Mbunge Musukuma alivyoswekwa lupango baada ya kuongea hadharani kuwa Hayati Magufuli anamiliki hoteli

Mbunge Musukuma alivyoswekwa lupango baada ya kuongea hadharani kuwa Hayati Magufuli anamiliki hoteli

Pelekeni watoto shule. Shule hata kama huna hela inaleta busara kujua uongee nini na wapi. Education is better than money. Am sorry. Money is better than Education

Watanzani tuna ujinga mmoja, kuamini kuwa umasikini ni sifa nzuri ya kuwa kiongozi,na ujinga huu kuna viongozi wameujua kitambo wakaamua kucheza na akili zetu

Nitoe mifano ya marais wawili JK na JPM.

Tuanze na JK,huyu alijua hii kitu akajifanya masikini kwa miaka ishirini ili tumuone ni mwenzetu na akawin. Mara kadhaa nimekunywa nae supu Kinondoni Hugo house,mara kadhaa nilimkuta Saigon akicheza drafr,au pale magomeni karibu ba shibam akinywa kahawa.

Kuna siku akiwa waziri wa mambo ya nje tulipanga nae foleni CRDB Holand House Branch kwenye foleni ya kuelejea ATM,akatoa pesa àkaingia kwenye lile dude plate number W NJ.

Kipindi hicho hapa Dar ana nyumba moja tu karibu na ofisi ya Zantel, jirani na Dokta Peter Kasiga, Regent Estate,Chato Street,
nyumba yenyewe ni ya kulazimishwa kununua na JPM na BWM. mwanzoni aligoma kabisa kununua hiyo nyumba ya serikali, akakumbushwa ule usemi wa Join us or Leave us.

Kama angekufa kipindi hicho nyumba pekee ambayo angejisifu kuwa alijenga ni ile ya Bagamoyo karibu na uwanja wa mpira, nyumba ya kawaida hata mimi mdukuzi ninayo. Pale msoga ulikuwa msitu tu wa ngedere.

Watoto wake wote walisoma hapa nchini, Tukamuona mwenzetu tukampa nchi.

Baada ya kustaafu, Msoga ni kijiji ndani ya kijiji, makazi rasmi kwa Dar yamehama toka mikocheni mpaka Masaki.

Tuje kwa JPM huyu alijifanya mnyonge na masikini,mara kala kwa mama lishe,nara kala mahindi ya kuchoma barabarani ili tumuone ni mwenzetu.

Huwezi kuwa waziri wa ujenzi miaka zaidi ya 15 ukawa mwenzetu. Kilometer moja ya lami ni zaidi ya bilioni 1.5, kasimamia kama ngapi nchi hii. Mshahara wa ubunge, mshahara wa uwaziri, perdiem, nk usimchukulie poa.

Kule kwao aliamua kuwekeza kwenye hotel kwa lengo moja tu,kuufungua mji wa chato upate wageni na uwe na hadhi,alipapebda sana nyumbani,lakini hakutaka watu wajue kuwa anamiliki hotel.

IKULU DSM.
Rais anazungumza na wadau wa sekta ya madini, mkutano uko live radioni na kwenye TV karibu zote wabunge wa majimbo yenye madini wanaalikwa akiwemo DK Musukuma.

Muda wa maswali ba kuchangia hoja unafika,DK Musukuma anapewa Mic ,anaanza kuwachongea TRA na anatoa mfano,namnukuu, "Mheshimiwa Rais wewe mwenyewe una Hotel na unaelewa .......""

JPM akashusha mawani akamuangalia akajifanya kama abachora chora hivi, mara akajifanya kama anajikuna.

Baada ya ule mkutano Dk Musukuma anaambiwa asiondoke asubiiri, Jioni anapakizwa kwenye gari ya polisi mpaka lupango kwa siku tatu.

Uzuri Dkt. Musukuma ni mtu wa masihara wala hakuwa na beef na JPM alikuwa anafanya kama utani wa mtu na babu yake.
Story changamsha genge muda uende
 
Pelekeni watoto shule. Shule hata kama huna hela inaleta busara kujua uongee nini na wapi. Education is better than money. Am sorry. Money is better than Education

Watanzani tuna ujinga mmoja, kuamini kuwa umasikini ni sifa nzuri ya kuwa kiongozi,na ujinga huu kuna viongozi wameujua kitambo wakaamua kucheza na akili zetu

Nitoe mifano ya marais wawili JK na JPM.

Tuanze na JK,huyu alijua hii kitu akajifanya masikini kwa miaka ishirini ili tumuone ni mwenzetu na akawin. Mara kadhaa nimekunywa nae supu Kinondoni Hugo house,mara kadhaa nilimkuta Saigon akicheza drafr,au pale magomeni karibu ba shibam akinywa kahawa.

Kuna siku akiwa waziri wa mambo ya nje tulipanga nae foleni CRDB Holand House Branch kwenye foleni ya kuelejea ATM,akatoa pesa àkaingia kwenye lile dude plate number W NJ.

Kipindi hicho hapa Dar ana nyumba moja tu karibu na ofisi ya Zantel, jirani na Dokta Peter Kasiga, Regent Estate,Chato Street,
nyumba yenyewe ni ya kulazimishwa kununua na JPM na BWM. mwanzoni aligoma kabisa kununua hiyo nyumba ya serikali, akakumbushwa ule usemi wa Join us or Leave us.

Kama angekufa kipindi hicho nyumba pekee ambayo angejisifu kuwa alijenga ni ile ya Bagamoyo karibu na uwanja wa mpira, nyumba ya kawaida hata mimi mdukuzi ninayo. Pale msoga ulikuwa msitu tu wa ngedere.

Watoto wake wote walisoma hapa nchini, Tukamuona mwenzetu tukampa nchi.

Baada ya kustaafu, Msoga ni kijiji ndani ya kijiji, makazi rasmi kwa Dar yamehama toka mikocheni mpaka Masaki.

Tuje kwa JPM huyu alijifanya mnyonge na masikini,mara kala kwa mama lishe,nara kala mahindi ya kuchoma barabarani ili tumuone ni mwenzetu.

Huwezi kuwa waziri wa ujenzi miaka zaidi ya 15 ukawa mwenzetu. Kilometer moja ya lami ni zaidi ya bilioni 1.5, kasimamia kama ngapi nchi hii. Mshahara wa ubunge, mshahara wa uwaziri, perdiem, nk usimchukulie poa.

Kule kwao aliamua kuwekeza kwenye hotel kwa lengo moja tu,kuufungua mji wa chato upate wageni na uwe na hadhi,alipapebda sana nyumbani,lakini hakutaka watu wajue kuwa anamiliki hotel.

IKULU DSM.
Rais anazungumza na wadau wa sekta ya madini, mkutano uko live radioni na kwenye TV karibu zote wabunge wa majimbo yenye madini wanaalikwa akiwemo DK Musukuma.

Muda wa maswali ba kuchangia hoja unafika,DK Musukuma anapewa Mic ,anaanza kuwachongea TRA na anatoa mfano,namnukuu, "Mheshimiwa Rais wewe mwenyewe una Hotel na unaelewa .......""

JPM akashusha mawani akamuangalia akajifanya kama abachora chora hivi, mara akajifanya kama anajikuna.

Baada ya ule mkutano Dk Musukuma anaambiwa asiondoke asubiiri, Jioni anapakizwa kwenye gari ya polisi mpaka lupango kwa siku tatu.

Uzuri Dkt. Musukuma ni mtu wa masihara wala hakuwa na beef na JPM alikuwa anafanya kama utani wa mtu na babu yake.
JK alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati ule. Nikapita pale Upanga kwenye ile Shule ya Sekondari ya Waislam( Al Mutanzir, nadhani inaitwa). Nikamuona dereva mmoja wa Serikali. Nikamuuliza anafanya nini pale. Akasema amekuja watoto wa JK. Nikamuuliza watoto hawasomi nje ya nchi? Akasema, no, wanasoma hapa. Kilichonifanya niamini( kwamba ati watoto wa JK wanasoma nchini) ni kwamba yule aliyekuwa ananieleza nilikuwa namfahamu muda mrefu. Yule mtu alikuwa ni " ndugu yangu" so to speak.
Kwa nini nilikuwa nashangaa? Kwa sababu nimekutana na watu wengi sana wa Foreign Service. Wanapenda sana kuongea jinsi watoto wao wanavyosoma nje
 
JK alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati ule. Nikapita pale Upanga kwenye ile Shule ya Sekondari ya Waislam( Al Mutanzir, nadhani inaitwa). Nikamuona dereva mmoja wa Serikali. Nikamuuliza anafanya nini pale. Akasema amekuja watoto wa JK. Nikamuuliza watoto hawasomi nje ya nchi? Akasema, no, wanasoma hapa. Kilichonifanya niamini( kwamba ati watoto wa JK wanasoma nchini) ni kwamba yule aliyekuwa ananieleza nilikuwa namfahamu muda mrefu. Yule mtu alikuwa ni " ndugu yangu" so to speak.
Kwa nini nilikuwa nashangaa? Kwa sababu nimekutana na watu wengi sana wa Foreign Service. Wanapenda sana kuongea jinsi watoto wao wanavyosoma nje
Hakuna mtoto wa JK wala JPM aliyesomea nje sekondari au undergraduate,haikuwa bahati mbaya ni kwa sababu za kisiasa tuwaone ni wenzetu na wakafanikiwa kutushawishi
 
Pelekeni watoto shule. Shule hata kama huna hela inaleta busara kujua uongee nini na wapi. Education is better than money. Am sorry. Money is better than Education

Watanzani tuna ujinga mmoja, kuamini kuwa umasikini ni sifa nzuri ya kuwa kiongozi,na ujinga huu kuna viongozi wameujua kitambo wakaamua kucheza na akili zetu

Nitoe mifano ya marais wawili JK na JPM.

Tuanze na JK,huyu alijua hii kitu akajifanya masikini kwa miaka ishirini ili tumuone ni mwenzetu na akawin. Mara kadhaa nimekunywa nae supu Kinondoni Hugo house,mara kadhaa nilimkuta Saigon akicheza drafr,au pale magomeni karibu ba shibam akinywa kahawa.

Kuna siku akiwa waziri wa mambo ya nje tulipanga nae foleni CRDB Holand House Branch kwenye foleni ya kuelejea ATM,akatoa pesa àkaingia kwenye lile dude plate number W NJ.

Kipindi hicho hapa Dar ana nyumba moja tu karibu na ofisi ya Zantel, jirani na Dokta Peter Kasiga, Regent Estate,Chato Street,
nyumba yenyewe ni ya kulazimishwa kununua na JPM na BWM. mwanzoni aligoma kabisa kununua hiyo nyumba ya serikali, akakumbushwa ule usemi wa Join us or Leave us.

Kama angekufa kipindi hicho nyumba pekee ambayo angejisifu kuwa alijenga ni ile ya Bagamoyo karibu na uwanja wa mpira, nyumba ya kawaida hata mimi mdukuzi ninayo. Pale msoga ulikuwa msitu tu wa ngedere.

Watoto wake wote walisoma hapa nchini, Tukamuona mwenzetu tukampa nchi.

Baada ya kustaafu, Msoga ni kijiji ndani ya kijiji, makazi rasmi kwa Dar yamehama toka mikocheni mpaka Masaki.

Tuje kwa JPM huyu alijifanya mnyonge na masikini,mara kala kwa mama lishe,nara kala mahindi ya kuchoma barabarani ili tumuone ni mwenzetu.

Huwezi kuwa waziri wa ujenzi miaka zaidi ya 15 ukawa mwenzetu. Kilometer moja ya lami ni zaidi ya bilioni 1.5, kasimamia kama ngapi nchi hii. Mshahara wa ubunge, mshahara wa uwaziri, perdiem, nk usimchukulie poa.

Kule kwao aliamua kuwekeza kwenye hotel kwa lengo moja tu,kuufungua mji wa chato upate wageni na uwe na hadhi,alipapebda sana nyumbani,lakini hakutaka watu wajue kuwa anamiliki hotel.

IKULU DSM.
Rais anazungumza na wadau wa sekta ya madini, mkutano uko live radioni na kwenye TV karibu zote wabunge wa majimbo yenye madini wanaalikwa akiwemo DK Musukuma.

Muda wa maswali ba kuchangia hoja unafika,DK Musukuma anapewa Mic ,anaanza kuwachongea TRA na anatoa mfano,namnukuu, "Mheshimiwa Rais wewe mwenyewe una Hotel na unaelewa .......""

JPM akashusha mawani akamuangalia akajifanya kama abachora chora hivi, mara akajifanya kama anajikuna.

Baada ya ule mkutano Dk Musukuma anaambiwa asiondoke asubiiri, Jioni anapakizwa kwenye gari ya polisi mpaka lupango kwa siku tatu.

Uzuri Dkt. Musukuma ni mtu wa masihara wala hakuwa na beef na JPM alikuwa anafanya kama utani wa mtu na babu yake.
Wewe ndo ulikuwa unaona masikini.
 
Kinachomfanya mtu awe "in harmony with his environment" ni hekima, ambayo si zao la shule bali zao la akili ya kuzaliwa pamoja na uzoefu (experience) wa maisha. Expereience huwa inatokana na urefu wa muda ambao mtu ameutumia akiwa ana-interact na mazingira yake.
Kinachokupelekea wewe kumsifu Msukuma hapa, ni hekima ya Msukuma ambayo si zao la shule. Ni zao la nature pamoja na experience. Kama hekima ingekuwa inatokana na shule, wazee walioko kijijini ambao hawajui kusoma wala kuandika, wangekukwa ni vituko kijijini. Cha ajabu, wazee hao ndiyo wanaotegemewa hata na wasomi wengi wanaostaafu na kurudi kwenda kushi kijijini. Hekima haitokani na elimu ya darasani, isipokuwa mwenye elimu ya darasani ana uwezo mkubwa zaidi wa kuweza kui-harness's hekima yake ikawa juu zaidi ya ilivyotarajiwa kuwa
Kweli. Ila hata uwe na hekima na maarifa kiasi Gani, siasa ikitawala kichwani, unageuka debe tupu, maana kuna uhusiano kati ya mwanasiasa mzuri na unafiki.
 
Kweli. Ila hata uwe na hekima na maarifa kiasi Gani, siasa ikitawala kichwani, unageuka debe tupu, maana kuna uhusiano kati ya mwanasiasa mzuri na unafiki.
Hilo sasa ni swala jingine. Hapa tulikuwa tunajadili hekima PLANE ya mtu pasipo kuwa na influences zingine kama hizo za siasa. Maana sasa tukianza kuongelea na external influencess, unaweza ukastukia wengine wanaingiza hata na maswala ya pombe kwamba "mtu akilewa pombe....."
 
Pelekeni watoto shule. Shule hata kama huna hela inaleta busara kujua uongee nini na wapi. Education is better than money. Am sorry. Money is better than Education

Watanzani tuna ujinga mmoja, kuamini kuwa umasikini ni sifa nzuri ya kuwa kiongozi,na ujinga huu kuna viongozi wameujua kitambo wakaamua kucheza na akili zetu

Nitoe mifano ya marais wawili JK na JPM.

Tuanze na JK,huyu alijua hii kitu akajifanya masikini kwa miaka ishirini ili tumuone ni mwenzetu na akawin. Mara kadhaa nimekunywa nae supu Kinondoni Hugo house,mara kadhaa nilimkuta Saigon akicheza drafr,au pale magomeni karibu ba shibam akinywa kahawa.

Kuna siku akiwa waziri wa mambo ya nje tulipanga nae foleni CRDB Holand House Branch kwenye foleni ya kuelejea ATM,akatoa pesa àkaingia kwenye lile dude plate number W NJ.

Kipindi hicho hapa Dar ana nyumba moja tu karibu na ofisi ya Zantel, jirani na Dokta Peter Kasiga, Regent Estate,Chato Street,
nyumba yenyewe ni ya kulazimishwa kununua na JPM na BWM. mwanzoni aligoma kabisa kununua hiyo nyumba ya serikali, akakumbushwa ule usemi wa Join us or Leave us.

Kama angekufa kipindi hicho nyumba pekee ambayo angejisifu kuwa alijenga ni ile ya Bagamoyo karibu na uwanja wa mpira, nyumba ya kawaida hata mimi mdukuzi ninayo. Pale msoga ulikuwa msitu tu wa ngedere.

Watoto wake wote walisoma hapa nchini, Tukamuona mwenzetu tukampa nchi.

Baada ya kustaafu, Msoga ni kijiji ndani ya kijiji, makazi rasmi kwa Dar yamehama toka mikocheni mpaka Masaki.

Tuje kwa JPM huyu alijifanya mnyonge na masikini,mara kala kwa mama lishe,nara kala mahindi ya kuchoma barabarani ili tumuone ni mwenzetu.

Huwezi kuwa waziri wa ujenzi miaka zaidi ya 15 ukawa mwenzetu. Kilometer moja ya lami ni zaidi ya bilioni 1.5, kasimamia kama ngapi nchi hii. Mshahara wa ubunge, mshahara wa uwaziri, perdiem, nk usimchukulie poa.

Kule kwao aliamua kuwekeza kwenye hotel kwa lengo moja tu,kuufungua mji wa chato upate wageni na uwe na hadhi,alipapebda sana nyumbani,lakini hakutaka watu wajue kuwa anamiliki hotel.

IKULU DSM.
Rais anazungumza na wadau wa sekta ya madini, mkutano uko live radioni na kwenye TV karibu zote wabunge wa majimbo yenye madini wanaalikwa akiwemo DK Musukuma.

Muda wa maswali ba kuchangia hoja unafika,DK Musukuma anapewa Mic ,anaanza kuwachongea TRA na anatoa mfano,namnukuu, "Mheshimiwa Rais wewe mwenyewe una Hotel na unaelewa .......""

JPM akashusha mawani akamuangalia akajifanya kama abachora chora hivi, mara akajifanya kama anajikuna.

Baada ya ule mkutano Dk Musukuma anaambiwa asiondoke asubiiri, Jioni anapakizwa kwenye gari ya polisi mpaka lupango kwa siku tatu.

Uzuri Dkt. Musukuma ni mtu wa masihara wala hakuwa na beef na JPM alikuwa anafanya kama utani wa mtu na babu yake.
Usichokijua ni heribya wakna musukuma kuliko nyinyi Mtaala gani tanzania utamzalisha Kiongozi bora?? Wenye elimu wote wanaact ujinga, wengine wanashauri bangi uruhusiwe, wengine wanashauri viwanda vya pombe viboreshwe, wengine wanashauri fukwe ziwekewe mazingira mazuri ya uzinzi, wengine wanashauri ushoga, what kind of education do you have? Nyote niyinyi mmesoma ila hamba maarifa thats y viongozi bora kutoka Tanzania walikuwepo zamaaani sana na wote wlifariki zama za akina Chief Mkwawa na Songea Mbano
 
Pelekeni watoto shule. Shule hata kama huna hela inaleta busara kujua uongee nini na wapi. Education is better than money. Am sorry. Money is better than Education

Watanzani tuna ujinga mmoja, kuamini kuwa umasikini ni sifa nzuri ya kuwa kiongozi,na ujinga huu kuna viongozi wameujua kitambo wakaamua kucheza na akili zetu

Nitoe mifano ya marais wawili JK na JPM.

Tuanze na JK,huyu alijua hii kitu akajifanya masikini kwa miaka ishirini ili tumuone ni mwenzetu na akawin. Mara kadhaa nimekunywa nae supu Kinondoni Hugo house,mara kadhaa nilimkuta Saigon akicheza drafr,au pale magomeni karibu ba shibam akinywa kahawa.

Kuna siku akiwa waziri wa mambo ya nje tulipanga nae foleni CRDB Holand House Branch kwenye foleni ya kuelejea ATM,akatoa pesa àkaingia kwenye lile dude plate number W NJ.

Kipindi hicho hapa Dar ana nyumba moja tu karibu na ofisi ya Zantel, jirani na Dokta Peter Kasiga, Regent Estate,Chato Street,
nyumba yenyewe ni ya kulazimishwa kununua na JPM na BWM. mwanzoni aligoma kabisa kununua hiyo nyumba ya serikali, akakumbushwa ule usemi wa Join us or Leave us.

Kama angekufa kipindi hicho nyumba pekee ambayo angejisifu kuwa alijenga ni ile ya Bagamoyo karibu na uwanja wa mpira, nyumba ya kawaida hata mimi mdukuzi ninayo. Pale msoga ulikuwa msitu tu wa ngedere.

Watoto wake wote walisoma hapa nchini, Tukamuona mwenzetu tukampa nchi.

Baada ya kustaafu, Msoga ni kijiji ndani ya kijiji, makazi rasmi kwa Dar yamehama toka mikocheni mpaka Masaki.

Tuje kwa JPM huyu alijifanya mnyonge na masikini,mara kala kwa mama lishe,nara kala mahindi ya kuchoma barabarani ili tumuone ni mwenzetu.

Huwezi kuwa waziri wa ujenzi miaka zaidi ya 15 ukawa mwenzetu. Kilometer moja ya lami ni zaidi ya bilioni 1.5, kasimamia kama ngapi nchi hii. Mshahara wa ubunge, mshahara wa uwaziri, perdiem, nk usimchukulie poa.

Kule kwao aliamua kuwekeza kwenye hotel kwa lengo moja tu,kuufungua mji wa chato upate wageni na uwe na hadhi,alipapebda sana nyumbani,lakini hakutaka watu wajue kuwa anamiliki hotel.

IKULU DSM.
Rais anazungumza na wadau wa sekta ya madini, mkutano uko live radioni na kwenye TV karibu zote wabunge wa majimbo yenye madini wanaalikwa akiwemo DK Musukuma.

Muda wa maswali ba kuchangia hoja unafika,DK Musukuma anapewa Mic ,anaanza kuwachongea TRA na anatoa mfano,namnukuu, "Mheshimiwa Rais wewe mwenyewe una Hotel na unaelewa .......""

JPM akashusha mawani akamuangalia akajifanya kama abachora chora hivi, mara akajifanya kama anajikuna.

Baada ya ule mkutano Dk Musukuma anaambiwa asiondoke asubiiri, Jioni anapakizwa kwenye gari ya polisi mpaka lupango kwa siku tatu.

Uzuri Dkt. Musukuma ni mtu wa masihara wala hakuwa na beef na JPM alikuwa anafanya kama utani wa mtu na babu yake.
Hii chai au al-kasusu!?
 
Back
Top Bottom