Mbunge Munde: Rais Samia hakuahidi Katiba Mpya, msitupangie

Mbunge Munde: Rais Samia hakuahidi Katiba Mpya, msitupangie

Hao wabunge wengi wao waliwekwa bungeni kwa ubabe wa Jiwe.Wengi hawakuchaguliwa na wananchi.Jiwe mwenyewe alishawahi kukiri,'' Watu wenyewe hamkuchaguliwa na wananchi''.Mtu ambaye amepata nafasi kimagumashi unategemea nini zaidi ya kulinda maslahi ya tumbo lake?
 
Wajenga nchi na waumini wa kanuni, taratibu, utawala bora na sheria wanajua umuhimu mkubwa wa katiba. Hivi kwa nini CCM hawataki katiba mpya?
 
Wewe mpiga debe subiri kufa maskini mpuuzi wewe
Mimi sio fukara kama wengi wenu mlivyo huko CDM. Ndomaana hutanikuta naanzisha nyuzi au kuandika comment za kulia maisha magumu, kama mnavyofanya nyinyi.

Mlianza kwa kujipendekeza "Oohh mama yetu[emoji23]",mmepigwa chenga moja tu mpka sasa hamuelewi, either muendelee kujipendekeza CCM, au meundeleza ile ligi mliodhai imeisha.

Tafuta hela usije kufa kibudu.
 
Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Munde Tambwe amesema, aliyekuwa Rais Hayati John Magufuli na Rais wa sasa, Samia Suluhu Hassan walinadi maendeleo "hawakuahidi Katiba mpya, msitake kumtoa Rais wetu kwenye reli. Hawawezi kutupangia, tutajipangia wenyewe.

My Take/Hoja
Kwani Tanzania ikipata katiba mpya huyu mbunge na wanaomtumia wanapungukiwa nini?

Chanzo: Mwanahalisi
Ujinga uliopitiliza.
Leo tumerudi kwenye bunge la Chama kimoja na kwa miaka sita watu walikuwa ndani ya hofu kubwa.
Je hofu itaendelea?
CCM inatakiwa kuelekeza mkondo wa maji ni si kuzuia kwani mabadiliko ni kama mkondo wa maji,hayazuiliki!!
 
Mimi sio fukara kama wengi wenu mlivyo huko CDM. Ndomaana hutanikuta naanzisha nyuzi au kuandika comment za kulia maisha magumu, kama mnavyofanya nyinyi.

Mlianza kwa kujipendekeza "Oohh mama yetu[emoji23]",mmepigwa chenga moja tu mpka sasa hamuelewi, either muendelee kujipendekeza CCM, au meundeleza ile ligi mliodhai imeisha.

Tafuta hela usije kufa kibudu.
Mpuuzi wewe kati ya wateja wa CCM na CDM ni wapi wanaishi maisha magumu? angalia ndugu zako Dom, Singida, Morogoro, Tabora, sijui Katavi n.k
 
Mpuuzi wewe kati ya wateja wa CCM na CDM ni wapi wanaishi maisha magumu? angalia ndugu zako Dom, Singida, Morogoro, Tabora, sijui Katavi n.k
Usitake kujificha kwenye kikundi cha watu waliofanikiwa.Wewe hata comment zako humu zinakuumbua,kwasababu zote ni za kulilia ugumu wa maisha.Tafuta hela kabla hujaolewa [emoji28]
 
Back
Top Bottom