Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni tapeli mkubwaJamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni.
Alibebwa na Hayati Magufuli Ila mfumo wa Mama samia umemtema. Mpina akubali kuwa kila mfumo una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi leo wengine tusingekuwa na hali hizi tulinazo leo. Lakini mbona tumekubaliana na hizi hali.
Hasira ya nini? ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji leo atakaa kimya, nipo nimekaa pale.
Soma==>>> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Kipindi cha Magu unaanzia wapi kufanya ujinga huuAnachokizungumza mpina kinaweza kuwa ni kweli, lakini alikuwa wapi kuyazungumza haya Toka kipindi cha magu
Jibu hojaa zakeeeeeJamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni.
Alibebwa na Hayati Magufuli Ila mfumo wa Mama samia umemtema. Mpina akubali kuwa kila mfumo una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi leo wengine tusingekuwa na hali hizi tulinazo leo. Lakini mbona tumekubaliana na hizi hali.
Hasira ya nini? ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji leo atakaa kimya, nipo nimekaa pale.
Soma==>>> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Kwani wageni wanaingia Tanzania kimagumashi?Unajua waliomaliza Faru kule Serengeti wewe.
Ulishasikia msukuma ameua Tembo wewe?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wageni tutawaheshimu wakijiheshimu na kuheshimu Rasilimali zetu.
Mpina anapinga yaliyofanywa na Bashe mwanzon mwa mwaka huu. Sasa, ulitaka ayazungumzie hayo wakati wa Magufuli?Anachokizungumza mpina kinaweza kuwa ni kweli, lakini alikuwa wapi kuyazungumza haya Toka kipindi cha magu
Your argument doesn't support your tittle.Jamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni.
Alibebwa na Hayati Magufuli Ila mfumo wa Mama samia umemtema. Mpina akubali kuwa kila mfumo una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi leo wengine tusingekuwa na hali hizi tulinazo leo. Lakini mbona tumekubaliana na hizi hali.
Hasira ya nini? ninachokielewa ni kuwa Mpina akipewa ulaji leo atakaa kimya, nipo nimekaa pale.
Soma==>>> Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria
Hakuna majungu hapa, nimeandika kile ninachokifahamu kumhusu mpina
Ukweli mchungu