Mkuu wa mkoa yupi? Huyu wa sasa mwanamama? Kama ni Robert Gabriel Luhumbi ambaye alikuwa geita na sasa yupo mwanza nae ni msukuma mkuu. Hoja yako kwa mbunge Msukuma ya ukabila haina mashiko ni upuuzi tu Msukukuma anazungumza ukweli wake na anahaki ya kutoa maoni kama Diallo alivyotoa.Kiboko yake ni yule RPC wa Geita, Alijifanya kumletea majungu siku alipoingia kwenye 18 zake, akitegemea aliyekuwa akimsifia jiwe kuwa angeingilia kati wapi!!yaani jamaa anajipendekeza hadi bosi ana kasirika!!!na siku zote agenda zake huwa ni za kikabila tu,
Hakuna anayepinga msukuma kutoa mawazo. Tunachopinga sisi ni msukuma kutuingiza watu wote wa kanda ya ziwa kwenye maoni yake na kusema kwamba sisi ndio tuliomtuma wakati si kweliMkuu wa mkoa yupi? Huyu wa sasa mwanamama? Kama ni Robert Gabriel Luhumbi ambaye alikuwa geita na sasa yupo mwanza nae ni msukuma mkuu. Hoja yako kwa mbunge Msukuma ya ukabila haina mashiko ni upuuzi tu Msukukuma anazungumza ukweli wake na anahaki ya kutoa maoni kama Diallo alivyotoa.
Ndio tatizo la kukurupuka, wapi nimeongelea RC??Sasa nani mpuuzi kati yangu na wewe ambaye umeshindwa kutofautisha kati ya RPC, na RC?!!, Mimi nazungumzia RPC, Mwaibambe,Mkuu wa mkoa yupi? Huyu wa sasa mwanamama? Kama ni Robert Gabriel Luhumbi ambaye alikuwa geita na sasa yupo mwanza nae ni msukuma mkuu. Hoja yako kwa mbunge Msukuma ya ukabila haina mashiko ni upuuzi tu Msukukuma anazungumza ukweli wake na anahaki ya kutoa maoni kama Diallo alivyotoa.
Asante. NashukuruMbunge msukuma sisi wakazi wa kanda ya ziwa hatukukutuma na hatujawahi kukuchagua kuwa msemaji wetu kwa jambo lolote.
Sisi wazee na watu wa kanda ya ziwa hatukukutuma kusema hayo unayoita mapigo ya kumjibu Antony Diallo na kama ulikuwa na nia ya kujibu mapigo ungemjibu kwa utashi wako au kwa niaba ya wananchi wa jimbo lako la geita vijijini lakini sio kutuhusisha watu wa kanda ya ziwa kwenye maugomvi yako binafsi na kusema kwamba sisi ndio tumekutuma ukatusemee.
Sisi wazee wa kanada ya ziwa ni watu wenye busara na hekima, kama kuna jambo linaenda ndivyo sivyo tuna njia zetu za kuwasilisha maduku duku yetu ikiwemo kujisemea wenyewe na sio kutuma kijana mropokaji kama wewe.
Kuhusu kifo cha hayati magufuri unasema tuliofiwa ni watu wa kanda ya ziwa. Kimsingi hii ni kauli ya kijinga kabisa kutolewa na kiongozi wa wananchi kama wewe kwa sababu Rais magufuri hakuwa Rais wa kanda ya ziwa bali alikuwa ni Rais wa watanzania wote wa kanda za mikoa yote nchini. Sasa unaanzaje kusema kwamba tuliofiwa ni watu wa kanda ya ziwa pekee?
Huoni kama kauli yako inalenga kutugawa watu wa kanda ya ziwa na watu wa kanda zingine?
Kwa mara nyingine mbunge msukuma usituhusishe tena wazee na watu wa kanda ya ziwa kwenye ugomvi wako binafsi wa kutafuta umaarufu wa kisiasa na sifa za kishamba na UKOME kabisa kutusemea kwa sababu hata sisi tuna midomo ya kujisemea.
Message sent & delivered
Kwa kweli kasheku musukuma ni hopeless na ni mtu wa kujipendekeza.Hafai kabisa. Ovyo.Mbunge msukuma sisi wakazi wa kanda ya ziwa hatukukutuma na hatujawahi kukuchagua kuwa msemaji wetu kwa jambo lolote.
Sisi wazee na watu wa kanda ya ziwa hatukukutuma kusema hayo unayoita mapigo ya kumjibu Antony Diallo na kama ulikuwa na nia ya kujibu mapigo ungemjibu kwa utashi wako au kwa niaba ya wananchi wa jimbo lako la geita vijijini lakini sio kutuhusisha watu wa kanda ya ziwa kwenye maugomvi yako binafsi na kusema kwamba sisi ndio tumekutuma ukatusemee.
Sisi wazee wa kanada ya ziwa ni watu wenye busara na hekima, kama kuna jambo linaenda ndivyo sivyo tuna njia zetu za kuwasilisha maduku duku yetu ikiwemo kujisemea wenyewe na sio kutuma kijana mropokaji kama wewe.
Kuhusu kifo cha hayati magufuri unasema tuliofiwa ni watu wa kanda ya ziwa. Kimsingi hii ni kauli ya kijinga kabisa kutolewa na kiongozi wa wananchi kama wewe kwa sababu Rais magufuri hakuwa Rais wa kanda ya ziwa bali alikuwa ni Rais wa watanzania wote wa kanda za mikoa yote nchini. Sasa unaanzaje kusema kwamba tuliofiwa ni watu wa kanda ya ziwa pekee?
Huoni kama kauli yako inalenga kutugawa watu wa kanda ya ziwa na watu wa kanda zingine?
Kwa mara nyingine mbunge msukuma usituhusishe tena wazee na watu wa kanda ya ziwa kwenye ugomvi wako binafsi wa kutafuta umaarufu wa kisiasa na sifa za kishamba na UKOME kabisa kutusemea kwa sababu hata sisi tuna midomo ya kujisemea.
Message sent & delivered
Huyu msukuma alikuwa ni chawa pro max wa Jpm na kwenye kambi ya lowassa alienda kimkakati kuratibu (kusinichi) kila kilichokuwa kinaendelea kule na kupeleka taarifa kwa jpm ameishi hivyo hivyo kwa usinitch na kuchongea watu kwa jpm hadi wengine kufukuzwa kazi na kuvuliwa nyadhifa za chama. Sasa usinitch wake anataka aulete pia kwa mama ila uzuri mama anamfahamu vizuri hata hana time nayeBinafsi sijawahi kumuona Msukuma mfupi na mwembamba, sijawahi pia kuona Msukuma mbishi kama Msukuma, nina hakika Msukuma sio Msukuma. Nipo tayari kukosolewa; halafu sorry, hivi na yeye si alikuaga kambi ya Lowassa? Si alikwenda hadi Arusha na choppper yake wakati Lowassa anazindua kampeni zake? Nakumbuka Ephraim Kibonde wa (RIP) wa clouds media akiwa MC wa shughuli, yeye nae hilo analisemeaje?
Ni darasa la saba lakini wenye elimu kumzidi wanaomba ajira kwake !!Msukuma darasa la saba ni nembo muhimu ya watu wa Kanda ya ziwa
Tangu lini mkuu umekuwa mzee au na wewe unawasemea wazee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mbunge msukuma sisi wakazi wa kanda ya ziwa hatukukutuma na hatujawahi kukuchagua kuwa msemaji wetu kwa jambo lolote.
Sisi wazee na watu wa kanda ya ziwa hatukukutuma kusema hayo unayoita mapigo ya kumjibu Antony Diallo na kama ulikuwa na nia ya kujibu mapigo ungemjibu kwa utashi wako au kwa niaba ya wananchi wa jimbo lako la geita vijijini lakini sio kutuhusisha watu wa kanda ya ziwa kwenye maugomvi yako binafsi na kusema kwamba sisi ndio tumekutuma ukatusemee.
Sisi wazee wa kanada ya ziwa ni watu wenye busara na hekima, kama kuna jambo linaenda ndivyo sivyo tuna njia zetu za kuwasilisha maduku duku yetu ikiwemo kujisemea wenyewe na sio kutuma kijana mropokaji kama wewe.
Kuhusu kifo cha hayati magufuri unasema tuliofiwa ni watu wa kanda ya ziwa. Kimsingi hii ni kauli ya kijinga kabisa kutolewa na kiongozi wa wananchi kama wewe kwa sababu Rais magufuri hakuwa Rais wa kanda ya ziwa bali alikuwa ni Rais wa watanzania wote wa kanda za mikoa yote nchini. Sasa unaanzaje kusema kwamba tuliofiwa ni watu wa kanda ya ziwa pekee?
Huoni kama kauli yako inalenga kutugawa watu wa kanda ya ziwa na watu wa kanda zingine?
Kwa mara nyingine mbunge msukuma usituhusishe tena wazee na watu wa kanda ya ziwa kwenye ugomvi wako binafsi wa kutafuta umaarufu wa kisiasa na sifa za kishamba na UKOME kabisa kutusemea kwa sababu hata sisi tuna midomo ya kujisemea.
Message sent & delivered
Mkuu wa mkoa yupi? Huyu wa sasa mwanamama? Kama ni Robert Gabriel Luhumbi ambaye alikuwa geita na sasa yupo mwanza nae ni msukuma mkuu. Hoja yako kwa mbunge Msukuma ya ukabila haina mashiko ni upuuzi tu Msukukuma anazungumza ukweli wake na anahaki ya kutoa maoni kama Diallo alivyotoa.
Umekaa na wazee wa kanda ya ziwa wapi na wakakutuma uwasemee? Unamkemea Msukuma asiwasemee, wakati huo huo wewe unajifanya kuwasemea wengine. Huu kama siyo ulofa ni kitu gani?Sisi wazee na watu wa kanda ya ziwa