Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
sawa mchumba wa ccmHuna hoja wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mchumba wa ccmHuna hoja wewe
Sina chama Mimi,sawa mchumba wa ccm
au cha watekaji na uchawaSina chama Mimi,
Hata Mimi nisingejisumbua kumjibu mpina......Hoja zijibiwe kwa hoja,ndio tupime ukweli
Kunguni chotara amejitokeza.Jamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni, alibebwa Na magufuri Ila mfumo wa Mama samia umemtema ..Mpina akubali kuwa Kila mfumo Una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi Leo wengine tusingekuwa Na Hali hizi tulinazo Leo! Lakini mbona tumekubaliana Na hizi Hali....hasira ya nini?.. ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji Leo atakaa kimya..nipo nimekaa pale.
Jamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni, alibebwa Na magufuri Ila mfumo wa Mama samia umemtema ..Mpina akubali kuwa Kila mfumo Una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi Leo wengine tusingekuwa Na Hali hizi tulinazo Leo! Lakini mbona tumekubaliana Na hizi Hali....hasira ya nini?.. ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji Leo atakaa kimya..nipo nimekaa pale.
Unajichanganya mwenyewe uraia wa bashe v/ s uwaziri wake wa kilimo Na uwaziri wa mpina v/s ufisadi hivi ni vitu viwili tofauti kabisaKumbe madaraka ni rushwa ya kufunga watu mdomo.!?
Hata hivyo uliona wapi waziri akiikosoa Serikali?
Hata Bashe alikua mpiga Kelele lakini alipokua waziri inabidi aendane na mfumo wa Kula kwa Kamba yake.
Lakini Mpina ni Msukuma Halisi anawatetea watanganyika wenzake usimfanamishe na Wahamiaji wenye pasport ya Tanganyika na Oman na Somalia
wew ndo mchumia tumbo mpina ni mzarendo wewe ni tombanokoooooJamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni, alibebwa Na magufuri Ila mfumo wa Mama samia umemtema ..Mpina akubali kuwa Kila mfumo Una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi Leo wengine tusingekuwa Na Hali hizi tulinazo Leo! Lakini mbona tumekubaliana Na hizi Hali....hasira ya nini?.. ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji Leo atakaa kimya..nipo nimekaa pale.
Mtetetee mpina kwa hoja , usinitusi kisukuma utakula ban mkuu,,,,ogopa jidanganyewew ndo mchumia tumbo mpina ni mzarendo wewe ni tombanokooooo
Unajua waliomaliza Faru kule Serengeti wewe.Unajichanganya mwenyewe uraia wa bashe v/ s uwaziri wake wa kilimo Na uwaziri wa mpina v/s ufisadi hivi ni vitu viwili tofauti kabisa
Wazazi wako wana life gumu sana kule kijijini wewe unaleta ujinga humu na Ubongo ulio jaaa kamasiJamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni.
Alibebwa na Hayati Magufuli Ila mfumo wa Mama samia umemtema. Mpina akubali kuwa kila mfumo una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi leo wengine tusingekuwa na hali hizi tulinazo leo. Lakini mbona tumekubaliana na hizi hali.
Hasira ya nini? ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji leo atakaa kimya, nipo nimekaa pale.
Soma==>>> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Hivi kwa maendeleo haya ya technology na elimu za watu hapa d Tanzania bado unawaza pumba kama hizi. Inaonekana ww ni babu kabisa.Jamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni.
Alibebwa na Hayati Magufuli Ila mfumo wa Mama samia umemtema. Mpina akubali kuwa kila mfumo una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi leo wengine tusingekuwa na hali hizi tulinazo leo. Lakini mbona tumekubaliana na hizi hali.
Hasira ya nini? ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji leo atakaa kimya, nipo nimekaa pale.
Soma==>>> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Haya tuchukulie kuwa haya unayoyasema ni kweli; mbona ni jambo la kawaida tu katika siasa? Nani ni msafi? Aache kutetea anachokiamini kwa wakati huu kisa huko nyuma aliboronga? Mwinyi mbona alifanya makosa makubwa sana mpaka watu wengi wakapoteza maisha lakini baadaye alikuja kuwa rais wetu?Zipi Sasa? Yeye mwenyewe fisadi tu,. Mpina leo atueleze wavuvi waliokuwa wanauwawa Na kufungwa magerezani wakikamatwa wakivua samaki kisiwa cha Rubondo chato walikuwa wanatumwa na nani??..ikumbukwe kwamba mpina enzi za magu alikuwa ndie waziri wa uvuvi.
Zipi Sasa? Yeye mwenyewe fisadi tu,. Mpina leo atueleze wavuvi waliokuwa wanauwawa Na kufungwa magerezani wakikamatwa wakivua samaki kisiwa cha Rubondo chato walikuwa wanatumwa na nani??..ikumbukwe kwamba mpina enzi za magu alikuwa ndie waziri wa uvuvi.
Tunachoangalia sisi hoja iliyoko mezani! Hata Samia leo hii akija na hoja ya maana tutamsifia. Nakushauri kwenye siasa angalia hoja na usingalie mtoa hoja. Swali: je akija mwanasiasa ambaye siyo mchumia tumbo kabisa, na kuwasilisha hoja ya kijinga utamuunga mkono kwa sababu tu siyo mchumia tumbo?Jamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni.
Alibebwa na Hayati Magufuli Ila mfumo wa Mama samia umemtema. Mpina akubali kuwa kila mfumo una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi leo wengine tusingekuwa na hali hizi tulinazo leo. Lakini mbona tumekubaliana na hizi hali.
Hasira ya nini? ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji leo atakaa kimya, nipo nimekaa pale.
Soma==>>> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Swali Zuri umemuuliza akikujibu nitagTunachoangalia sisi hoja iliyoko mezani! Hata Samia leo hii akija na hoja ya maana tutamsifia. Nakushauri kwenye siasa angalia hoja na usingalie mtoa hoja. Swali: je akija mwanasiasa ambaye siyo mchumia tumbo kabisa, na kuwasilisha hoja ya kijinga utamuunga mkono kwa sababu tu siyo mchumia tumbo?