OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
ndiye anayempa kunya. anaipigania 2025 yake maana huku CHADEMA wamekaza hakuna nafasi yao. Lazima afanye uchawa kwa mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machawa wote kwa asilimia 💯, wanapambana na ya dunia kuliko kesho yao katika ufalme wa Mungu .Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Huyo yupo CCM tangu 2020 wala hakuna jipyaHuyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Kwa matamanio ya kuwa na utajiri wa kutishaMachawa wote kwa asilimia 💯, wanapambana na ya dunia kuliko kesho yao katika ufalme wa Mungu .
Ndo maana husujudia binadam wenye nyama kuliko Mungu wao katika imani zao.
Kwao pesa ,maisha ya anasa , ndo tamanio lililo kuu ,ndo maana wapo tiyari uza / dhalilisha utu wao.
Kwa matamanio ya vitu vya Dunia wapo tiyari kumsujudu kwa alienacho kuliko hata wazazi wao waliowaleta duniani.
Machawa ni laana kutoka kwa Mungu ,na siku zote chawa hawezi kuwa na akili timamu
Huyu ni mbunge wa wapi?Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Wewe unaona leo wakati yeye amejionyesha hivyo tangu Mh. Rais Samia alipoapishwa na hajawahi jificha. Siku CDM mlipomkaribisha Mh. Rais kwenye siku muhimu ya baraza la wanawake awe mgeni rasmi hapo ndio mlipigia msumari bango la upendo kwa Rais moyoni mwake.Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Ndo hivyo mkuu, bora mara mia maafisa kubeti kuliko kuwa chawa,Kwa matamanio ya kuwa na utajiri wa kutisha
Sababu ya mfumo mbovu mkuu, kama tungekuwa na viwanda vya kutosha mazao yetu tungelima na kuwa na soko la uhakikaNdo hivyo mkuu, bora mara mia maafisa kubeti kuliko kuwa chawa,
Na sasa uchawa umeingia kwa rika zote mpaka wazee
Kweli mkuu, wenda hii ya machawa ilikua dira ya ccm ya mda mrefu ,kwamba tuuwe viwanda ,ili wazalishe machawa ,nimekuelewa sanaSababu ya mfumo mbovu mkuu, kama tungekuwa na viwanda vya kutosha mazao yetu tungelima na kuwa na soko la uhakika
Vinginevyo wasingetawala mpk leo, silaha kubwa ya CCM ni wananchi kuwa masikiniKweli mkuu, wenda hii ya machawa ilikua dira ya ccm ya mda mrefu ,kwamba tuuwe viwanda ,ili wazalishe machawa ,nimekuelewa sana
Praise and worship ilimradi arudi bungeni? Nini kimeipata leadership ya nchi hii?Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Huyu si alitolewa rumande akapelekwa gereji akaapishwa kuwa mbunge? Kwa nini asimshukuru aliyemjalia yote hayo? Huyu akimaliza mkataba wake anahamia rasmi CCM. Nadhani siku Bunge linavunjwa atafanya aliyofanya Lijualikali. Yuko na wenzake lakini nataka kuamini Halima Mdee na Esther Bulaya hawako nae.Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Harudi bungeni. Hapo anapalilia nafasi ya uteuzi. Akipata uDC au uDAS ataridhika.Praise and worship ilimradi arudi bungeni? Nini kimeipata leadership ya nchi hii?
Waislamu wana matatizo ya peke yao..wana ajenda yao ccm, hao wengine wasindikizaji tu ndio udhaifu mkubwa walio nao wakristo wengi, ni wakristo kwa jina tu..ni rahisi sana kupumbazwa na kuwa km majuha ana akili lkn hajielewi..Harudi bungeni. Hapo anapalilia nafasi ya uteuzi. Akipata uDC au uDAS ataridhika.
Amandla...