Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Jamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni.
Alibebwa na Hayati Magufuli Ila mfumo wa Mama samia umemtema. Mpina akubali kuwa kila mfumo una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi leo wengine tusingekuwa na hali hizi tulinazo leo. Lakini mbona tumekubaliana na hizi hali.
Hasira ya nini? ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji leo atakaa kimya, nipo nimekaa pale.
Soma==>>> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Alibebwa na Hayati Magufuli Ila mfumo wa Mama samia umemtema. Mpina akubali kuwa kila mfumo una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi leo wengine tusingekuwa na hali hizi tulinazo leo. Lakini mbona tumekubaliana na hizi hali.
Hasira ya nini? ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji leo atakaa kimya, nipo nimekaa pale.
Soma==>>> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria