Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Anapendekeza bora hoja bungeni zisipelekwe kuliko kupoteza muda.
Ktk clip inayosambazwa anatoa mifano kuwa kuna Mwizi ktk halimashari alipeleka jina lake kwa Waziri Bashingwa na hakuona mwitikio na hatua zilizofanyika.
Amewalalamikia Mawaziri kuwa wanapopokea malalamiko kutoka kwa wabunge hawayafanyii kazi.
Nasi watanzania tunajiuliza kama Wabunge hawasikilizwi je zile kero za wananchi mmoja mmoja nani atazisikiliza?
Je Spika Wa Bunge Dr Tulia Acksoni anajisikiaje anapokuwa anaongoza Bunge la namna hii lisilosikilizwa?