Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamchome sasa kasema atampigia Rais Samia, unadhani Samia ni mwanaume?Yaan mwanaume wa kimasai ampigie magoti mwanamke ase tutamchoma mikuki mingi
ADCAnaitwa Queen Sendiga
Sio sendega.
Anyway yule mama si aliteuliwa kutoka upande wa Chama kingine.
Mwambieni sendiga akajifute...sisi Masai hatuko hivyoSendeka vs Sendiga
Kivumbi Na Jasho, Ma~CCM Hayana Aibu Kabisa Yanagombea Urefu Wa Kamba
Mwanachama wa CCMKwa hiyo kama alipewa kadi queen ni mwanachama wa chama gani kwa sasa? hujapita kwa mwalimu RWEITAMA pale UDSM wewe?
Anapigia cheo kikuu sio mtu .mbona mama zetu tunawapigia ?ushoga achaKamchome sasa kasema atampigia Rais Samia, unadhani Samia ni mwanaume?
Ushoga umasaini ushafika! Tumekwisha dadeki. Kasema atampigia magoti Samia.Anapigia cheo kikuu sio mtu .mbona mama zetu tunawapigia ?ushoga acha
Hivi hawa waliotoka upinzani unaona watapewa nafasi kweli za kugombea kwenye chama mkuu?Sendega ni Chama Cha upinzani yule
Naona watu wanamshambulia mtoa hoja Ole Sendega badala kusikiliza, kuielewa na kujadili hoja yake...Siku ya jana Katika kipindi cha bunge jioni Mbunge Mkongwe na aliyewai kuwa Rc, na aliyekuwa mpambe au chawa wa Hayati Edoward Lowassa wakati wa siasa za urais mwaka 2010 Christophe Ole Sendeka amelalamika bungeni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendega amekuwa akiwaweka Lokapu viongozi mbalimbali katika mkoa huu, huku akiongeza kuwa Mkuu wa Mkoa huyu ana mgombea wake wa ubunge amble yeye ana mashaka nae wala hamugopi katika UCHAGUZI wa 2025
Vita ya uchaguzi nani ya CCM imeanza, lakini la pili je kunasababu ya wakuu wa mika na wakuu wa wilaya kuendelea kuwa viongozi Hawa katika ngazi ya uongozi katika nchi
Nimekuwekea clip Yale bendeka hapa chini msikilize anavyolalamikia utawara bora?! utawara bora upi anaohitaji au kwa sababu amebanwa yeye?!
Bado tunausubiri umalize kwenu woteUshoga umasaini ushafika! Tumekwisha dadeki. Kasema atampigia magoti Samia.
Aliunga juhudiAnaitwa Queen Sendiga
Sio sendega.
Anyway yule mama si aliteuliwa kutoka upande wa Chama kingine.
Aligombea urais yuleQueen aligombea Ubunge Jimbo la Kawe kupitia ADC 2020
Amepewa KADI ya CCM kwa mujibu wa kanuni tu Ili aweze kuhudhuria Vikao vya Kamati ya Siasa ya Mkoa