Mbunge Mpina ni mchumia tumbo tu, wala si mzalendo

ni tapeli mkubwa
 
Jibu hojaa zakeeeee

Acha kusema mchumia Tumboo

Kusema ukwelii ndio uchumia tumboo.

Bashe ajibu hoja
Tulia ajibu hojaa
Huwezi kumuhukumu mtuu bila kumpa mda wa kumsikilizaa ,yaleyale ya Lowasa

Watu wanalindanaaaa..

Nilitegemea yale manenonya Tulia siku ya Msiba wa Lowassa angetembea nayo kumbe haikuwa hivyoo

Tunalindana
 
Your argument doesn't support your tittle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…