The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwani air Tanzania imezuiliwa China pekee? Fanyeni compliance ya wanachotaka vinginevyo mtaishia kulia Lia tuu.Unataka ushahidi kuwa air Tanzania haiingii China kupeleka wafanyabiashara?
Si ndiye aliyeshauri serikali ikanunue mafuta kwenye meli zilizopo deep sea?Shabiby yupo smart sana ni mbunge makini
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaWanauza hadi miwa na mboga mboga, hadi madafu tena kwa zile phoenix zao
😄😁😆😅🤣😂Kama makaa ya mawe tunauza tani 60k Tayri ni shamba la bibi
kakojoe ukalaleAna ushahidi au anaropoka tuu Kisa kaanza kushindwa na Wachina kwenye biashara zake?
Aweke huo ushahidi wa madai yake vinginevyo ni hofu za kuanguka kwa biashara zake.
Si ndiye aliyeshauri serikali ikanunue mafuta kwenye meli zilizopo deep sea?
Deep sea kuna mafuta haramu, unawezaje kuishauri serikali ikanunue mafuta haramu
Kopo kama hizi ni Tatizo kuu kwenye ukuaji wa nchi yetu, unashindwa kwenda kariakoo kuona kama wachina wanauza plastic? Siku hizi wanauza hadi maduka yenye mitaji ya mangi..Ana ushahidi au anaropoka tuu Kisa kaanza kushindwa na Wachina kwenye biashara zake?
Aweke huo ushahidi wa madai yake vinginevyo ni hofu za kuanguka kwa biashara zake.
Wewe ni chawa, sio shabiki wa mama. Upo tayari kua ass kisser kwa posho mnazochukua.Mimi sio praise team wala sio mwanaccm au chama chochote,mimi ni shabiki binafsi wa SSH, ila sitakagi ujinga..
Kuwa mwanaccm ndio nini? Kama anatetea biashara zake? Aweke ushahidi.
Unashangilia biashara za Shabiby kushindwa dhidi ya za wachina. Kisha unajiita Mtanzania?Ana ushahidi au anaropoka tuu Kisa kaanza kushindwa na Wachina kwenye biashara zake?
Aweke huo ushahidi wa madai yake vinginevyo ni hofu za kuanguka kwa biashara zake.
Waongeze uzalishajisiyo kushindwa yuko sahihi.nimetembele hivi karibuni ktk mkoa wa kagera nikakuta bei ya samaki iko juu wakati ziwa ni mdomo na pua nikauliza kwa nn bei ziko juu.wakaniambia samaki huenda uganda hivyo kufanya bei ya kitoweo hicho kuwa juu kisa tumeifungua nchi kwa kuweka mipaka wazi na holela na siyo samaki tu bali hata bidhaa za chakula.cjui kwa wachumi kuruhusu kila kitu kwenda nje nayo siyo sababu ya vitu kupanda bei na kusababisha inflation?tusaidieni wachumi wetu na huu ni uchumi gani?
Ndio kwa Sababu badala ya kuwa specific anakuwa mnafikiUnashangilia biashara za Shabiby kushindwa dhidi ya za wachina. Kisha unajiita Mtanzania?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mkuu ndiyo hali halisi, nilikutana na mwingine pale darajani Riverside opposite na Land Mark Hotel, kuna watu hupanda vitu vya kuuza. Namuona Mchina anakatiza na baiskeli yake na mzigo wa vegetables, nikabaki nashangaa sana.hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Popoma katika ubora wako..Kopo kama hizi ni Tatizo kuu kwenye ukuaji wa nchi yetu, unashindwa kwenda kariakoo kuona kama wachina wanauza plastic? Siku hizi wanauza hadi maduka yenye mitaji ya mangi..
Kariakoo hakuna wachina wanauza yeboyebo na vyombo vya plastiki? Kariakoo anaingia kila mtu nenda kaangalie badala ya kubwabwaja kisa una jero ya bando.Ana ushahidi au anaropoka tuu Kisa kaanza kushindwa na Wachina kwenye biashara zake?
Aweke huo ushahidi wa madai yake vinginevyo ni hofu za kuanguka kwa biashara zake.
Wameanza awamu ya 6 hao Wachina wa yeboyebo?Kariakoo hakuna wachina wanauza yeboyebo na vyombo vya plastiki? Kariakoo anaingia kila mtu nenda kaangalie badala ya kubwabwaja kisa una jero ya bando.
Mbona unarukaruka sana. Hoja yako ni ipi hasa? Hata kama walianza wakati wa ukoloni haimzuii mtu kuiongelea.Wameanza awamu ya 6 hao Wachina wa yeboyebo?
Hii ni nzuri wafugaji wa samaki na wavuvi wanufaikesiyo kushindwa yuko sahihi.nimetembele hivi karibuni ktk mkoa wa kagera nikakuta bei ya samaki iko juu wakati ziwa ni mdomo na pua nikauliza kwa nn bei ziko juu.wakaniambia samaki huenda uganda hivyo kufanya bei ya kitoweo hicho kuwa juu kisa tumeifungua nchi kwa kuweka mipaka wazi na holela na siyo samaki tu bali hata bidhaa za chakula.cjui kwa wachumi kuruhusu kila kitu kwenda nje nayo siyo sababu ya vitu kupanda bei na kusababisha inflation?tusaidieni wachumi wetu na huu ni uchumi gani?