Mzee wa Code
Member
- Sep 23, 2024
- 61
- 91
Siku ya jana Katika kipindi cha bunge jioni Mbunge Mkongwe na aliyewai kuwa Rc, na aliyekuwa mpambe au chawa wa Hayati Edoward Lowassa wakati wa siasa za urais mwaka 2010 Christophe Ole Sendeka amelalamika bungeni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendega amekuwa akiwaweka Lokapu viongozi mbalimbali katika mkoa huu, huku akiongeza kuwa Mkuu wa Mkoa huyu ana mgombea wake wa ubunge amble yeye ana mashaka nae wala hamugopi katika UCHAGUZI wa 2025
Vita ya uchaguzi nani ya CCM imeanza, lakini la pili je kunasababu ya wakuu wa mika na wakuu wa wilaya kuendelea kuwa viongozi Hawa katika ngazi ya uongozi katika nchi
Nimekuwekea clip Yale bendeka hapa chini msikilize anavyolalamikia utawara bora?! utawara bora upi anaohitaji au kwa sababu amebanwa yeye?!
Vita ya uchaguzi nani ya CCM imeanza, lakini la pili je kunasababu ya wakuu wa mika na wakuu wa wilaya kuendelea kuwa viongozi Hawa katika ngazi ya uongozi katika nchi
Nimekuwekea clip Yale bendeka hapa chini msikilize anavyolalamikia utawara bora?! utawara bora upi anaohitaji au kwa sababu amebanwa yeye?!