Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Maulid anadanga kama wadada tuMke wa siku moja wa Maulid Kitenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maulid anadanga kama wadada tuMke wa siku moja wa Maulid Kitenge
Huyu ni Mzanzibar lazma amseme vizuri Mzanzibar mwenzake.Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Ugomvi huo sasa.Bela ndauli?Hivi wewe hua ni ke au me? Samahani kwa swali
Subhanaallah!Maulid anadanga kama wadada tu
Mbunge wa mchongoHuyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Kwani wewe nyumbu unataka nani agombee?
Yes naskia anajua kweli kurubuni .imagine anapanda ndege anaenda mridhisha mwanamke analipwa..au sio kudanga ndugu mwandishi?Subhanaallah!
Sio cdm huyo. Lazima aisifie ccm ili abaki salama.Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
Namuonaga wa motomoto tu...! Kchwa kinamuwaka tu.Ugomvi huo sasa.Bela ndauli?