Mbunge Mhe. Dkt. Alfred Kimea Aahidi Kuwawezesha Vijana Wajasiliamali Korogwe Mjini

Mbunge Mhe. Dkt. Alfred Kimea Aahidi Kuwawezesha Vijana Wajasiliamali Korogwe Mjini

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE MHE. DKT. ALFRED KIMEA AAHIDI KUWAWEZESHA VIJANA WAJASILIMALI KOROGWE MJINI

Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini Mhe. Dkt. Alfred Kimea, katika ziara yake aliyofanya jimboni amekutana na kufanya mazungumzo na vijana wajasiliamali wanaozalisha Kokoto, katika Kata ya Mtonga Mtaa wa Msambiazi.

Mhe. Dkt. Kimea, alitumia fulsa hiyo kusikiliza changamoto zinazowakabili vijana hao na kuahidi kuzifanyia kazi changamoto hizo.

Pamoja na mambo mengine vijana hao wajasiliamali walimuomba Mbunge awapatie vitendea kazi vikiwemo Nyundo 40 na Machepe 40 ambayo ameahidi kuwaletea.

Aidha, Vijana hao walimshukuru na kumpongeza Mbunge wao kwa kazi anazofanya za kuwaletea maendeleo wananchi wa Korogwe Mji. Pia walimshukuru na kuwapongeza Mhe. Diwani Fransis Komba pamoja na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa zinazo fanyika.

WhatsApp Image 2023-03-30 at 22.12.27.jpeg
WhatsApp Image 2023-03-30 at 22.12.28.jpeg

 

MBUNGE MHE. DKT. ALFRED KIMEA AAHIDI KUWAWEZESHA VIJANA WAJASILIMALI KOROGWE MJINI

Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini Mhe. Dkt. Alfred Kimea, katika ziara yake aliyofanya jimboni amekutana na kufanya mazungumzo na vijana wajasiliamali wanaozalisha Kokoto, katika Kata ya Mtonga Mtaa wa Msambiazi.

Mhe. Dkt. Kimea, alitumia fulsa hiyo kusikiliza changamoto zinazowakabili vijana hao na kuahidi kuzifanyia kazi changamoto hizo.

Pamoja na mambo mengine vijana hao wajasiliamali walimuomba Mbunge awapatie vitendea kazi vikiwemo Nyundo 40 na Machepe 40 ambayo ameahidi kuwaletea.

Aidha, Vijana hao walimshukuru na kumpongeza Mbunge wao kwa kazi anazofanya za kuwaletea maendeleo wananchi wa Korogwe Mji. Pia walimshukuru na kuwapongeza Mhe. Diwani Fransis Komba pamoja na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa zinazo fanyika.

Mbunge na wananchi wake anajua kuwa kuna vifaa vya umeme (wa kuzalishwa) ambavyo vingerahisisha zaidi na kuleta ufanisi na ubora zaidi wa kazi hiyo?
 

MBUNGE MHE. DKT. ALFRED KIMEA AAHIDI KUWAWEZESHA VIJANA WAJASILIMALI KOROGWE MJINI

Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini Mhe. Dkt. Alfred Kimea, katika ziara yake aliyofanya jimboni amekutana na kufanya mazungumzo na vijana wajasiliamali wanaozalisha Kokoto, katika Kata ya Mtonga Mtaa wa Msambiazi.

Mhe. Dkt. Kimea, alitumia fulsa hiyo kusikiliza changamoto zinazowakabili vijana hao na kuahidi kuzifanyia kazi changamoto hizo.

Pamoja na mambo mengine vijana hao wajasiliamali walimuomba Mbunge awapatie vitendea kazi vikiwemo Nyundo 40 na Machepe 40 ambayo ameahidi kuwaletea.

Aidha, Vijana hao walimshukuru na kumpongeza Mbunge wao kwa kazi anazofanya za kuwaletea maendeleo wananchi wa Korogwe Mji. Pia walimshukuru na kuwapongeza Mhe. Diwani Fransis Komba pamoja na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa zinazo fanyika.

Vipi mkuu amshapeleka hivyo vifaa?

Au ahadi haina siku maalimu?
 
Nyundo 40 na machepe 40!! Yaani sio vifaa vitakavyo ongeza uzalishaji kwa njia rahisi.

Hivi Josephat Gwajima alitimiza ahadi yake kwa wanajimbo wa kawe kuwawezesha wavuvi kwa vifaa na mafunzo? au anangoja 2025 akawalaghai tena?
 
Back
Top Bottom