Mbunge Musukuma na simu yake

Mbunge Musukuma na simu yake

Wasukuma wasio na Yesu ni washirikina sana.Mauaji ya vikongwe na albino kwa sababu ya imani za kishirikina yalianzia huko.Huenda huyo hilo ni moja ya masharti ya mganga wa kienyeji!
 
eti huyu nae mbunge..afu watz tunataka maendeleo.. kazi kweli kweli!!
Haaaa haaa sasa kama wote mnafanana si lazima mchague mmoja wenu humo humo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hata mm kuna saa yangu siwezi kuacha kuivaa mwaka wa 5 huu
 
Kwan mahitaji ya muhim ya sim ni yap, kama ni kupiga kupokea kusoma na kutuma sms haina shida , mengine mbwembwe tu
Lakini pia mkuu mahitaji huaga yanaongezek kutokana na kipato kupanda.....mbunge kwa hadhi yake na Tecno hiyooo?
 
Cha ajabu ni kufunga rubber band kwenye simu, huyu mtu haoni umuhimu wa maintenance wala quality ya chochote...

...lami zikikongoroka atasema jazeni kifusi

...IV Fluids zikiisha mahospitalini atasema wapeni maji ya chumvi

.... wananchi wanakutumia picha na documents za vitu vinavyohitaji attention wewe una kitochi hakiwezi kuzifungua

... wananchi wake wenye TECNO za laki moja wako more informed na ulimwengu kwa vile huyu amepitwa na mapinduzi ya habari, hajui kinachoendelea nchini wala duniani kwa sababu anapata taarifa zake kwa kusubiri gazeti la kesho au taarifa ya TBC

Ndio upeo wake. Hatuwezi kupata maendeleo na watu kama hawa wenye simu za raba bendi!
Kweli kabisa Mkuu hili ni neno!
 
Back
Top Bottom