Mbunge Pauline Gekul ahojiwa Polisi na kupewa dhamana, karudi nyumbani kwake

Imani za kishirikina zinahusiana moja kwa moja na ujinga ambao huambatana na umasikini wa fikra.
Kitu cha kushangaza ni naibu waziri, tena wa katiba na sheria kujihusisha na mambo hayo.
 
mimi nakubaliana na wewe maana 2025 jimbo la babati mjini linaenda Chadema😂😂
 
Mpaka Mjengoni watu walionekana wakinyunyizia vitu ! 😅🙏 hiyo ni sayansi tu ya kutishana tishana!
 
Dogo alikutwa na sumu, anataka kuweka kwenye chakula, aue watu aharibu biashara yake.
Sumu ya kuua na kuharibu biashara ?!
Hakunaga sumu inayoua kisha inaharibu biashara !!
Na hata kama ipo ndio achukue sheria mkononi kwa kuwa yeye ni Waziri wa Sheria. !! ?!
Amelikoroga !!
 
japo hakutumia njia sahihi kumuadhibu kijana imagine wewe hapo umegundua unataka kuuliwa kwa sumu na fulani utafanyaje?????


Tunahukumu sana na yeye ni binadamu
Kwahiyo jibu lake ndio kumzamisha chupa takoni?

Hizi ni akili za wapi? Mtu mwenye dhamana ya sheria na katiba anafanya upuuzi huu?
 
Anguko hili...
 
Kwahiyo jibu lake ndio kumzamisha chupa takoni?

Hizi ni akili za wapi? Mtu mwenye dhamana ya sheria na katiba anafanya upuuzi huu?
Ndio maana tunauliza hizi vetting huwa zinafanywaje kabla ya mtu kuteuliwa !
Au ni mwendo wa na huyu ni mwenzetu !!
 
Ingekua ni huku Chuga tayari wanachuga wangekua wamezingira nyumbani kwake na mawe kama yule Dangote alivyozua taharuki akiwa maiti ikabidi azikwe kwa siri watu wasijue kaburi lake.Chuga hainaga mbili kwenye moko
 
Gekul akubali tu, hiyo ndio imeenda.

Unaibu waziri amepoteza. Ubunge ndio unakwenda kufikia tamati 2025, na harudi tena bungeni. Biashara zake ndio mwanzo wa kufilisika. Hadhi na heshima yake kijamii ndio imekwenda milele.
Hata 2020 hakupita. Aliingizwa mjengoni kwa hisani ya shujaa katika ule ubatili
 
Vipi ndugu zako Gaza.
Ghaza watu wanasherehekea huko, umeona makomando walichpkifanya leo? Pitia hapa:

 
Lengo langu ni kuonyesha kuwa Babati siyo sehemu ya Arusha. Kuna sababu ya kujibizana kwa hoja katika hilo?
Mpare akienda kwao Mwanga au Same anasema anakwenda Moshi, hata Mchaga wa Rombo au Machame wote wanasema wanakwenda Moshi.

Tupunguze ujuwaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…