Mbunge Musukuma alivyoswekwa lupango baada ya kuongea hadharani kuwa Hayati Magufuli anamiliki hoteli

Mbunge Musukuma alivyoswekwa lupango baada ya kuongea hadharani kuwa Hayati Magufuli anamiliki hoteli

Msukuma ni kati ya wabunge waongo sana, pia msukuma ni kigeu geu sana , anaemwamini msukuma huyo ni WA kumpa pole.

Msukuma kwanza alikuwa hapatani na Magufuli baada ya Msukuma kumsupport Lowasa 2015, baadae katika kutafuta wadhamini wa Urais, Magufuli alifika Geita na hakupata ushirikiano kutoka Kwa mwenyekiti wa mkoa wa CCM kipindi hicho ni Msukuma, hata idadi ya wadhamini walio mdhamini Magufuli Geita walikuwa ni wachache ukilinganisha na Mikoa mingine maana msukuma alikuwa ameweka figisu Kwa Magufuli.

Baada ya Magufuli kushinda kura za maoni na kuwa mgombea wa CCM , Lowasa alihamia chadema na msukuma alimiahidi before jina likikatwa tu sisi sote tuta kufuata chadema, je mliona amemfuata Lowasa chadema? No alibadili gear na hatimae akawa ana mtukana Lowasa kwenye majukwaa kuwa ohh amejinyea blablabla, huyu ni mnafiki na Magufuli alimjua vizuri.

Sasa Rais akawa Magufuli, wasiomjua Msukuma moja kati ya wapiga deal wazuri, na group lake lilikuwa na wafanya biashara wanao onea wachimbaji wadiogo wadogo hapo Geita, so Magufuli alikuwa na information ila ana mwangalia tu, ana jaribu kujipendekeza ila Magufuli ana mkwepa, Magufuli alikuwa ana pita tu Geita akisalimia anaendelea na safari zake hadi chato.

Issue nyingine, Msukuma alikuwa na scandals ya kuuza vyuma chakafu, tena za deals wana piga wana safirisha hadi Dar bila vibali vya mazingira, na containers zake zilikamatwa zikawekwa kizuizuni, akaanza kumtafuta Magufuli amsaidie bila mafanikio, msukuma huyu alikuwa akisikia Magufuli Yuko chato anaenda chato ana kaa hotelini akitafuta njia ya kumuona Magufuli bila mafanikio, hadi hapo Ummy mwalimu alikuja kumsaidia msukuma, alipo kuwa waziri wa Mazingira na aka fikisha ujumbe wa msukuma wa kuliaia hivyo Kwa Magufuli na hatimae containers zake ziliachiliwa.

Hivyo huyu jamaa ni muongo na hakuwahi kuwa karibu na Magufuli, hizi story zake ni fake, yaani nawa hurumia watanzania maana CCM ni majanga.

Umeiweka vizuri sana, huyu jamaa ni mnafiki sana na JPM alikua anamjua ndo mana hakuwahi kuwa na time nae.
 
Hilo sasa ni swala jingine. Hapa tulikuwa tunajadili hekima PLANE ya mtu pasipo kuwa na influences zingine kama hizo za siasa. Maana sasa tukianza kuongelea na external influencess, unaweza ukastukia wengine wanaingiza hata na maswala ya pombe kwamba "mtu akilewa pombe....."
Kweli mzee
 
Kuna watu wengi sana hawakupata tu fursa ya kwenda shule ila wako vizuri kichwani,Msukuma,Masoud kipanya nk.

Ila kuna wasomi wengi kama hawakwenda shule
bana weeee

hakupata fursa kivipi ?

shule zilikuwa bure

na shule nzuri ndo zilikuwa za serikali, za bure...

hao watu aidha hawakutaka kwenda shule...

au walikuwa wanafeli shule...

au Kasheku mwenyewe hakutaka kujiendeleza, maana alikuja kushika hela, kwa nini hakujisomesha ???

usimrembe rembe mtu ambae hakwenda shule enzi za Nyerere eti ana akili za shule bana...
 
Duh!...alizingua nini ?
Alilalamikiwa kutesa watu, kugonga watu misumari, kuwavunja. Jamaa akamwita dar akamtia ndani, siku chache tu baada ya kumfurahisha kukamata midolar, mzee hakujali.

Ambacho hatujui ni kwamba kuna mengi yalifanywa na watendaji tu wala hakuwatuma.
 
Msukuma ni kati ya wabunge waongo sana, pia msukuma ni kigeu geu sana , anaemwamini msukuma huyo ni WA kumpa pole.

Msukuma kwanza alikuwa hapatani na Magufuli baada ya Msukuma kumsupport Lowasa 2015, baadae katika kutafuta wadhamini wa Urais, Magufuli alifika Geita na hakupata ushirikiano kutoka Kwa mwenyekiti wa mkoa wa CCM kipindi hicho ni Msukuma, hata idadi ya wadhamini walio mdhamini Magufuli Geita walikuwa ni wachache ukilinganisha na Mikoa mingine maana msukuma alikuwa ameweka figisu Kwa Magufuli.

Baada ya Magufuli kushinda kura za maoni na kuwa mgombea wa CCM , Lowasa alihamia chadema na msukuma alimiahidi before jina likikatwa tu sisi sote tuta kufuata chadema, je mliona amemfuata Lowasa chadema? No alibadili gear na hatimae akawa ana mtukana Lowasa kwenye majukwaa kuwa ohh amejinyea blablabla, huyu ni mnafiki na Magufuli alimjua vizuri.

Sasa Rais akawa Magufuli, wasiomjua Msukuma moja kati ya wapiga deal wazuri, na group lake lilikuwa na wafanya biashara wanao onea wachimbaji wadiogo wadogo hapo Geita, so Magufuli alikuwa na information ila ana mwangalia tu, ana jaribu kujipendekeza ila Magufuli ana mkwepa, Magufuli alikuwa ana pita tu Geita akisalimia anaendelea na safari zake hadi chato.

Issue nyingine, Msukuma alikuwa na scandals ya kuuza vyuma chakafu, tena za deals wana piga wana safirisha hadi Dar bila vibali vya mazingira, na containers zake zilikamatwa zikawekwa kizuizuni, akaanza kumtafuta Magufuli amsaidie bila mafanikio, msukuma huyu alikuwa akisikia Magufuli Yuko chato anaenda chato ana kaa hotelini akitafuta njia ya kumuona Magufuli bila mafanikio, hadi hapo Ummy mwalimu alikuja kumsaidia msukuma, alipo kuwa waziri wa Mazingira na aka fikisha ujumbe wa msukuma wa kuliaia hivyo Kwa Magufuli na hatimae containers zake ziliachiliwa.

Hivyo huyu jamaa ni muongo na hakuwahi kuwa karibu na Magufuli, hizi story zake ni fake, yaani nawa hurumia watanzania maana CCM ni majanga.
Ni kweli Msukuma ni kajamaa kanafiki Sana, kako after money, bendera fuata upepo.
 
Alilalamikiwa kutesa watu, kugonga watu misumari, kuwavunja. Jamaa akamwita dar akamtia ndani, siku chache tu baada ya kumfurahisha kukamata midolar, mzee hakujali.

Ambacho hatujui ni kwamba kuna mengi yalifanywa na watendaji tu wala hakuwatuma.
Vipi kifo Cha kamanda mawazo nani alihusika.
 
Kinachomfanya mtu awe "in harmony with his environment" ni hekima, ambayo si zao la shule bali zao la akili ya kuzaliwa pamoja na uzoefu (experience) wa maisha. Expereience huwa inatokana na urefu wa muda ambao mtu ameutumia akiwa ana-interact na mazingira yake.
Kinachokupelekea wewe kumsifu Msukuma hapa, ni hekima ya Msukuma ambayo si zao la shule. Ni zao la nature pamoja na experience. Kama hekima ingekuwa inatokana na shule, wazee walioko kijijini ambao hawajui kusoma wala kuandika, wangekukwa ni vituko kijijini. Cha ajabu, wazee hao ndiyo wanaotegemewa hata na wasomi wengi wanaostaafu na kurudi kwenda kushi kijijini. Hekima haitokani na elimu ya darasani, isipokuwa mwenye elimu ya darasani ana uwezo mkubwa zaidi wa kuweza kui-harness's hekima yake ikawa juu zaidi ya ilivyotarajiwa kuwa
We jamaa Una akili sana
 
We jamaa Una akili sana
Nashukru sana kwa compliments zako
Hata hivyo naomba nitoe hoja hapa kwamba siyo kweli kwamba nina akili sana, kwa sababu kana ningekuwa hivyo, basi wewe usingeweza kugundua kuwa nina akili sana.

Kilichotokea kwenye post hii kati yangu mimi na wewe ni kwamba mimi nimejitahidi kuandika sawaswa kilicho kichwani kwangu, kukitoa kichwani kwangu na kukiweka kwenye karatasi ili na wengine waweze kukipata kama ninavyokifikiria kichwani kwangu na hivyo, baada ya wewe kuwa umekisoma, kikawiana na kile ambacho wewe mwenyewe huwa unacho kichwani mwako siku zote

Ningekuwa na akili sana, wewe usingeweza kugundua kuwa nina akili sana, lazima ningekupoteza mahali usingeelewa kitu.

Kile kilichopelekea wewe ukawa tempted kuniambia kuwa nina akili sana ni kwa sababu kile nilichoandika ndiyo kile ambacho kiko kwenye akili yako, kitu ambacho kina-prove kwamba fikra zako na zangu ziko sawa na hivyo akili zetu vile vile
 
Huu ni msingi aliouasisi baba hakuwahi kujilimbikizia mali kama pesa mjumba ya kifahari ndani ya nchi wala nje ya nchi na kwa muda aliokaa madarakani angeweza sana maana watanzania wengi wakati huo hawakuwa na elimu na ufahamu kama ilivyo Leo kwa hiyo huu ni utamaduni aliouanzisha baba na tumeuiga na kuukubali maana huwezi kuwa rais wetu Hulu unajikusanyia mali kwa tamaa wewe na familia yako hatutakuelewa na hiyo ndiyo inayowafanya wafiche Mali wanazomiliki.
Natokwa chozi kila nikiifikiria Tanzania ya miaka 100 ijayo, hali ya raia wengi wakati huo itakuwa ni mbaya sana kwasababu rasilimali nyingi zitakuwa kwenye miliki za watawala na familia zao
 
Back
Top Bottom