n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Nchi iwe shamba la Bibi mara ngapi?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shabiby yupo smart sana ni mbunge makini
Na jamaa yangu aliye na maelekezo ya lazima ya kuandamana kesho 1/6/2022 Jijini Mwanza ili kumpongeza Mama anahitaji kutoa ushahidi?Aweke ushahidi,u smart sio kupayuka tuu Kisa umeshikwa sehemu na washindani wake kibiashara.
U CHAWA ni hatari.. njaa mbaya🙄Aweke ushahidi,u smart sio kupayuka tuu Kisa umeshikwa sehemu na washindani wake kibiashara.
1). Kutekwa...kwanini hakuhoji aliyeifunga Nchi wakati akiwepo?
ndomana tunaitwa manyani Kama sis hatuchanji wanakuja kwetu kufanya nin tumia ubongo basKamuulize Balozi wa China.Wameanza kutoruhusiwa awamu ya 6?
Ndio maana nimemwambia wewe ni hamnazo na nikaongezea Hiyo analalamika kwa sababu zake za biashara hapa anachochea moto tuu Kisa kazuiwa..
Uende China hujachanja na kama umechanja ni kadozi kamoja,nani akuruhusu ukapeleke corona wakati wenzio wako lockdown mda huu tunaongea?
tulia ww niliwakuta mtaani pale wanauza mapazia reja reja,mwingine long time anapima uzito mnazi mmoja acha niliyemkuta migo na guta anauza yeboyebo na kila aina ya viakataka vya plastic viatu vya watotoKariakoo hakuna wachina wanauza yeboyebo na vyombo vya plastiki? Kariakoo anaingia kila mtu nenda kaangalie badala ya kubwabwaja kisa una jero ya bando.
Kupinga kila kitu?Viatu vya Tundu Lisu vimemtosha Shabiby
Wewe mtu una wazimu kichwani, sasa nimetambua.Ana ushahidi au anaropoka tuu Kisa kaanza kushindwa na Wachina kwenye biashara zake?
Aweke huo ushahidi wa madai yake vinginevyo ni hofu za kuanguka kwa biashara zake.
Huyo ni zaidi ya praise team, hata sijui tumuiteje tu! Kama ni kwenye mapenzi basi tungesema kalishwa limbwata.Mzee wa praise team huyo ni mwana CCM mwenzio
Kama ww ni shabiki wake basi ni wazi hatakagi ujinga maana ww mwenyewe ni tajiri wa huo ujinga...umekujaa saaaana huo ujinga hata huna Tena pa kuuhifadhi na Sasa unautoa tuuu😂!Mimi sio praise team wala sio mwanaccm au chama chochote,mimi ni shabiki binafsi wa SSH, ila sitakagi ujinga..
Kuwa mwanaccm ndio nini? Kama anatetea biashara zake? Aweke ushahidi.
Ni sawa kabisaa,acha niendelee kuutoa madam unatokaKama ww ni shabiki wake basi ni wazi hatakagi ujinga maana ww mwenyewe ni tajiri wa huo ujinga...umekujaa saaaana huo ujinga hata huna Tena pa kuuhifadhi na Sasa unautoa tuuu😂!
IdiotAna ushahidi au anaropoka tuu Kisa kaanza kushindwa na Wachina kwenye biashara zake?
Aweke huo ushahidi wa madai yake vinginevyo ni hofu za kuanguka kwa biashara zake.
Unautoa lakini unazidi kububujika maana unatengenezwa mumo!Ni sawa kabisaa,acha niendelee kuutoa madam unatoka
SwadaktaUnautoa lakini unazidi kububujika maana unatengenezwa mumo!
Ndo hovyo wewe ulitakaje? 😆😆Idiot
Faida ya kushusha bei ya mafuta ilikuwa na bei ya vitu vingine vishuke kuleta unafuu wa maisha.Ndo hovyo wewe ulitakaje? [emoji38][emoji38]
Yaani Mchina alete maendeleo Afrika unaota weweMi nataka wajae tuwe multicaltural society kama USA, South Africa, France na ndio huleta maendeleo..kwa akili za weusi za kuwaza ngono na pombe tu, maendeleo tutayasikia bombani