Mbunge Musukuma acha kiherehere cha kutusemea watu wa Kanda ya Ziwa

Afanye siasa lakini hasituingize watu wa kanda ya ziwa kwenye agenda zake binafsi za kisiasa na ukabila wake. Kwa bahati nzuri yeye ni mbunge kwanini asizungumze kwa niaba ya wananchi wa jimbo lake hadi atuhusishe wananchi wote wa kanda ya ziwa,?
Hahahahaaa... Mkuu, hamtaki kuhusishwa katika hili?
 
Wewe utakuwa mchagga sio Bure
 
Nafikiri wanaosema Msukuma hastahili kuisemea Kanza ya Ziwa wapo sahihi kabisa hasa kwa vitu mbavyo hakutumwa. Moja pili je hiyo kanda ya ziwa hukutana lini na katika forum ipo inayojulikana kikatiba katiba inatambua Mkoa na sio kanda sasa sijui kuna NGO au chama kinachowakilisha kanda ya Ziwa? Je sera zake na je kimesajiliwa na Wizara ya mambo ya ndani? au ni kusadikika tu? Je uongozi huo wa kanda hiyo pendwa unajulikana kisheria? na wanamsemaji wao ambae ndio Msukuma? Wasukuma amkeni mtatumiwa na hata ambao sio wasukuma na kujifanya wasukuma ili kujipatia uongozi. Tafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…