wananchi waomba Shughuli zote za DP World kwenye bandari za Tanzania zisitishwe hadi kesi itakapomalizika

Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu
Wananchi tupo na wakili. Wewe mbunge nenda kwenu dubei. Jinga sana! Ndicho ulichotumwa na wananchi wako!?
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema Watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo, na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka, ubaguzi na kichochozi, pamoja na kutweza utu viongozi mbalimbali ikiwezo Rais Samia, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, pamoja na wananchi.

Mariam ameongeza kuwa baadhi ya kauli za Wakili Mwabukusi zinaaibisha taaluma yake kwani zinavunja sheria za nchi yetu. Akisema, wakili anajua fika akishafungua shauri Mahakamani hatakiwi kutoa maoni ili Mahakama itoe maamuzi kwa uhuru na haki, lakini pia kavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao kwa kutukana na kutumia lugha za kibaguzi.

Mariam Ditopile amesema kauli za Wakili Mwabukusi asipokemewa anaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

View attachment 2684793

Pia soma


Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Mawakili wa Wananchi waomba Shughuli zote za DP World kwenye bandari za Tanzania zisitishwe hadi kesi itakapomalizika

Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu
Hii Ditopile si ndiyo wale wale wa familia ya Mzee Ukiwaona Wanakuja Ditopile Mzuzuli. Hapo hakuna kitu hapo, ni mmoja ya wanufaika wa keki ya Taifa hawezi ona ubadhirifu unaofanywa na watawala.
 
Sasa kama baba anapiga risasi dereva wa daladala unategemea mwanae aone umuhimu wa bandari kutokuuzwa??
Umezingua, jibu hoja hio ni evidence of characters hata Mahakama hawaipokei
āœļø
 
Una laana ya Zumbe Dereva wa Daladala aliyeuawa Kawe-Lugalo,wewe ndiyo unapaswa kukewewa.
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema Watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo, na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka, ubaguzi na kichochozi, pamoja na kutweza utu viongozi mbalimbali ikiwezo Rais Samia, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, pamoja na wananchi.

Mariam ameongeza kuwa baadhi ya kauli za Wakili Mwabukusi zinaaibisha taaluma yake kwani zinavunja sheria za nchi yetu. Akisema, wakili anajua fika akishafungua shauri Mahakamani hatakiwi kutoa maoni ili Mahakama itoe maamuzi kwa uhuru na haki, lakini pia kavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao kwa kutukana na kutumia lugha za kibaguzi.

Mariam Ditopile amesema kauli za Wakili Mwabukusi asipokemewa anaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

View attachment 2684793

Pia soma

Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Mawakili wa Wananchi waomba Shughuli zote za DP World kwenye bandari za Tanzania zisitishwe hadi kesi itakapomalizika

Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu
kwanza baba yako ni muuwaji. inaonekana na wewe huna kili kama baba yako.
Mawakili sio wasomi kuliko wanataaluma wengine, ni kwa sababu tu waafrika tunapenda sana kubabaika na hizi taaluma za watu.

Ni kwa sababu tu ya elimu kuchelewa kufika afrika na tunawaona kama vile wanaishi sayari nyingine.Uprofesa na udaktari unavyopapatikiwa ni mfano tu wa ulimbukeni wa bara hili.

Huyo Mwabukusi ana matatizo binafsi yanayomsumbua kichwani, anadaiwa karibu shilingi milioni 100 kwa kesi mbalimbali alizoshindwa mahakamani. Aliukosa ubunge dhidi ya Mwakibete akafungua kesi akashindwa na hii kesi aliyofungua dhidi ya serikali anakwenda kushindwa.

Ni mbinu za kimjini za kuishi kwa kupiga kelele ili uonekane mbele kamera na kupata umaarufu wakati wa utatuzi wa suala fulani linaloendelea, na wenye pesa wakikuona kupitia kamera hizo inakuwa rahisi kukuita 'pembeni' na kupata pesa.

Yeye na Nshala wanatafuta kutekwa kinguvu lakini hayo ni masuala ya awamu nyingine zilizopita, wamekutana na marais waliojiandaa kisaikolojia kuwa sehemu ya ulimwengu wa kidemokrasia.
kwahiyo hapo umejibu hoja ya Bandari ? huu sasa ndio ujinga wa kujitakia. Kama alishindwa kesi haimaanishi kuwa anachosema ni uongo. Madeni yake yake sisi hayatuhusu kabisa. watU wengi mmejaa uchawa kiasi cha kuwa vipofu wa kuona ukweli pale unapojitokeza.
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema Watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo, na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka, ubaguzi na kichochozi, pamoja na kutweza utu viongozi mbalimbali ikiwezo Rais Samia, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, pamoja na wananchi.

Mariam ameongeza kuwa baadhi ya kauli za Wakili Mwabukusi zinaaibisha taaluma yake kwani zinavunja sheria za nchi yetu. Akisema, wakili anajua fika akishafungua shauri Mahakamani hatakiwi kutoa maoni ili Mahakama itoe maamuzi kwa uhuru na haki, lakini pia kavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao kwa kutukana na kutumia lugha za kibaguzi.

Mariam Ditopile amesema kauli za Wakili Mwabukusi asipokemewa anaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

View attachment 2684793

Pia soma

Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Mawakili wa Wananchi waomba Shughuli zote za DP World kwenye bandari za Tanzania zisitishwe hadi kesi itakapomalizika

Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu
CCM ndiyo vinara wa kutweza, kubagua hata kuwaua watanzania wanaokwenda kinyume na matakwa ya chama hiko...
 
kwanza baba yako ni muuwaji. inaonekana na wewe huna kili kama baba yako.

kwahiyo hapo umejibu hoja ya Bandari ? huu sasa ndio ujinga wa kujitakia. Kama alishindwa kesi haimaanishi kuwa anachosema ni uongo. Madeni yake yake sisi hayatuhusu kabisa. watU wengi mmejaa uchawa kiasi cha kuwa vipofu wa kuona ukweli pale unapojitokeza.
Mpuuzi tu, anawapata wajinga wachache ambao hawaelewi lolote lenye kuhusiana na biashara pana ya bandari.

Mjadala wa bandari umeingiliwa na watu wenye uelewa finyu wa masuala ya usafirishaji na uchumi mzima wa bandari, hawa ndio walio mbele katika kuongelea vitu wasivyovijua wakiingiza mitazamo ya kisiasa.
 
Hili limetokea baada ya Wakili Mwabukusi kutoa kauli mbalimbali kuhusu bandari ikiwemo kusema Watanzania wasimuamini Waziri Mkuuu kwani ni muongo, na kwenda kufungua kesi ya kuishtaki Serikali ya Tanzania kuingia Mkataba wa Bandari na kampuni wa DP World.

Mariam amesema Wakili Mwabukusi amekuwa anatumia lugha ambazo sio za kiungwana, zilizojaa kebehi dharau, zilizovuka mipaka, ubaguzi na kichochozi, pamoja na kutweza utu viongozi mbalimbali ikiwezo Rais Samia, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, pamoja na wananchi.

Mariam ameongeza kuwa baadhi ya kauli za Wakili Mwabukusi zinaaibisha taaluma yake kwani zinavunja sheria za nchi yetu. Akisema, wakili anajua fika akishafungua shauri Mahakamani hatakiwi kutoa maoni ili Mahakama itoe maamuzi kwa uhuru na haki, lakini pia kavunja Sheria ya Makosa ya Kimtandao kwa kutukana na kutumia lugha za kibaguzi.

Mariam Ditopile amesema kauli za Wakili Mwabukusi asipokemewa anaweza kuleta taharuki, uvunjifu wa amani au machafuko katika nchi yetu.

View attachment 2684793

Pia soma

Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Mawakili wa Wananchi waomba Shughuli zote za DP World kwenye bandari za Tanzania zisitishwe hadi kesi itakapomalizika

Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu
Mkataba mbovu wa DPWORD

utaleta machafuko katika nchi yetu​

 
Hahahaha!! Mariam Ditopile mzuzuri mtoto wa kishua. Atuache sasa.
 
Back
Top Bottom