mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Kinachokushangaza nini? Ukitaka akuimbie wewe?Inashangaza sana
Kinachokushangaza nini? Ukitaka akuimbie wewe?
Jibu swali,ulitaka aimbe Mitano Tena kwako au Kwa nani?Another innocent neck carrying an empty head. Poovu
Mbona hawa wote ni suala la Muda Tu? Wala hata usijali kabisaHuyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Jibu swali,ulitaka aimbe Mitano Tena kwako au Kwa nani?
Jibu swali usihamishe magoli wewe nyumbuAnayejibiwa ni mleta mada. Chawa kaa pembeni
Jibu swali usihamishe magoli wewe nyumbu
Kwani wewe nyumbu unataka nani agombee?Sio uzi wako na sijakuquote popote so kisebengo ondoa chawa
low IQHuyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Nimecheeeka1🤣🤣🤣Another innocent neck carrying an empty head. Poovu
ShenjiHuyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Hivi wewe hua ni ke au me? Samahani kwa swaliJibu swali,ulitaka aimbe Mitano Tena kwako au Kwa nani?