Mbunge Musukuma alivyoswekwa lupango baada ya kuongea hadharani kuwa Hayati Magufuli anamiliki hoteli

Mbunge Musukuma alivyoswekwa lupango baada ya kuongea hadharani kuwa Hayati Magufuli anamiliki hoteli

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Pelekeni watoto shule. Shule hata kama huna hela inaleta busara kujua uongee nini na wapi. Education is better than money. I am sorry. Money is better than Education

Watanzani tuna ujinga mmoja, kuamini kuwa umasikini ni sifa nzuri ya kuwa kiongozi, na ujinga huu kuna viongozi wameujua kitambo wakaamua kucheza na akili zetu

Nitoe mifano ya marais wawili JK na JPM.

Tuanze na JK, huyu alijua hii kitu akajifanya masikini kwa miaka ishirini ili tumuone ni mwenzetu na akawin. Mara kadhaa nimekunywa nae supu Kinondoni Hugo house, mara kadhaa nilimkuta Saigon akicheza drafr, au pale magomeni karibu ba shibam akinywa kahawa.

Kuna siku akiwa waziri wa mambo ya nje tulipanga nae foleni CRDB Holand House Branch kwenye foleni ya kuelejea ATM, akatoa pesa àkaingia kwenye lile dude plate number W NJ.

Kipindi hicho hapa Dar ana nyumba moja tu karibu na ofisi ya Zantel, jirani na Dokta Peter Kasiga, Regent Estate,Chato Street, nyumba yenyewe ni ya kulazimishwa kununua na JPM na BWM. mwanzoni aligoma kabisa kununua hiyo nyumba ya serikali, akakumbushwa ule usemi wa Join us or Leave us.

Kama angekufa kipindi hicho nyumba pekee ambayo angejisifu kuwa alijenga ni ile ya Bagamoyo karibu na uwanja wa mpira, nyumba ya kawaida hata mimi mdukuzi ninayo. Pale msoga ulikuwa msitu tu wa ngedere.

Watoto wake wote walisoma hapa nchini, Tukamuona mwenzetu tukampa nchi.

Baada ya kustaafu, Msoga ni kijiji ndani ya kijiji, makazi rasmi kwa Dar yamehama toka mikocheni mpaka Masaki.

Tuje kwa JPM huyu alijifanya mnyonge na masikini, mara kala kwa mama lishe, nara kala mahindi ya kuchoma barabarani ili tumuone ni mwenzetu.

Huwezi kuwa waziri wa ujenzi miaka zaidi ya 15 ukawa mwenzetu. Kilometer moja ya lami ni zaidi ya bilioni 1.5, kasimamia kama ngapi nchi hii. Mshahara wa ubunge, mshahara wa uwaziri, perdiem, nk usimchukulie poa.

Kule kwao aliamua kuwekeza kwenye hotel kwa lengo moja tu, kuufungua mji wa chato upate wageni na uwe na hadhi, alipapebda sana nyumbani, lakini hakutaka watu wajue kuwa anamiliki hotel.

IKULU DSM.
Rais anazungumza na wadau wa sekta ya madini, mkutano uko live radioni na kwenye TV karibu zote wabunge wa majimbo yenye madini wanaalikwa akiwemo DK Musukuma.

Muda wa maswali ba kuchangia hoja unafika, DK Musukuma anapewa Mic, anaanza kuwachongea TRA na anatoa mfano, namnukuu, "Mheshimiwa Rais wewe mwenyewe una Hotel na unaelewa .......""

JPM akashusha mawani akamuangalia akajifanya kama abachora chora hivi, mara akajifanya kama anajikuna.

Baada ya ule mkutano Dk Musukuma anaambiwa asiondoke asubiiri, Jioni anapakizwa kwenye gari ya polisi mpaka lupango kwa siku tatu.

Uzuri Dkt. Musukuma ni mtu wa masihara wala hakuwa na beef na JPM alikuwa anafanya kama utani wa mtu na babu yake.
 
Pelekeni watoto shule.
Shule hata kama huna hela inaleta busara kujua uongee nini na wapi.

Education is better than money....Am sorry..Money is better than Education

Watanzani tuna ujinga mmoja,kuamini kuwa umasikini ni sifa nzuri ya kuwa kiongozi,na ujinga huu kuna viongozi wameujua kitambo wakaamua kucheza na akili zetu

Nitoe mifano ya marais wawili JK na JPM.

Tuanze na JK,huyu alijua hii kitu akajifanya masikini kwa miaka ishirini ili tumuone ni mwenzetu na akawin.
Mara kadhaa nimekunywa nae supu Kinondoni Hugo house,mara kadhaa nilimkuta Saigon akicheza drafr,au pale magomeni karibu ba shibam akinywa kahawa.
Kuna siku akiwa waziri wa mambo ya nje tulipanga nae foleni CRDB Holand House Branch kwenye foleni ya kuelejea ATM,akatoa pesa àkaingia kwenye lile dude plate number W NJ

Kipindi hicho hapa Dar ana nyumba moja tu karibu
na ofisi ya Zantel,jirani na Dokta Peter Kasiga,tena nyumba yenyewe ni ya kulazimishwa kununua na JPM na BWM.mwanzoni aligoma kabisa kununua hiyo nyumba ya serikali,akakumbushwa ule usemi wa Join us or Leave us.

Kama angekufa kipindi hicho nyumba pekee ambayo angejisifu kuwa alijenga ni ile ya Bagamoyo karibu na uwanja wa mpira,nyumba ya kawaida hata mimi mdukuzi ninayo.
Pale msoga ulikuwa msitu tu wa ngedere

Watoto wake wote walisoma hapa nchini
Tukamuona mwenzetu tukampa nchi

Baada ya kustaafu,Msoga ni kijiji ndani ya kijiji,makazi rasmi kwa Dar yamehama toka mikocheni mpaka Masaki

Tuje kwa JPM huyu alijifanya mnyonge na masikini,mara kala kwa mama lishe,nara kala mahindi ya kuchoma barabarani ili tumuone ni mwenzetu.
Huwezi kuwa waziri wa ujenzi miaka zaidi ya 15 ukawa mwenzetu.
Kilometer moja ya lami ni zaidi ya bilioni 1.5,kasimamia km ngapi nchi hii.
Mshahara wa ubunge,mshahara wa uwaziri,perdiem,nk usimchukulie poa.

Kule kwao aliamua kuwekeza kwenye hotel kwa lengo moja tu,kuufungua mji wa chato upate wageni na uwe na hadhi,alipapebda sana nyumbani,lakini hakutaka watu wajue kuwa anamiliki hotel.

IKULU DSM.
Rais anazungumza na wadau wa sekta ya madini,mkutano uko live radioni na kwenye TV karibu zote wabunge wa majimbo yenye madini wanaalikwa akiwemo DK Musukuma
Muda wa maswali ba kuchangia hoja unafika,DK Musukuma anapewa Mic ,anaanza kuwachongea TRA na anatoa mfano,namnukuu,""Mheshimiwa Rais wewe mwenyewe una Hotel na unaelewa .......""

JPM akashusha mawani akamuangalia akajifanya kama abachora chora hivi ,mara akajifanya kama anajikuna,

Baada ya ule mkutano Dk Musukuma anaambiwa asiondoke asubiiri ,jioni anapakizwa kwenye gari ya polisi mpaka lupango kwa siku tatu.

Uzuri Dk Musukuma ni mtu wa masihara wala hakuwa na beef na JPM alikuwa anafanya kama utani wa mtu na babu yake
Hizi ni za ndani kabisa
 
Msukuma ni kati ya wabunge waongo sana, pia msukuma ni kigeu geu sana , anaemwamini msukuma huyo ni WA kumpa pole.

Msukuma kwanza alikuwa hapatani na Magufuli baada ya Msukuma kumsupport Lowasa 2015, baadae katika kutafuta wadhamini wa Urais, Magufuli alifika Geita na hakupata ushirikiano kutoka Kwa mwenyekiti wa mkoa wa CCM kipindi hicho ni Msukuma, hata idadi ya wadhamini walio mdhamini Magufuli Geita walikuwa ni wachache ukilinganisha na Mikoa mingine maana msukuma alikuwa ameweka figisu Kwa Magufuli.

Baada ya Magufuli kushinda kura za maoni na kuwa mgombea wa CCM , Lowasa alihamia chadema na msukuma alimiahidi before jina likikatwa tu sisi sote tuta kufuata chadema, je mliona amemfuata Lowasa chadema? No alibadili gear na hatimae akawa ana mtukana Lowasa kwenye majukwaa kuwa ohh amejinyea blablabla, huyu ni mnafiki na Magufuli alimjua vizuri.

Sasa Rais akawa Magufuli, wasiomjua Msukuma moja kati ya wapiga deal wazuri, na group lake lilikuwa na wafanya biashara wanao onea wachimbaji wadiogo wadogo hapo Geita, so Magufuli alikuwa na information ila ana mwangalia tu, ana jaribu kujipendekeza ila Magufuli ana mkwepa, Magufuli alikuwa ana pita tu Geita akisalimia anaendelea na safari zake hadi chato.

Issue nyingine, Msukuma alikuwa na scandals ya kuuza vyuma chakafu, tena za deals wana piga wana safirisha hadi Dar bila vibali vya mazingira, na containers zake zilikamatwa zikawekwa kizuizuni, akaanza kumtafuta Magufuli amsaidie bila mafanikio, msukuma huyu alikuwa akisikia Magufuli Yuko chato anaenda chato ana kaa hotelini akitafuta njia ya kumuona Magufuli bila mafanikio, hadi hapo Ummy mwalimu alikuja kumsaidia msukuma, alipo kuwa waziri wa Mazingira na aka fikisha ujumbe wa msukuma wa kuliaia hivyo Kwa Magufuli na hatimae containers zake ziliachiliwa.

Hivyo huyu jamaa ni muongo na hakuwahi kuwa karibu na Magufuli, hizi story zake ni fake, yaani nawa hurumia watanzania maana CCM ni majanga.
 
Pelekeni watoto shule.
Shule hata kama huna hela inaleta busara kujua uongee nini na wapi.

Education is better than money....Am sorry..Money is better than Education

Watanzani tuna ujinga mmoja,kuamini kuwa umasikini ni sifa nzuri ya kuwa kiongozi,na ujinga huu kuna viongozi wameujua kitambo wakaamua kucheza na akili zetu

Nitoe mifano ya marais wawili JK na JPM.

Tuanze na JK,huyu alijua hii kitu akajifanya masikini kwa miaka ishirini ili tumuone ni mwenzetu na akawin.
Mara kadhaa nimekunywa nae supu Kinondoni Hugo house,mara kadhaa nilimkuta Saigon akicheza drafr,au pale magomeni karibu ba shibam akinywa kahawa.
Kuna siku akiwa waziri wa mambo ya nje tulipanga nae foleni CRDB Holand House Branch kwenye foleni ya kuelejea ATM,akatoa pesa àkaingia kwenye lile dude plate number W NJ

Kipindi hicho hapa Dar ana nyumba moja tu karibu
na ofisi ya Zantel,jirani na Dokta Peter Kasiga,tena nyumba yenyewe ni ya kulazimishwa kununua na JPM na BWM.mwanzoni aligoma kabisa kununua hiyo nyumba ya serikali,akakumbushwa ule usemi wa Join us or Leave us.

Kama angekufa kipindi hicho nyumba pekee ambayo angejisifu kuwa alijenga ni ile ya Bagamoyo karibu na uwanja wa mpira,nyumba ya kawaida hata mimi mdukuzi ninayo.
Pale msoga ulikuwa msitu tu wa ngedere

Watoto wake wote walisoma hapa nchini
Tukamuona mwenzetu tukampa nchi

Baada ya kustaafu,Msoga ni kijiji ndani ya kijiji,makazi rasmi kwa Dar yamehama toka mikocheni mpaka Masaki

Tuje kwa JPM huyu alijifanya mnyonge na masikini,mara kala kwa mama lishe,nara kala mahindi ya kuchoma barabarani ili tumuone ni mwenzetu.
Huwezi kuwa waziri wa ujenzi miaka zaidi ya 15 ukawa mwenzetu.
Kilometer moja ya lami ni zaidi ya bilioni 1.5,kasimamia km ngapi nchi hii.
Mshahara wa ubunge,mshahara wa uwaziri,perdiem,nk usimchukulie poa.

Kule kwao aliamua kuwekeza kwenye hotel kwa lengo moja tu,kuufungua mji wa chato upate wageni na uwe na hadhi,alipapebda sana nyumbani,lakini hakutaka watu wajue kuwa anamiliki hotel.

IKULU DSM.
Rais anazungumza na wadau wa sekta ya madini,mkutano uko live radioni na kwenye TV karibu zote wabunge wa majimbo yenye madini wanaalikwa akiwemo DK Musukuma
Muda wa maswali ba kuchangia hoja unafika,DK Musukuma anapewa Mic ,anaanza kuwachongea TRA na anatoa mfano,namnukuu,""Mheshimiwa Rais wewe mwenyewe una Hotel na unaelewa .......""

JPM akashusha mawani akamuangalia akajifanya kama abachora chora hivi ,mara akajifanya kama anajikuna,

Baada ya ule mkutano Dk Musukuma anaambiwa asiondoke asubiiri

Jioni anapakizwa kwenye gari ya polisi mpaka lupango kwa siku tatu.

Uzuri Dk Musukuma ni mtu wa masihara wala hakuwa na beef na JPM alikuwa anafanya kama utani wa mtu na babu yake
Wapumbavu ndio huwa mtaji wa wanasiasa,Mimi hawawezi nipata unless nitanufaika
 
Back
Top Bottom