Ha ha haaaa,Acha kuichafua Bangi mkuu.
Huyu alizaliwa na ukichaa wa kurithi.
Haaaa haaa sasa kama wote mnafanana si lazima mchague mmoja wenu humo humo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]eti huyu nae mbunge..afu watz tunataka maendeleo.. kazi kweli kweli!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha kuichafua Bangi mkuu.
Huyu alizaliwa na ukichaa wa kurithi.
King Msukuma pia ni kituko sana hapa mjini Dodoma maana hii simu unamkuta anaitumia na anajivunia kisa inatunza chajiHuyu ni Mchekeshaji tu Bungeni..!
[emoji23][emoji23]Kichaa huyo a.k.a stand up comedy wa bungeni
Mada kuhusu simu ya Msukuma au jambo lake jingine?Nakumbuka hii mada ilishaletwa hapa
Anayo anasema inatunza sana chaji pia ana historia nayo!anakwambia hadi walinzi wa ikulu wanaifahamu simu yake......
kwani bado anayo tuuu
Cha ajabu sababu zinazofanya asiitupe u kubadili na kununua nyingine!Kama inatimiza mahitaji yake cha ajabu nini?
Lakini mkuu wakati ni ukuta?ishi maisha yako kwanini ulazimishwe na watu wakufanyie maamuzi jinsi ya kuishi
[emoji36] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jicho la bange hana jipya
Tena kama unaendelea kuivuta ndo kabisaaaDuu aise haiishi haraka kichwani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Alafu hana hata aibu uyo jamaa
Atakuwa mke wake wanaendana baadhi ya mambo?Kama ni mke lazima.awe mvumilivj na kupuuza maana ukimfuatilia huyo unawehuka
Lakini pia mkuu mahitaji huaga yanaongezek kutokana na kipato kupanda.....mbunge kwa hadhi yake na Tecno hiyooo?Kwan mahitaji ya muhim ya sim ni yap, kama ni kupiga kupokea kusoma na kutuma sms haina shida , mengine mbwembwe tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usikute yeye na mke wake wote jau
Kweli kabisa Mkuu hili ni neno!Cha ajabu ni kufunga rubber band kwenye simu, huyu mtu haoni umuhimu wa maintenance wala quality ya chochote...
...lami zikikongoroka atasema jazeni kifusi
...IV Fluids zikiisha mahospitalini atasema wapeni maji ya chumvi
.... wananchi wanakutumia picha na documents za vitu vinavyohitaji attention wewe una kitochi hakiwezi kuzifungua
... wananchi wake wenye TECNO za laki moja wako more informed na ulimwengu kwa vile huyu amepitwa na mapinduzi ya habari, hajui kinachoendelea nchini wala duniani kwa sababu anapata taarifa zake kwa kusubiri gazeti la kesho au taarifa ya TBC
Ndio upeo wake. Hatuwezi kupata maendeleo na watu kama hawa wenye simu za raba bendi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]masharti ya mganga lazima yazingatiwe