Pre GE2025 Mbunge Ole Sendeka katika bifu kali na RC Sendega agoma kumpigia magoti, magoti yake atayapiga kwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Awaa hie vijana. Ni Ole Sendeka tangu wakati wa Mwalimu. We need new generation
 
Sendeka vs Sendiga


Kivumbi Na Jasho, Ma~CCM Hayana Aibu Kabisa Yanagombea Urefu Wa Kamba
 
Kuna jambo hatulijui. Yeye ndiye alitaja aabudiwe kwamba amewazuia Wamaasai wa Kenya kuingia Tanzania na kumtukana Rais. It's the other way round.
 
Tatizo Jinsia ile waliyoikataa wamarekani,kwenye uchaguzi wao mkuu.
 
u
utawara
 
Ole Sendeka inatosha.
Kila kitu kina mwisho, sasa ukapumzike mzee wetu.
Ole Sendeka ana fitina sana huyu mzee. Aliwahi kumnasa vibao Ole Millya (sikumbuki alikuwa na cheo gani huyu Millya).

Huyu Sendeka kila uchaguzi ukikaribia huwa anaanzisha mabifu.
 
Huyu Sendeka naye ni matatizo sana, anapenda siasa za fitna, uchonganishi, na kulialia
Mara avae uniform za shule na kwenda kupiga magoti kwa maheadmistress mbele ya makamera akiwa amesuka twende kilioni. Utapeli mtupu, hamna kitu pale.
 
Ole Sendeka ana fitina sana huyu mzee. Aliwahi kumnasa vibao Ole Millya (sikumbuki alikuwa na cheo gani huyu Millya).

Huyu Sendeka kila uchaguzi ukikaribia huwa anaanzisha mabifu.
Ole Milya aliwahi kuwa kiongozi wa vijana nadhani ngazi ya wilaya.
Walisumbuana sana.
Huyu mzee apumzike tumeshamchoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…