Mbunge Musukuma nae ni kati ya watunga sera na sheria za nchi yetu?

Mbunge Musukuma nae ni kati ya watunga sera na sheria za nchi yetu?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina

Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge

Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni

Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo

Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu

Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?

Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna malofa
 
Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina

Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge

Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni

Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo

Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu

Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?

Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna malofa
Watu wanalalamikia ukosefuwa ajira yeye afute. Bora angesema kuwe na namna ya kuboresha kitengo hicho.
 
Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina

Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge

Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni

Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo

Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu

Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?

Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna malofa
Kati ya Mbunge mjinga na mpuuzi ni huyu.
 
Ndo maana nchi ni fukara na maskini
Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina

Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge

Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni

Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo

Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu

Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?

Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna malofa
 
Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina

Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge

Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni

Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo

Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu

Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?

Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna maMimi
 
Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina

Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge

Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni

Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo

Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu

Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?

Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna malofa
Mkuu, hivi Kenya na Rwanda, minimum educational requirement ya kuwa m-bunge ni kiwango gani??
 
Kama wabunge wameshindwa kubadilisha sifa ya mtu kugombea Ubunge kutoka kujua kusoma na kuandika, kuzungumuza kiswahili na kingereza ,ili sifa ya kugombra bunge kiwe na thamani.

Acha Msukuma awadhalilishe hao wabunge wasomi ,sheria za kuiba kuta wanabadilisha kila siku lkn sheria ya kubadilisha sifa za kugombea wemeshindwa.
 
Wabunge wengi hasa wa CCM elimu yao ni dhofu li hali. Wengi ni form IV division IV hawezi kumwambia chochote Msukuma. Na ndio maana wanamuogopa Kabudi akiongea wanatetemeka
 
Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina

Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge

Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni

Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo

Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu

Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?

Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna malofa
Umepotosha alichokisema.Acha chuki na dokta Musukuma.
 
Back
Top Bottom