Mbunge Samizi amshukuru Rais Samia kwa kuwapatia gari la kusimamia elimu Jimboni

Mbunge Samizi amshukuru Rais Samia kwa kuwapatia gari la kusimamia elimu Jimboni

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi ameishukuru Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia Jimbo lake la Muhambwe gari kwa ajili ya usimamizi wa maendeleo ya elimu ya sekondari. Gari hilo limeshakabidhiwa Jimboni tayali kwa usimamizi wa elimu sekondari na kusaidia maendeleo ya elimu.

Dkt. Samizi amesema Rais Samia amesikia kilio cha muda mrefu cha wananchi wa Jimbo la Muhambwe kwa kuwapatia gari hilo litakalosaidia sana maendeleo ya elimu Jimboni.

#KaziInaendelea.
FB_IMG_1682099423433.jpg
FB_IMG_1682099421486.jpg
FB_IMG_1682099419485.jpg
FB_IMG_1682099416985.jpg
FB_IMG_1682099414708.jpg
 
Back
Top Bottom