Pre GE2025 Mbunge Ole Sendeka katika bifu kali na RC Sendega agoma kumpigia magoti, magoti yake atayapiga kwa Rais Samia

Pre GE2025 Mbunge Ole Sendeka katika bifu kali na RC Sendega agoma kumpigia magoti, magoti yake atayapiga kwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
Siku ya jana Katika kipindi cha bunge jioni Mbunge Mkongwe na aliyewai kuwa Rc, na aliyekuwa mpambe au chawa wa Hayati Edoward Lowassa wakati wa siasa za urais mwaka 2010 Christophe Ole Sendeka amelalamika bungeni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendega amekuwa akiwaweka Lokapu viongozi mbalimbali katika mkoa huu, huku akiongeza kuwa Mkuu wa Mkoa huyu ana mgombea wake wa ubunge amble yeye ana mashaka nae wala hamugopi katika UCHAGUZI wa 2025

Vita ya uchaguzi nani ya CCM imeanza, lakini la pili je kunasababu ya wakuu wa mika na wakuu wa wilaya kuendelea kuwa viongozi Hawa katika ngazi ya uongozi katika nchi

Nimekuwekea clip Yale bendeka hapa chini msikilize anavyolalamikia utawara bora?! utawara bora upi anaohitaji au kwa sababu amebanwa yeye?!

 
Siku ya jana Katika kipindi cha bunge jioni Mbunge Mkongwe na aliyewai kuwa Rc, na aliyekuwa mpambe au chawa wa Hayati Edoward Lowassa wakati wa siasa za urais mwaka 2010 Christophe Ole Sendeka amelalamika bungeni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendega amekuwa akiwaweka Lokapu viongozi mbalimbali katika mkoa huu, uku akiongeza kuwa Mkuu wa Mkoa huyu anamgombea wake wa ubunge amble yeye ana mashaka nae wala hamugopi katika UCHAGUZI wa 2025

vita ya uchaguzi nani ya ccm imeanza, lakini la pili je kunasababu ya wakuu wa mika na wakuu wa wilaya kuendelea kuwa viongozi Hawa katika ngazi ya uongozi katika nchi

nimekuwekea clip Yale bendeka hapa chini msikilize anavyolalamikia utawara bora?! utawara bora upi anaohitaji au kwa sababu amebanwa yeye?!
Duh kiswahili kweli ni kigumu hata kukiandika ni kazi!
 
Back
Top Bottom