Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Darasa la pili "Chee"!Mkuu, hivi Kenya na Rwanda, minimum educational requirement ya kuwa m-bunge ni kiwango gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Darasa la pili "Chee"!Mkuu, hivi Kenya na Rwanda, minimum educational requirement ya kuwa m-bunge ni kiwango gani??
Hana exposure yaa dunia ya sasa, si ulimuona anamshangaa female crane operatorLeo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo
Sana yaan inasikitika sanaInasikitisha sana
Msukuma ni msukuma basi msukume arudi MwanzaHana exposure yaa dunia ya sasa, si ulimuona anamshangaa female crane operator
Gwajima yupi maana Gwajima wote wawili ni phd sio Dr wa kupewa .Nadhani Kenya mbunge au gavana hadi uwe na degree huwezi kupeleke watu layman kama Msukuma, kibajaji au Gwajima
Wewe msukuma rudi MwanzaWrite your reply...jamii forum limekua kiwanda cha kuzalisha wapumbavu na wapika majungu fitina upotoshaji na uzushi
Kipindi cha nyuma nilisikia naye kingwendu alitaka kigombea ubunge na alipewa baraka zote na wakuuIfike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina
Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge
Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni
Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo
Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu
Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?
Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna malofa
Nyuma ipi?Kipindi cha nyuma nilisikia naye kingwendu alitaka kigombea ubunge na alipewa baraka zote na wakuu
Miaka ya nyuma kama sikosei 2015Nyuma ipi?
Msukuma ni tapeli, jizi, mnafiki, opportunistic lipo bungeni linaibaIfike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina
Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge
Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni
Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo
Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu
Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?
Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna malofa
Nyuma km nyuma?Miaka ya nyuma kama sikosei 2015
Nenda ukamtoe basiMsukuma ni tapeli, jizi, mnafiki, opportunistic lipo bungeni linaiba
Acha Wivu Tafuta Hela! (In Vijana Wa Ovyo Voice)Msukuma ni tapeli, jizi, mnafiki, opportunistic lipo bungeni linaiba
Wasomi wengi wa Tanzania ni wapuuzi na malofa pia hawana akili wala faida kwa nchi.Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina
Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge
Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni
Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi.
Nimeshangaa Kwa mbunge kutoa kauli ya kipumbavu namna hiyo
Nilimsikia akijisifu ati hajasoma na anaonea fahari Kwa hilo na anaonea kama wasomi mle bungeni ni malofa tu
Huyu Mbunge Msukuma anaweza kweli kutunga miswada na sheria za kusaidia Taifa?
Anaweza kutunga sera za kiuchumi na kidplomasia kweli?
Msukuma anatamba kwenye jamii yetu watu wanaufurahia ujinga ila aliingia kwenye siasa ngumu kama za Kenya, Zambia, South Africa atajiuzulu mwenyewe maana kule hakuna malofa
Kingwendu au Babu Tale au hata bibi yenu yule mshika usukani wenu they're just one and the same.Kipindi cha nyuma nilisikia naye kingwendu alitaka kigombea ubunge na alipewa baraka zote na wakuu
Hahahahaha!Lisilowezekana duniani, kwa Tanzania linawezekana.