Pre GE2025 Mbunge Nusrat Hanje (CHADEMA) akimpamba Rais Samia kwa kumuimbia mitano tena

Pre GE2025 Mbunge Nusrat Hanje (CHADEMA) akimpamba Rais Samia kwa kumuimbia mitano tena

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.

Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.

Huyu ni Mzanzibar lazma amseme vizuri Mzanzibar mwenzake.
 
Ukisikia Mke wa baba anamsifu Mchepuko wa mumewe ndio huku
 
Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.

Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.

Mbunge wa mchongo
 
Ni sawa tu, hiari yake, huyo sio mbunge wa CHADEMA, alishafukuzwa, na mahakama ikathibitisha!!

CHADEMA Ina Mbunge mmoja tu Aida Kenani!!
 
Another innocent neck carrying an empty head. Poovu
images (9) - 2022-12-16T222513.490.jpeg

Kama hii
 
Moja kati ya watu wachache wenye akili nyingi kushinda lissu huko chadema
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.

Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.


Yaaji vafo unaamini kuwa Covid 19 ji Chadema. We utakuwa unaumwa si bure!!
 
Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.

Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.

Sio cdm huyo. Lazima aisifie ccm ili abaki salama.
 
Back
Top Bottom