Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Unajua maana ya kadi ya uanachama lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya kadi ya uanachama lakini?
Awaa hie vijana. Ni Ole Sendeka tangu wakati wa Mwalimu. We need new generationSiku ya jana Katika kipindi cha bunge jioni Mbunge Mkongwe na aliyewai kuwa Rc, na aliyekuwa mpambe au chawa wa Hayati Edoward Lowassa wakati wa siasa za urais mwaka 2010 Christophe Ole Sendeka amelalamika bungeni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendega amekuwa akiwaweka Lokapu viongozi mbalimbali katika mkoa huu, huku akiongeza kuwa Mkuu wa Mkoa huyu ana mgombea wake wa ubunge amble yeye ana mashaka nae wala hamugopi katika UCHAGUZI wa 2025
Vita ya uchaguzi nani ya CCM imeanza, lakini la pili je kunasababu ya wakuu wa mika na wakuu wa wilaya kuendelea kuwa viongozi Hawa katika ngazi ya uongozi katika nchi
Nimekuwekea clip Yale bendeka hapa chini msikilize anavyolalamikia utawara bora?! utawara bora upi anaohitaji au kwa sababu amebanwa yeye?!
Hajawahi kuwa mpinzani hata siku mojaSendega ni Chama Cha upinzani yule
Wamekutana wote hawana akili RC na mbungemtu anakojoa kachuchuma anataka apigiwe magoti na masai
Lazima alipata mimba ya utotoni mazee...Naam! Kijana wake wa kwanza sasa ana umri wa miaka 32.
Si wamasai hawa shari ndo nguo zaoHuyu Sendeka naye ni matatizo sana, anapenda siasa za fitna, uchonganishi, na kulialia
Acha kuchanganya mafaili wewe. Mfuasi wa Lowasa alikuwa ni James Ole Milya.huyu atakuwa mbunge mpaka lini? alikumbwa na mafuriko ya lowasa akapewa URC lakini akaona haitoshi arudi tena bungeni WASIRA TYPE
Kuna jambo hatulijui. Yeye ndiye alitaja aabudiwe kwamba amewazuia Wamaasai wa Kenya kuingia Tanzania na kumtukana Rais. It's the other way round.Siku ya jana Katika kipindi cha bunge jioni Mbunge Mkongwe na aliyewai kuwa Rc, na aliyekuwa mpambe au chawa wa Hayati Edoward Lowassa wakati wa siasa za urais mwaka 2010 Christophe Ole Sendeka amelalamika bungeni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendega amekuwa akiwaweka Lokapu viongozi mbalimbali katika mkoa huu, huku akiongeza kuwa Mkuu wa Mkoa huyu ana mgombea wake wa ubunge amble yeye ana mashaka nae wala hamugopi katika UCHAGUZI wa 2025
Vita ya uchaguzi nani ya CCM imeanza, lakini la pili je kunasababu ya wakuu wa mika na wakuu wa wilaya kuendelea kuwa viongozi Hawa katika ngazi ya uongozi katika nchi
Nimekuwekea clip Yale bendeka hapa chini msikilize anavyolalamikia utawara bora?! utawara bora upi anaohitaji au kwa sababu amebanwa yeye?!
Tatizo Jinsia ile waliyoikataa wamarekani,kwenye uchaguzi wao mkuu.Siku ya jana Katika kipindi cha bunge jioni Mbunge Mkongwe na aliyewai kuwa Rc, na aliyekuwa mpambe au chawa wa Hayati Edoward Lowassa wakati wa siasa za urais mwaka 2010 Christophe Ole Sendeka amelalamika bungeni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendega amekuwa akiwaweka Lokapu viongozi mbalimbali katika mkoa huu, huku akiongeza kuwa Mkuu wa Mkoa huyu ana mgombea wake wa ubunge amble yeye ana mashaka nae wala hamugopi katika UCHAGUZI wa 2025
Vita ya uchaguzi nani ya CCM imeanza, lakini la pili je kunasababu ya wakuu wa mika na wakuu wa wilaya kuendelea kuwa viongozi Hawa katika ngazi ya uongozi katika nchi
Nimekuwekea clip Yale bendeka hapa chini msikilize anavyolalamikia utawara bora?! utawara bora upi anaohitaji au kwa sababu amebanwa yeye?!
utawaraSiku ya jana Katika kipindi cha bunge jioni Mbunge Mkongwe na aliyewai kuwa Rc, na aliyekuwa mpambe au chawa wa Hayati Edoward Lowassa wakati wa siasa za urais mwaka 2010 Christophe Ole Sendeka amelalamika bungeni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendega amekuwa akiwaweka Lokapu viongozi mbalimbali katika mkoa huu, huku akiongeza kuwa Mkuu wa Mkoa huyu ana mgombea wake wa ubunge amble yeye ana mashaka nae wala hamugopi katika UCHAGUZI wa 2025
Vita ya uchaguzi nani ya CCM imeanza, lakini la pili je kunasababu ya wakuu wa mika na wakuu wa wilaya kuendelea kuwa viongozi Hawa katika ngazi ya uongozi katika nchi
Nimekuwekea clip Yale bendeka hapa chini msikilize anavyolalamikia utawara bora?! utawara bora upi anaohitaji au kwa sababu amebanwa yeye?!
Ole Sendeka ana fitina sana huyu mzee. Aliwahi kumnasa vibao Ole Millya (sikumbuki alikuwa na cheo gani huyu Millya).Ole Sendeka inatosha.
Kila kitu kina mwisho, sasa ukapumzike mzee wetu.
Mara avae uniform za shule na kwenda kupiga magoti kwa maheadmistress mbele ya makamera akiwa amesuka twende kilioni. Utapeli mtupu, hamna kitu pale.Huyu Sendeka naye ni matatizo sana, anapenda siasa za fitna, uchonganishi, na kulialia
Ole Milya aliwahi kuwa kiongozi wa vijana nadhani ngazi ya wilaya.Ole Sendeka ana fitina sana huyu mzee. Aliwahi kumnasa vibao Ole Millya (sikumbuki alikuwa na cheo gani huyu Millya).
Huyu Sendeka kila uchaguzi ukikaribia huwa anaanzisha mabifu.
aligombea urais kwa tiketi ya chama cha upinaniCHAMA CHA UPINZANI AWE RC? SHUBUTUUUUUUUUU
Katika wanasiasa janjajanja ni huyuMara avae uniform za shule na kwenda kupiga magoti kwa maheadmistress mbele ya makamera akiwa amesuka twende kilioni. Utapeli mtupu, hamna kitu pale.
Kabisa, konakona mingi. Mwisho wa siku atapiga reverse ya hatari hadi Mkuranga aiengie boma kubwaKatika wanasiasa janjajanja ni huyu
Kweli unaendelea vzr classmate.Yule binti anatabia ya kujifanya nayeye anasauti mbele ya wanaume...☹️
Ila anasura nzito kinoma...😶