Mbunge Tabasamu usitoe sifa za bure kwa Prof. Mbarawa Bungeni kuhusu uwanja wa Ndege wa Mwanza

Mbunge Tabasamu usitoe sifa za bure kwa Prof. Mbarawa Bungeni kuhusu uwanja wa Ndege wa Mwanza

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Nimefuatilia hotuba ya kuchangia ya Mhe. Tabasamu kwenye Bajeti ya Uchukuzi na kusikitishwa na sifa na shukrani aliyoitoa kwa waziri wa uchukuzi kuwa amewezesha ujenzi wa uwanja huo kuwa wa kimataifa.

Ajabu uwanja huo haujaanza kujengwa wala site mobilization haipo, na mitambo ya kudanganyia iliyoletwa kisiasa siku ya kusaini mkataba haipo tena, je wewe unaungana na serikali kuidanganya jamii ya wana Mwanza na kanda ya ziwa?

Usiku mwema.
 
Tayari Taifa aka Caspian ya yule tycoon aka king maker Rostam wako njiani kuanza kazi hapo.
 
kwa Rostam mpaka tuone. Soma kitabu cha Mkapa na pesa za uchaguzi.
 
Hii airport si alipewa Rostam aiendeleze kwani bado haijaanza kufanyiwa kazi?
 
Nimefuatilia hotuba ya kuchangia ya Mhe. Tabasamu kwenye Bajeti ya Uchukuzi na kusikitishwa na sifa na shukrani aliyoitoa kwa waziri wa uchukuzi kuwa amewezesha ujenzi wa uwanja huo kuwa wa kimataifa.

Ajabu uwanja huo haujaanza kujengwa wala site mobilization haipo, na mitambo ya kudanganyia iliyoletwa kisiasa siku ya kusaini mkataba haipo tena, je wewe unaungana na serikali kuidanganya jamii ya wana Mwanza na kanda ya ziwa?

Usiku mwema.
1000428220.jpg
 
Kuna bahati mbaya sana huu uwanja ni kichwa cha mwenda wazimu. bora wangempa m china angekuwa ameishaanza. ujenzi. Pesa za kuanzia bn 5 tuliambiwa na RC Makalla by then kuwa zipo kulikoni. Wabunge wa kanda ya ziwa fuatilieni hili kwa karibu.
 
Airport Mwanza ni mchezo wa kiini macho.
 
Back
Top Bottom