Mbunge Pauline Gekul ahojiwa Polisi na kupewa dhamana, karudi nyumbani kwake

Mbunge Pauline Gekul ahojiwa Polisi na kupewa dhamana, karudi nyumbani kwake

Taarifa hii ni kwa mujibu wa Martin Maranja Masese kupitia mtandao wa X, habari ikimuhusu Pauline Gekul.

Kaandika hivi:

"Mbunge wa Babati Mjini (CCM), Pauline Gekul kadhaminiwa polisi Babati, karudi nyumbani kwake kupumzika baada ya kuhojiwa, lakini anasema anahofia usalama wake.. kwani Gekul anatakaje? Tumpelekee chupa za Coca-Cola zimlinde?"
Kabla ya hapo aliandika...
PAULINE GEKUL hadi muda huu saa 20:50 usiku EAT, anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Manyara, pichani akiwa ofisi za RCO - Manyara.

Kamanda wa polisi Manyara, GEORGE KATABANZI amegoma kutoa maelezo ya ziada ya kwanini anashikiliwa, amesisitiza ni taratibu za upelelezi. Taarifa nyingine ni kwamba katibu wa Pauline Gekul anayeitwa HUSSEIN S. ABRIMA na vijana wawili walioshiriki utesaji ule, wanashikiliwa polisi.

Taarifa tulizonazo ni kwamba jalada lililofunguliwa polisi ni malalamiko ya Pauline Gekul kutaka kuuwawa na siyo malalamiko ya Hashimu Philemon.Afande George Katabanzi, tunataka kuona haki ya Hashimu inapatikana polisi. Watanzania tupo tayari kuchanga fedha akapimwe hospitali za kisasa.

Tunakwenda kumpima kupata ushahidi wa kitabibu wa kumuingizia chupa makalioni Hashimu. Mnachelewesha ili ku-buy time eeh? Tumeshtuka.Tutafungua kesi mbili kama hamtaki kumshtaki Pauline GEKUL.

Tutafungua kesi ya jinai, madai na kikatiba na tutaomba tafsiri ya mahakama kuu.Tunao mawakili wa kutosha. Jopo linaongozwa Manyara na Wakili Thadei, Wakili Madeleka na mawakili wengine. Hatutaki kona-kona katika hili.


Pia soma >>>

1. Mbunge Pauline Gekul Akamatwa na Jeshi la Polisi Akijaribu Kutoroka Nchini Kuelekea nchini Kenya
2.
Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
Dah huyo bibie hafanani kabisa na hayo mambo,sema na yule dogo kwenye simu kazingua zaidi.
 
Kwani kuna sheria mtu ukiwa mbunge hata kama ukifanya kosa la jinai haiwezekani kulazwa selo na ku..ea ndoo angalau kwa siku mbili apate ekisipiriensi jamani!
 
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Martin Maranja Masese kupitia mtandao wa X, habari ikimuhusu Pauline Gekul.

Kaandika hivi:

"Mbunge wa Babati Mjini (CCM), Pauline Gekul kadhaminiwa polisi Babati, karudi nyumbani kwake kupumzika baada ya kuhojiwa, lakini anasema anahofia usalama wake.. kwani Gekul anatakaje? Tumpelekee chupa za Coca-Cola zimlinde?"
Kabla ya hapo aliandika...
PAULINE GEKUL hadi muda huu saa 20:50 usiku EAT, anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Manyara, pichani akiwa ofisi za RCO - Manyara.

Kamanda wa polisi Manyara, GEORGE KATABANZI amegoma kutoa maelezo ya ziada ya kwanini anashikiliwa, amesisitiza ni taratibu za upelelezi. Taarifa nyingine ni kwamba katibu wa Pauline Gekul anayeitwa HUSSEIN S. ABRIMA na vijana wawili walioshiriki utesaji ule, wanashikiliwa polisi.

Taarifa tulizonazo ni kwamba jalada lililofunguliwa polisi ni malalamiko ya Pauline Gekul kutaka kuuwawa na siyo malalamiko ya Hashimu Philemon.Afande George Katabanzi, tunataka kuona haki ya Hashimu inapatikana polisi. Watanzania tupo tayari kuchanga fedha akapimwe hospitali za kisasa.

Tunakwenda kumpima kupata ushahidi wa kitabibu wa kumuingizia chupa makalioni Hashimu. Mnachelewesha ili ku-buy time eeh? Tumeshtuka.Tutafungua kesi mbili kama hamtaki kumshtaki Pauline GEKUL.

Tutafungua kesi ya jinai, madai na kikatiba na tutaomba tafsiri ya mahakama kuu.Tunao mawakili wa kutosha. Jopo linaongozwa Manyara na Wakili Thadei, Wakili Madeleka na mawakili wengine. Hatutaki kona-kona katika hili.


Pia soma >>>

1. Mbunge Pauline Gekul Akamatwa na Jeshi la Polisi Akijaribu Kutoroka Nchini Kuelekea nchini Kenya
2.
Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto

Kama anahofia usalama wake arudi akalale polisi,
 
Mpare akienda kwao Mwanga au Same anasema anakwenda Moshi, hata Mchaga wa Rombo au Machame wote wanasema wanakwenda Moshi.

Tupunguze ujuwaji.
Mpare haendi moshi anaenda mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Same au Mwanga. Huu si ujuaji ni uhalisia. Babati haipo Arusha na kusema hivyo si ujuaji ni uhalisia. Sijajua kwanini hii hoja unaipinga.
 
Mpare haendi moshi anaenda mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Same au Mwanga. Huu si ujuaji ni uhalisia. Babati haipo Arusha na kusema hivyo si ujuaji ni uhalisia. Sijajua kwanini hii hoja unaipinga.
Hakuna Mpare anayeweza kukwambia anakwenda Kilimanjaro, wanatumia jina la Moshi, ujuwaji mwingine hauna maana yoyote.
 
Hakuna Mpare anayeweza kukwambia anakwenda Kilimanjaro, wanatumia jina la Moshi, ujuwaji mwingine hauna maana yoyote.
Mpare haendi moshi anaenda KLM. Huyo anayekwambia anaenda moshi labda anataka kuonekana ni mtu kutoka uchagani. Wapare nyumbani ni Same, Mwanga na kuna waliopo Tanga. Mpare feki huyo anayekwambia anaenda moshi.
 
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Martin Maranja Masese kupitia mtandao wa X, habari ikimuhusu Pauline Gekul.

Kaandika hivi:

"Mbunge wa Babati Mjini (CCM), Pauline Gekul kadhaminiwa polisi Babati, karudi nyumbani kwake kupumzika baada ya kuhojiwa, lakini anasema anahofia usalama wake.. kwani Gekul anatakaje? Tumpelekee chupa za Coca-Cola zimlinde?"
Kabla ya hapo aliandika...
PAULINE GEKUL hadi muda huu saa 20:50 usiku EAT, anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Manyara, pichani akiwa ofisi za RCO - Manyara.

Kamanda wa polisi Manyara, GEORGE KATABANZI amegoma kutoa maelezo ya ziada ya kwanini anashikiliwa, amesisitiza ni taratibu za upelelezi. Taarifa nyingine ni kwamba katibu wa Pauline Gekul anayeitwa HUSSEIN S. ABRIMA na vijana wawili walioshiriki utesaji ule, wanashikiliwa polisi.

Taarifa tulizonazo ni kwamba jalada lililofunguliwa polisi ni malalamiko ya Pauline Gekul kutaka kuuwawa na siyo malalamiko ya Hashimu Philemon.Afande George Katabanzi, tunataka kuona haki ya Hashimu inapatikana polisi. Watanzania tupo tayari kuchanga fedha akapimwe hospitali za kisasa.

Tunakwenda kumpima kupata ushahidi wa kitabibu wa kumuingizia chupa makalioni Hashimu. Mnachelewesha ili ku-buy time eeh? Tumeshtuka.Tutafungua kesi mbili kama hamtaki kumshtaki Pauline GEKUL.

Tutafungua kesi ya jinai, madai na kikatiba na tutaomba tafsiri ya mahakama kuu.Tunao mawakili wa kutosha. Jopo linaongozwa Manyara na Wakili Thadei, Wakili Madeleka na mawakili wengine. Hatutaki kona-kona katika hili.


Pia soma >>>

1. Mbunge Pauline Gekul Akamatwa na Jeshi la Polisi Akijaribu Kutoroka Nchini Kuelekea nchini Kenya
2.
Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
watuhumiwa wengine wanakalishwa chini huyu wamempa kiti kizuri kabisaa kajiachia!
 
Yes mfano mtuhumiwa wa kesi za 1st degree murders, hapewi dhamana kwa usalama wake ili t he bereaved family wasije waka retaliate!. Makosa yote ya capital punishment kama treason, murder, uhujumu uchumi, unyang'anyi wa kutumia silaha, ubakaji na terrorism.
P


Hii case inaweza kuwa ulawiti (kwa kutumia chupa) na uhujumu uchumi kwa kui-distract nguvu kazi (kijana)?
 
Imani za kishirikina zinahusiana moja kwa moja na ujinga ambao huambatana na umasikini wa fikra.
Kitu cha kushangaza ni naibu waziri, tena wa katiba na sheria kujihusisha na mambo hayo.


Wakati wa kupata Uhuru Nyerere na ‘wazee wa Dar es salaam’ walienda Bagamoyo na wengine Lindi kutambika kwa ajili ya Uhuru huo.


Kila Rais anaeapishwa hapa JMT anasimikwa na ‘ma chief’ wa kabila/eneo fulani na kupewa jina na u chief kupitia matambiko.

Kila mwisho wa Mwaka baadhi ya kabila hukutana kwenye maeneo/mikoa yao ya asili na kufanya matambiko ya ‘shukrani’ na ‘kuufungua’ mwaka unaofuata.

Waganga/watabibu wa jadi ama kienyeji wanatambulika kisheria na serikali ya JMT.


Ni mengi.
 
Ghaza watu wanasherehekea huko, umeona makomando walichpkifanya leo? Pitia hapa:

Naona magaidi mnafarijiana uongo ila Hamas wanaomba poo. Hii game baro safari hii tutawamaliza na suruali zenu fupi
 
Back
Top Bottom