Nadiriki kutamka kwamba huyo alotajwa hapa pamoja na wenzie wa aina yake ni SABABU mojawapo ya nchi hii kutosogea KANANI kwa kasi stahiki yetu. Sio tu kwamba ni WAPAYUKAJI bila SUBSTANCE, uelewa wao wa ULIMWENGU huu unaohitaji nyongeza ya MAARIFA yapatikanayo baada ya ELIMU YAO YA CHEKECHEA ni finyu na TUSI. Chombo chetu cha kutunga sheria, BUNGE kingefaidika zaidi iwapo UWEZO ungepaishwa juu zaidi na wenye ELIMU nzuri na akili toshelezi. Ubingwa wa kupayuka payuka na vijimambo vidogodogo tena kiupashaji uelekezwe kwingine.
Nanukuu: "Lumpenproletariat"
Roughly translated as slum workers or the mob, this term identifies the class of outcast, degenerated and submerged elements that make up a section of the population of industrial centers. It includes beggars, prostitutes, gangsters, racketeers, swindlers, petty criminals, tramps, chronic unemployed or unemployables, persons who have been cast out by industry, and all sorts of declassed, degraded or degenerated elements. In times of prolonged crisis (depression), innumerable young people also, who cannot find an opportunity to enter into the social organism as producers, are pushed into this ...
ULUMPENI from a Marxist perspective, the case ya jamaa hao tajwa iko hivi:
In here demagogues and fascists of various stripes find some area of the mass base in time of struggle and social breakdown, when the ranks of the Lumpenproletariat are enormously swelled by ruined and declassed elements from all layers of a society in decay.
Ha ha!