Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Kwwni umembiww huko vitani wanapigana ngumu,IT wanahitajika huko pia kwenye field atakuwa ndani ya vifaru akifanya mambo yake ya ITJukumu la kwanza na la muhimu kwa mwanajeshi ni ulinzi-kuilinda nchi na kupigana vita,hata akiwa mtaalamu wa IT,Daktari vita ikitokea lazima aende.Sasa mtu mwenye ulemavu ataweza kupigana vita?Watu wenye ulemavu wanaweza kufanya kazi nyingine kama ualimu,unesi,ubunge,uwaziri nk.
[emoji23][emoji23][emoji23]Jeshi letu la kupasua matofali kichwani,IT wahitajike wa nini?
kweli wabunge wetu sasa wamekuwa kituko!!!. Jeshi liajiri mlemavu?!? kazi ya jeshi inajulikana wazi, na wanao wataalamu wa tehama lakini vita ikitokea kila mwanajeshi anao wajibu wa kwenda vitani hata wataalamu pia. lakini tukumbuke wapo wanajeshi wanaojeruhiwa wakiwa vitani lakini kwa kuwa wamefuzu mafunzo ya kijeshi nadhani ndiyo hupewa majukumu hayoHivi bungeni unarehusiwa kusema chochote hata utopolo?
aisee huyu mama analijua jeshi na core functions zake?Mbunge wa Nyasa Stella Manyanya amemuomba Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taif mh Kuandikwa kuwafikiria walemavu ili nao watumike jeshini katika maeneo ya kutumia akili kama Tehama
Manyanya amesema ajira za jeshi huwa haziwafikirii walemavu na amemwomba Waziri awasaidie.
Source: ITV habari
Kazi Iendelee!
there is no room for the weak in the army. ataafute taasis nyingineNi jambo jema ,maana najua na yeye ana mtoto mwenye ulemavu.