Mbunge Tarimba Abbas (CCM) je, wana Kinondoni tulikutuma Bungeni kuzungumza matatizo yetu au kuizungumzia Yanga SC yako tu?

Kura zake zote ni za 'Kupikwa' na Tume.
 
Kama "PAKA" anavyomchukia FAUSTINE KAYUMBA NYAMWASA. 🤣🤣🤣
 
Ukitafuta Watangazaji ' very unprofessional ' nchini Tanzania Maulid Kitenge atakuwa Kinara na Yusuph Mkule atamfuatia.

Ukitafuta Mbunge Samjo Samjo ( Tapeli Tapeli ) na Mnafiki Kupindukia huku akiwa ni Mbaguzi na mwenye Dharau hata Kinondoni wanamjua Tarimba Abbas ataongoza.
 
Njoo Kinondoni usikie Watu ' wanavyomponda ' na hata wasivyomtaka Mkuu. 90% ya Kura zake ' ziliratibiwa ' na Maagizo ya AMRI na VITISHO kutoka kwa aliyalala Kimoja pembezoni mwa Ziwa Victoria huko Geita.
 
Anapenda kuisema Mikia [emoji23][emoji23][emoji23], kama tu Manara anavyoisema Young Africans hata mahala pasipohitajika kuweka ushabiki au kuzungumzia Football Club
Wana Kinondoni wamemtuma hayo au?
 
Katika aliyoseama tarimba ni kipi cha uongo?,kwakuwa yeye ni yanga,basi akae kimya jinsi hao waovu na huyo muovu mkuu,wanavyofanya dhudi ya yanga?
Kwa akili yako fupi,unadhani kuwa tarimba hana analofanya kuhusu kero za jimbo lake?,acha udwanzi
Pimbi Wewe namjua Tarimba Abbas na ' Maovu ' yake yote kuliko umjuavyo na ujuavyo Wewe sawa?

Kabishane na Wapumbavu wenzio na siyo Mimi. Vijana wengi wa Kinondoni wanafia China na wengine wako Jela kwa ajili yake.

au unadhani GENTAMYCINE sijui kwanini Hayati wenu ( Mwendazake ) alimpa huo Ubunge ili nini Kifanyike tena cha Kimaslahi?

Hivi kuna Kiongozi wa Mpira ambao hata wana Yanga SC Wenyewe tu hawamtaki na hawampendi kama Tarimba Abbas ambaye ' amewadhulumu ' na ' kawapiga ' sana alipokuwa Mwenyekiti wao.

Unajua kuwa Kiongozi ' Kinara ' wa kuanzisha Kununua Mechi na Kufanya ' Umafia ' michezoni kwa kushirikiana na akina Said Bin Kleb na Seif Magali ni Tarimba Abbas?

Yaani 99.9999% ya anayoyalalamikia Tarimba Abbas Leo kuwa yapo TFF na Simba SC Yeye ndiyo ' Kinara ' na Sisi Watu wa Mpira wa Bongo akina GENTAMYCINE tunalijua hilo.

Jana akizungumza ' kachomokea ' Imani za Uchawi ( kuwa Simba SC walichungulia ) huku Tarimba Abbas akisahau kuwa ile Mechi ya Yanga SC ya Kimataifa iliyochezwa CCM Kirumba Mkoani Mwanza na Manji kuamuru Watu waingie bure Yeye ndiyo alienda Bugando Hospitali na ' Makomandoo ' wa Yanga SC kuomba Kuchukua ' Maiti ' ambayo waliifukia Uwanjani.

Unataka niendelee au niishie tu hapa..?
 
Mbunge wa kinondoni anazisemea yanga na simba zilizopo jimbo la ilala kama ni muwakilishi mmepata sio mchezo maana matatizo ya ilala anayaona lakini ya kinondoni hata hajali
 
Mimi nashauri timu yangu ya Simba tuipige chini mazima sport pesa yake bora hiyo space tuendelee kuitangaza nchi yetu Tanzania hata bure kabisa, kama vipi tuchangie kama tulivyofanya kwenye fans card.
Hilo linafanyika Mkuu na ili uone Tarimba Abbas alivyo ' Mnafiki ' huko Bungeni kutwa tu ni ' Kuinanga ' Simba SC lakini kila mara anampigia Simu CEO wa Simba SC Bi. Barbara Gonzalez kuomba ' appointment ' nae na kuwapigia 'Magoti' Simba SC wasiachane na ' Spoti Pesa ' yake kwani ' Logically ' tu ni Simba SC ndiyo inaitangaza vyema ' Spoti Pesa ' yake ndani na nje ya Tanzania na siyo hiyo Klabu yake pendwa na mbovu ya Yanga.
 
Reactions: mmh
Kinondoni imepata Mbunge wa hovyo.
 
Reactions: mmh
Kwani imesemwa SIMBA au TFF ya KARIA?
Mbona simba ndo mnawashwa kwani hampendi maendeleo ya michezo nchini?
Pumbavu rejea ile 'Clip' ya Tarimba Abbas jana Bungeni kisha tumia Akili zako vyema ( ambazo hata hivyo huna ) ujue ' Context ' nzima ya Maongezi na zile 'Lawama' zake alizokuwa akizifichia kwa Kuisema TFF na Rais Karia alikuwa anazielekeza kwa Timu gani hasa ambayo inajulikana wazi wazi kuwa haipendi.
 
Jee ulitaka azungumzie masuala ya mifereji, barabara, madaraja, kazi, wanafunzi wakati wa kujadili Wizara ya Michezo?

Utazungumziaje taasisi bila kuzungumzia viongozi wa hizo taasisi? Au ndio uhuru wa kusema, kutoa maoni yako?

You are entitled to your opinion but not entitled to your facts.
 
nje ya mada: ila karia na yeye aache visilani vya kike. alichofanya kwa kocha wa geita gold fred felix minzilo ni ushamba usiopaswa kufanywa na mtu mwenye hadhi kama yeye.
Tena bora hata Rais wa TFF Karia alikataa kumpa Mkono huyo Kocha Mnafiki na Mpuuzi Minziro ila angekutana na Mimi ndiyo ningempa bonge la ' Ndoo ' Mkuu.

Kwa Timu ya Geita Gold Mining kupanda VPL Mashabiki wa Soka Tanzania wajue kuwa tayari Yanga SC ina uhakika wa Alama ( Points ) Sita ( 6 ) Kibindoni kutoka Kwao na Kwake kama Kocha.

Ndiyo maana kuna Demu wake Mmoja yupo Temeke Wailes ' nilimkazia ' na tena ngoja na leo nimtafute ' nikamkazie ' tena kwani katika Mademu ( Mahawara ) zake anaowapenda huyu wa Temeke Wailes ( tena bado ni Mwanamke wa makamo tu ) anampenda na Kumuhudumia balaa.
 
Wewe mtu una matatizo au huwezi kusikiliza kwa utulivu au una washwa washwa tu!
Kosa la Tarimba lipo wapi? Rudia kuangalia na kusikiliza maana ametoa mawazo mazuri endelea

Wana Kinondoni wamemtuma haya au?
 
Mbunge wa kinondoni anazisemea yanga na simba zilizopo jimbo la ilala kama ni muwakilishi mmepata sio mchezo maana matatizo ya ilala anayaona lakini ya kinondoni hata hajali
Ni miongoni mwa Wabunge 'Nuts' mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…