fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,758
- 2,713
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akatae na magari aendelee kupanda punda maana hata V8 zimekuja majuzi tu hapa...wanasiasa kwakusaka kiki bwana alafu utakuta wapo wafuasi wake wanamshangilia kweli na kumuita shujaa kama wale waliokuwa wanadeki barabara